EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Leo jioni nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine.
Basi bwana kikakuta tamthilia ya saluni ya mama Kimbo Ila kila nikiangalia sioni mafunzo chanya ya kizazi kijacho nikajiuliza hivi haka katoto kanachoigiza umbea na haya mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?
Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote na anajisifua yeye umbea haachi, sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange' hapo Buza?
kama kuna anayeelewa any +ve influence/teachings that will be built by this series anijuze.
Naona kama uovu unapigiwa chapuo sana humu.
Nawasilisha haya nikiwa na masikitiko sana.
Basi bwana kikakuta tamthilia ya saluni ya mama Kimbo Ila kila nikiangalia sioni mafunzo chanya ya kizazi kijacho nikajiuliza hivi haka katoto kanachoigiza umbea na haya mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?
Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote na anajisifua yeye umbea haachi, sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange' hapo Buza?
kama kuna anayeelewa any +ve influence/teachings that will be built by this series anijuze.
Naona kama uovu unapigiwa chapuo sana humu.
Nawasilisha haya nikiwa na masikitiko sana.