Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 338
- 683
TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (T.A.G)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kingereza chake ni kipiNikujibu kirahisi zabibu hutoa vinywaji aina mbili cha kwanza ni juisi ya zabibu ambayo huitwa divai na ziko kibao juice za zabibu cha pill ni mvinyo ambayo ni pombe kali
Yesu alibadilisha maji kuwa divai sio kubadilisha maji kuwa mvinyo Wa akina Chapombe !!!
SawaYes hata hilisafi sana, mwambie aende pale Morroco karibu na Shel ya Total Mataa, hatojuta
Mbuzi katoliki zipo ? Na zile mbuzi katoliki za mirinda nazo zipo ,da wakatoliki mnakula raha yaani maustazi wanasubiri mabikira 70 mbinguni ila nyinyi mmejitengenezea wenyewe mnawaita masister[emoji23]Kanisa katoliki, niko hapa na baba paroko na waumini wenzangu tunapiga safari lager bariiiidi na kutafakari masomo ya dominika ya leo
Uko sahihi,Sda kama wangekuwa wanaabudu jpili ninhesali huko,full gospel kakobe akifa patachimbika ila namkubali sana yule mtumishi,Kipindi nipo advance kuna haya makanisa mawili niliyaelewa vyema (kwa upande wangu )maana waumini wake nilivyokuwa nawaona wapo vyema sana
1. Reformers SDA
2. Full gospel🙂
Mkuu ukanda ule una makanisa mengi je naloliongelea kweli unalijuahamna kitu huko..huko hamna tofaut na kwa Gwaj
Wanadai wanafufua watu huku kaahndwa kumfufua pot mwenzake
😂😂😂kwamba patachimbikaUko sahihi,Sda kama wangekuwa wanaabudu jpili ninhesali huko,full gospel kakobe akifa patachimbika ila namkubali sana yule mtumishi,
Kweli ujakosea mkuuHata hawa wako poa sema mafundsho yao meng muda mwingi ni ya ku-critisice dini wengne badala ya kufundshana neno la Mungu binafsi
Hii ndio shida yao KUBWA halafu wanajionaga wanajua sana bible kumbe magarasa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walokole bhana eti fermented na unfermented [emoji1787] kwa hiyo Biblia inasema Yesu akageuza maji kuwa "fermented wine?" Au unajiongeza kwa kuwa wewe ni mjuaji kuliko Biblia yenyewe [emoji119] mbona kwenye aya zingine za Biblia haujiongezi [emoji1787] au unajiongeza kuadjust kidogo kule ambapo panakufavor[emoji119]
Wasabato yaani SDA sio wakristo ndio hawaadhimishi kuzaliwa kwa Yesu wala kufufuka kwakeUko sahihi,Sda kama wangekuwa wanaabudu jpili ninhesali huko,full gospel kakobe akifa patachimbika ila namkubali sana yule mtumishi,
Subiri kidogo ntaanzisha Kanisa lenye sifa hizo, nakusanya mtaji kwanza.Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
BarikiwaSubiri kidogo ntaanzisha Kanisa lenye sifa hizo, nakusanya mtaji kwanza.
Vitu vyote ni halala, kinachotakiwa ni KIASIKama unajua kuwa pombe ni mzizi wa dhambi kwaninj ikuhadae?
Vitu vyote ni halali ila si vyote vifaavyo
Misimamo yao ipoje maana wanatuchanganya hasa kile kipind cha mwendazakeKaribu Tanzania Assemblies of God,
Utakua mahali salama.
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
100Asanteni Sana,, kwa huduma za kiroho mko vizuri mno, unamuita Mungu na anaitika, mfumo wa kiuongozi pia mko Safi, kwenye michango ndo patashika, all in all faida za kkkt kwangu Mimi Ni nyingi
Yes hata hilisafi sana, mwambie aende pale Morroco karibu na Shel ya Total Mataa, hatojuta
Baby hujalielewa vipi njoo hapa parokia ya buswelu nipo nasali😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷