Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Sabato Anglican Catholic Lutheran period
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!

Ni la kwako na uwe na Biblia yako!

Kwa sababu warumi 8:14 inasema "Kwa Kuwa wanaoongozwa na roho Ni wana Mungu"

Hilo waliongoza wewe Kwa kanuni zako.
 
Chagua hapa kanisa unalotaka

1: RC hawa Ni wazee wa uongozi. hawajali Mambo mengi sana wala kufuatiliana fuatiliana, unaweza kunywa na kulewa na father meza moja, kula kitimoto hata ndani ya kanisa. Huku kumejaa taaluma ya uongozi na kuongoza Dunia, hii ni taasisi endelevu kubwa na yenye mtandao mpana kote Duniani. Ukijiunga hapa tegemea kuishi maisha yako halisi kabisa, Kama pombe kunywa Ila usilewe, utapata connection kibao, elimu ya utawala na uongozi, Uhuru usio na mipaka, utakuwa na maadui wa dini pande zote nne, fanya upendalo ndani ya yesu ukiwa RC, japo unaambiwa utii bila shuruti.

2: KKKT, Wazee wa injiri, hapa utakutana na watu wwnye uwezo mzuri wa kuhubili injiri. Hii Ni sifa kuu ya kanisa hili Kama unataka kufahamu vyema injiri jiunge na wa KKKT. Ukijiunga hapa tegemea kuwa na uchumi bora, mwerevu na mtu usiyeyumbishwa kiimani, starehe nyingi muhimu utafanya bila hofu nyingi Kama wengine, hapa nu furaha tu muda wote.

3: SDA, unataka kuwa mwimbaji? Hapa patakuhusu, karama kubwa zaidi ya kanisa hili ni kwenye uimbaji, achana na sehemu zote hapa kuimba kumepewa nguvu zaidi na ndio alama kuu ya kanisa hili. Ukijiunga hapa tegemea kuachana na Mambo mengi muhimu katika maisha yako, siku za kazi zitapungua, mawigi hautavaa tena, pombe sahau, jumapili kwako ndio jumamosi, jiandae na maisha ya mbinguni hapa hapa duniani.

4: JW Mashaidi wa yehova, Kama unataka kuchambuliwa chambuliwa neno na biblia yote nje ndani jiunge nao, hawa karama yao kubwa Ni uchambuzi.. aiseeutachambuliwa kila kifungu kigumu cha biblia. Ukijiunga hapa tegemea mabadiliko makubwa sana ya life style yako kuanzia uvaaji, uongeaji, teknolojia ndugu zako wanaweza kukusahau maana hawa jamaa wapo serious sana na ushahidi juu ya Imani yao, unaweza kujitenga na jamii usipokuwa makini.

4:Anglican, Bendela inayokosa uelekeo mzuri. Ukiwaacha wa RC hawa jamaa walipaswa wafanane kwa ukaribu sana na kanisa hilo la kwanza kuanzishwa, shida yao kubwa ni kushindwa kuitumia vyema karama ya uongozi na mwishowe kubaki kuwa Kama Bendela, japo usiri Ni karama yao tukuka zaidi. Yaani fuata kilichokuleta. Ukijiunga hapa tegemea kuwa imara kimikakati na nguvu ya ushindani, uchumi imara na roho ngumu yakutokuyumbishwa yumbishwa na watu.

5: Wapentekoste wote ( TAG na ndugu zao wote) Ukiachana na uchonganishi chonganishi, hawa jamaa karama yao kubwa ni ku-boost boost kila jambo lililosahaulika ama kupuuziwa na makanisa mengine yote, yaani hawa kila siku wanaangalia wapige wapi? Ukijiunga nao hawa tegemea kufa masikini au kuishi maisha ya mateso bila kugusa starehe nyingi zilizopo hapa duniani kwa kigezo cha wokovu na kuokoka.

6: Mitume na manabii, Ukisikia wafanya biashara wakubwa wa kubwa au wajasiliamali wa dini, hapo umefika sehemu yake, hawa kalama yao kubwa zaidi ni biashara tu. Ukijiunga nao tegemea zaidi either uwe mwekezaji siku za usoni au ugeuzwe chanzo cha mapato ya ndugu nabii.
Umenena vyema
 
Chagua hapa kanisa unalotaka

1: RC hawa Ni wazee wa uongozi. hawajali Mambo mengi sana wala kufuatiliana fuatiliana, unaweza kunywa na kulewa na father meza moja, kula kitimoto hata ndani ya kanisa. Huku kumejaa taaluma ya uongozi na kuongoza Dunia, hii ni taasisi endelevu kubwa na yenye mtandao mpana kote Duniani. Ukijiunga hapa tegemea kuishi maisha yako halisi kabisa, Kama pombe kunywa Ila usilewe, utapata connection kibao, elimu ya utawala na uongozi, Uhuru usio na mipaka, utakuwa na maadui wa dini pande zote nne, fanya upendalo ndani ya yesu ukiwa RC, japo unaambiwa utii bila shuruti.

2: KKKT, Wazee wa injiri, hapa utakutana na watu wwnye uwezo mzuri wa kuhubili injiri. Hii Ni sifa kuu ya kanisa hili Kama unataka kufahamu vyema injiri jiunge na wa KKKT. Ukijiunga hapa tegemea kuwa na uchumi bora, mwerevu na mtu usiyeyumbishwa kiimani, starehe nyingi muhimu utafanya bila hofu nyingi Kama wengine, hapa nu furaha tu muda wote.

3: SDA, unataka kuwa mwimbaji? Hapa patakuhusu, karama kubwa zaidi ya kanisa hili ni kwenye uimbaji, achana na sehemu zote hapa kuimba kumepewa nguvu zaidi na ndio alama kuu ya kanisa hili. Ukijiunga hapa tegemea kuachana na Mambo mengi muhimu katika maisha yako, siku za kazi zitapungua, mawigi hautavaa tena, pombe sahau, jumapili kwako ndio jumamosi, jiandae na maisha ya mbinguni hapa hapa duniani.

4: JW Mashaidi wa yehova, Kama unataka kuchambuliwa chambuliwa neno na biblia yote nje ndani jiunge nao, hawa karama yao kubwa Ni uchambuzi.. aiseeutachambuliwa kila kifungu kigumu cha biblia. Ukijiunga hapa tegemea mabadiliko makubwa sana ya life style yako kuanzia uvaaji, uongeaji, teknolojia ndugu zako wanaweza kukusahau maana hawa jamaa wapo serious sana na ushahidi juu ya Imani yao, unaweza kujitenga na jamii usipokuwa makini.

4:Anglican, Bendela inayokosa uelekeo mzuri. Ukiwaacha wa RC hawa jamaa walipaswa wafanane kwa ukaribu sana na kanisa hilo la kwanza kuanzishwa, shida yao kubwa ni kushindwa kuitumia vyema karama ya uongozi na mwishowe kubaki kuwa Kama Bendela, japo usiri Ni karama yao tukuka zaidi. Yaani fuata kilichokuleta. Ukijiunga hapa tegemea kuwa imara kimikakati na nguvu ya ushindani, uchumi imara na roho ngumu yakutokuyumbishwa yumbishwa na watu.

5: Wapentekoste wote ( TAG na ndugu zao wote) Ukiachana na uchonganishi chonganishi, hawa jamaa karama yao kubwa ni ku-boost boost kila jambo lililosahaulika ama kupuuziwa na makanisa mengine yote, yaani hawa kila siku wanaangalia wapige wapi? Ukijiunga nao hawa tegemea kufa masikini au kuishi maisha ya mateso bila kugusa starehe nyingi zilizopo hapa duniani kwa kigezo cha wokovu na kuokoka.

6: Mitume na manabii, Ukisikia wafanya biashara wakubwa wa kubwa au wajasiliamali wa dini, hapo umefika sehemu yake, hawa kalama yao kubwa zaidi ni biashara tu. Ukijiunga nao tegemea zaidi either uwe mwekezaji siku za usoni au ugeuzwe chanzo cha mapato ya ndugu nabii.
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Chagua hapa kanisa unalotaka

1: RC hawa Ni wazee wa uongozi. hawajali Mambo mengi sana wala kufuatiliana fuatiliana, unaweza kunywa na kulewa na father meza moja, kula kitimoto hata ndani ya kanisa. Huku kumejaa taaluma ya uongozi na kuongoza Dunia, hii ni taasisi endelevu kubwa na yenye mtandao mpana kote Duniani. Ukijiunga hapa tegemea kuishi maisha yako halisi kabisa, Kama pombe kunywa Ila usilewe, utapata connection kibao, elimu ya utawala na uongozi, Uhuru usio na mipaka, utakuwa na maadui wa dini pande zote nne, fanya upendalo ndani ya yesu ukiwa RC, japo unaambiwa utii bila shuruti.

2: KKKT, Wazee wa injiri, hapa utakutana na watu wwnye uwezo mzuri wa kuhubili injiri. Hii Ni sifa kuu ya kanisa hili Kama unataka kufahamu vyema injiri jiunge na wa KKKT. Ukijiunga hapa tegemea kuwa na uchumi bora, mwerevu na mtu usiyeyumbishwa kiimani, starehe nyingi muhimu utafanya bila hofu nyingi Kama wengine, hapa nu furaha tu muda wote.

3: SDA, unataka kuwa mwimbaji? Hapa patakuhusu, karama kubwa zaidi ya kanisa hili ni kwenye uimbaji, achana na sehemu zote hapa kuimba kumepewa nguvu zaidi na ndio alama kuu ya kanisa hili. Ukijiunga hapa tegemea kuachana na Mambo mengi muhimu katika maisha yako, siku za kazi zitapungua, mawigi hautavaa tena, pombe sahau, jumapili kwako ndio jumamosi, jiandae na maisha ya mbinguni hapa hapa duniani.

4: JW Mashaidi wa yehova, Kama unataka kuchambuliwa chambuliwa neno na biblia yote nje ndani jiunge nao, hawa karama yao kubwa Ni uchambuzi.. aiseeutachambuliwa kila kifungu kigumu cha biblia. Ukijiunga hapa tegemea mabadiliko makubwa sana ya life style yako kuanzia uvaaji, uongeaji, teknolojia ndugu zako wanaweza kukusahau maana hawa jamaa wapo serious sana na ushahidi juu ya Imani yao, unaweza kujitenga na jamii usipokuwa makini.

4:Anglican, Bendela inayokosa uelekeo mzuri. Ukiwaacha wa RC hawa jamaa walipaswa wafanane kwa ukaribu sana na kanisa hilo la kwanza kuanzishwa, shida yao kubwa ni kushindwa kuitumia vyema karama ya uongozi na mwishowe kubaki kuwa Kama Bendela, japo usiri Ni karama yao tukuka zaidi. Yaani fuata kilichokuleta. Ukijiunga hapa tegemea kuwa imara kimikakati na nguvu ya ushindani, uchumi imara na roho ngumu yakutokuyumbishwa yumbishwa na watu.

5: Wapentekoste wote ( TAG na ndugu zao wote) Ukiachana na uchonganishi chonganishi, hawa jamaa karama yao kubwa ni ku-boost boost kila jambo lililosahaulika ama kupuuziwa na makanisa mengine yote, yaani hawa kila siku wanaangalia wapige wapi? Ukijiunga nao hawa tegemea kufa masikini au kuishi maisha ya mateso bila kugusa starehe nyingi zilizopo hapa duniani kwa kigezo cha wokovu na kuokoka.

6: Mitume na manabii, Ukisikia wafanya biashara wakubwa wa kubwa au wajasiliamali wa dini, hapo umefika sehemu yake, hawa kalama yao kubwa zaidi ni biashara tu. Ukijiunga nao tegemea zaidi either uwe mwekezaji siku za usoni au ugeuzwe chanzo cha mapato ya ndugu nabii.
Daah we umeongea kwel yoote na ninakuunga mkono 100%
Upo vzuri sana Kamanda
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Yapo makanisa mengi yenye sifa hizo. Kanisa la Wasabato, KKKT, RC, Anglican, AIC, Mennonite, na baadhi ya makanisa ya Pentecoste. Orodha ni ndefu sijayataja yote. Wadau wameeleza pia.
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Popote waweza kusali halimradi ni kanisa la kikristo maana kanisa bora ukisoma yakobo 2:29 utapata jibu na kanisa linaanzia rohoni mwako.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Utaadhimisha kitu kisichojulikana tarehe yake halisi?

#MaendeleoHayanaChama
kitabu cha Mwanzo kinasema Mungu alipumzika siku ya saba haijasema jumamosi kalenda zilikuwa hakuna w Kalenda!!! Mungu aliagiza fanya kazi siku sita pumzika ya saba hakusema siku hiyo ya saba ni jumamosi!!! Jumamosi ni makubaliano ya kibinadamu kama ilivyo jumapili au ijumaa kwa waislamu



Siku Mungu alipumzika dunia nzima ilikuwa sabato inayoanza muda ule ule na kumalizika muda ule ule dunia nzima siyo hii sabato feki ya wasabato wa sasa ambayo kutokana na Time difference kimataifa sehemu moja ya dunia wakianxa siku ya sabato wengine wanakuwa makazini upande mwingine wa dunia wengine wanapomali na kuingia kazini wengine upande mwingine wa dunia inakuwa bado!!!

Ni wapi Mungu aliagiza kuwa na sabato tofauti tofauti muda wa kuanza na kumaliza duniani?

Hata wasabato sabato yao ya kujitungia kutegemea eneo walipo kama jumapili iliyopo ya kujitungia na siku ya sabato pia ya kujitungia kutegemea eneo na time difference za kimataifa!!

Kuhusu kuadhimisha birthday kama hujui tarehe tunga yako!!! Sio Jedi uiandike kitambulisho cha taifa
 
kitabu cha Mwanzo kinasema Mungu alipumzika siku ya saba haijasema jumamosi kalenda zilikuwa hakuna w Kalenda!!! Mungu aliagiza fanya kazi siku sita pumzika ya saba hakusema siku hiyo ya saba ni jumamosi!!! Jumamosi ni makubaliano ya kibinadamu kama ilivyo jumapili au ijumaa kwa waislamu



Siku Mungu alipumzika dunia nzima ilikuwa sabato inayoanza muda ule ule na kumalizika muda ule ule dunia nzima siyo hii sabato feki ya wasabato wa sasa ambayo kutokana na Time difference kimataifa sehemu moja ya dunia wakianxa siku ya sabato wengine wanakuwa makazini upande mwingine wa dunia wengine wanapomali na kuingia kazini wengine upande mwingine wa dunia inakuwa bado!!!

Ni wapi Mungu aliagiza kuwa na sabato tofauti tofauti muda wa kuanza na kumaliza duniani?

Hata wasabato sabato yao ya kujitungia kutegemea eneo walipo kama jumapili iliyopo ya kujitungia na siku ya sabato pia ya kujitungia kutegemea eneo na time difference za kimataifa!!

Kuhusu kuadhimisha birthday kama hujui tarehe tunga yako!!! Sio Jedi uiandike kitambulisho cha taifa
Yamekuwa haya
 
kitabu cha Mwanzo kinasema Mungu alipumzika siku ya saba haijasema jumamosi kalenda zilikuwa hakuna w Kalenda!!! Mungu aliagiza fanya kazi siku sita pumzika ya saba hakusema siku hiyo ya saba ni jumamosi!!! Jumamosi ni makubaliano ya kibinadamu kama ilivyo jumapili au ijumaa kwa waislamu



Siku Mungu alipumzika dunia nzima ilikuwa sabato inayoanza muda ule ule na kumalizika muda ule ule dunia nzima siyo hii sabato feki ya wasabato wa sasa ambayo kutokana na Time difference kimataifa sehemu moja ya dunia wakianxa siku ya sabato wengine wanakuwa makazini upande mwingine wa dunia wengine wanapomali na kuingia kazini wengine upande mwingine wa dunia inakuwa bado!!!

Ni wapi Mungu aliagiza kuwa na sabato tofauti tofauti muda wa kuanza na kumaliza duniani?

Hata wasabato sabato yao ya kujitungia kutegemea eneo walipo kama jumapili iliyopo ya kujitungia na siku ya sabato pia ya kujitungia kutegemea eneo na time difference za kimataifa!!

Kuhusu kuadhimisha birthday kama hujui tarehe tunga yako!!! Sio Jedi uiandike kitambulisho cha taifa
Sawa..mimi sibishani na wewe nakupa facts..dini zote zenye chimbuko la ibrahimu..hususani jews wanasali jumamosi..je hao si ndio chimbuko kwanini wasali siku hiyo kama sabath..pia njoo kwenye pasaka..ijumaa wakristo hawali nyama..jmos wanapumzika..jumapili wanasherekea kufufuka kwa kristo...na unajua kwa nini kwenye maandiko walimtoa Yesu kwenye msalaba mapema kabla sabato haijaigia?

Anyway ningumu sana kukataa kua sabato ni jmos..sema wengi hushupaza shingo tu..kwa ubishi..mana hata Yesu alisema hkuja kutengua torati bali kuitimiliza..torati ni sheria ambapo moja wapo sheria ya kuitunza sabbath imo.

Kila la.kheri kwenye ukengeufu wako.

Mana hakuna sehemu kristo Yesu alisema watu wasali nje na siku ya sabbath.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sawa..mimi sibishani na wewe nakupa facts..dini zote zenye chimbuko la ibrahimu..hususani jews wanasali jumamosi..je hao si ndio chimbuko kwanini wasali siku hiyo kama sabath..pia njoo kwenye pasaka..ijumaa wakristo hawali nyama..jmos wanapumzika..jumapili wanasherekea kufufuka kwa kristo...na unajua kwa nini kwenye maandiko walimtoa Yesu kwenye msalaba mapema kabla sabato haijaigia?

Anyway ningumu sana kukataa kua sabato ni jmos..sema wengi hushupaza shingo tu..kwa ubishi..mana hata Yesu alisema hkuja kutengua torati bali kuitimiliza..torati ni sheria ambapo moja wapo sheria ya kuitunza sabbath imo.

Kila la.kheri kwenye ukengeufu wako.

Mana hakuna sehemu kristo Yesu alisema watu wasali nje na siku ya sabbath.

#MaendeleoHayanaChama
Tatizo La wasabato ni ujinga hawakubali mfano bar ikigeuzwa kanisa wao watakomaa kuwa hapo ilikuwa baa haistahili kuwa kanisa!!! ni watetezi wa wapagani!! Krismasi na pasaka Na jumapili zilikuwa sherehe za wapagani Wakristo wakazibadilisha kuwa zisiwe za kipagani


Wasabato hawataki wanataka zibaki za wapagani

Kwenye dini zote sijawahi ona watetea wapagani na waabudu miungu kama wasabato

Ndio maana siamini kama wasabato ni wakristo!!! Wanataka jumapili, krismasi na pasaka ziendelee kuwa siku za miungu ya kipagani
 
Sawa..mimi sibishani na wewe nakupa facts..dini zote zenye chimbuko la ibrahimu..hususani jews wanasali jumamosi..je hao si ndio chimbuko kwanini wasali siku hiyo kama sabath..pia njoo kwenye pasaka..ijumaa wakristo hawali nyama..jmos wanapumzika..jumapili wanasherekea kufufuka kwa kristo...na unajua kwa nini kwenye maandiko walimtoa Yesu kwenye msalaba mapema kabla sabato haijaigia?

Anyway ningumu sana kukataa kua sabato ni jmos..sema wengi hushupaza shingo tu..kwa ubishi..mana hata Yesu alisema hkuja kutengua torati bali kuitimiliza..torati ni sheria ambapo moja wapo sheria ya kuitunza sabbath imo.

Kila la.kheri kwenye ukengeufu wako.

Mana hakuna sehemu kristo Yesu alisema watu wasali nje na siku ya sabbath.

#MaendeleoHayanaChama
Yesu alisema ni Bwana wa Sabato hakusema Bwana wa Jumamosi

Mungu aliagiza fanya kazi siku sita ya saba pumzika hakutaja jumamosi cha msingi chapa kazi siku sita ya saba pumzika iwe ijumaa au jumamosi au jumapili au jumata jumanne etc ni wewe na maamuzi yako au ya jamii eneo husika

Ninachokataa ni wasabato kulazimisha kuwa Mungu alisema siku ya mapumziko ni jumamosi


Hata wayahudi leo wamesambaa dunia nzima saa ya kuanza sabato na kumaliza ni tofauti

Wasabato wasingekuwa mafarisayo wangekuwa na kalenda yao inayoonyesha dunia nzima muda wa kuanza sabato na kumaliza muda mmoja dunia nzima!!!

Lakini hawana mifarisayo mikubwa Mungu siku ya saba yake ilikuwa hiyo hiyo dunia nzima kuanzia muda wa kuanza na kumaliza

Kalenda yake ilisoma siku hiyo na muda huo huo dunia nzima kuanza na kumaliza
 
Chagua hapa kanisa unalotaka

1: RC hawa Ni wazee wa uongozi. hawajali Mambo mengi sana wala kufuatiliana fuatiliana, unaweza kunywa na kulewa na father meza moja, kula kitimoto hata ndani ya kanisa. Huku kumejaa taaluma ya uongozi na kuongoza Dunia, hii ni taasisi endelevu kubwa na yenye mtandao mpana kote Duniani. Ukijiunga hapa tegemea kuishi maisha yako halisi kabisa, Kama pombe kunywa Ila usilewe, utapata connection kibao, elimu ya utawala na uongozi, Uhuru usio na mipaka, utakuwa na maadui wa dini pande zote nne, fanya upendalo ndani ya yesu ukiwa RC, japo unaambiwa utii bila shuruti.

2: KKKT, Wazee wa injiri, hapa utakutana na watu wwnye uwezo mzuri wa kuhubili injiri. Hii Ni sifa kuu ya kanisa hili Kama unataka kufahamu vyema injiri jiunge na wa KKKT. Ukijiunga hapa tegemea kuwa na uchumi bora, mwerevu na mtu usiyeyumbishwa kiimani, starehe nyingi muhimu utafanya bila hofu nyingi Kama wengine, hapa nu furaha tu muda wote.

3: SDA, unataka kuwa mwimbaji? Hapa patakuhusu, karama kubwa zaidi ya kanisa hili ni kwenye uimbaji, achana na sehemu zote hapa kuimba kumepewa nguvu zaidi na ndio alama kuu ya kanisa hili. Ukijiunga hapa tegemea kuachana na Mambo mengi muhimu katika maisha yako, siku za kazi zitapungua, mawigi hautavaa tena, pombe sahau, jumapili kwako ndio jumamosi, jiandae na maisha ya mbinguni hapa hapa duniani.

4: JW Mashaidi wa yehova, Kama unataka kuchambuliwa chambuliwa neno na biblia yote nje ndani jiunge nao, hawa karama yao kubwa Ni uchambuzi.. aiseeutachambuliwa kila kifungu kigumu cha biblia. Ukijiunga hapa tegemea mabadiliko makubwa sana ya life style yako kuanzia uvaaji, uongeaji, teknolojia ndugu zako wanaweza kukusahau maana hawa jamaa wapo serious sana na ushahidi juu ya Imani yao, unaweza kujitenga na jamii usipokuwa makini.

4:Anglican, Bendela inayokosa uelekeo mzuri. Ukiwaacha wa RC hawa jamaa walipaswa wafanane kwa ukaribu sana na kanisa hilo la kwanza kuanzishwa, shida yao kubwa ni kushindwa kuitumia vyema karama ya uongozi na mwishowe kubaki kuwa Kama Bendela, japo usiri Ni karama yao tukuka zaidi. Yaani fuata kilichokuleta. Ukijiunga hapa tegemea kuwa imara kimikakati na nguvu ya ushindani, uchumi imara na roho ngumu yakutokuyumbishwa yumbishwa na watu.

5: Wapentekoste wote ( TAG na ndugu zao wote) Ukiachana na uchonganishi chonganishi, hawa jamaa karama yao kubwa ni ku-boost boost kila jambo lililosahaulika ama kupuuziwa na makanisa mengine yote, yaani hawa kila siku wanaangalia wapige wapi? Ukijiunga nao hawa tegemea kufa masikini au kuishi maisha ya mateso bila kugusa starehe nyingi zilizopo hapa duniani kwa kigezo cha wokovu na kuokoka.

6: Mitume na manabii, Ukisikia wafanya biashara wakubwa wa kubwa au wajasiliamali wa dini, hapo umefika sehemu yake, hawa kalama yao kubwa zaidi ni biashara tu. Ukijiunga nao tegemea zaidi either uwe mwekezaji siku za usoni au ugeuzwe chanzo cha mapato ya ndugu nabii.
[emoji119][emoji122][emoji3059][emoji3059]
 
Back
Top Bottom