Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Leo jioni nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine.

Basi bwana kikakuta tamthilia ya saluni ya mama Kimbo Ila kila nikiangalia sioni mafunzo chanya ya kizazi kijacho nikajiuliza hivi haka katoto kanachoigiza umbea na haya mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?

Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote na anajisifua yeye umbea haachi, sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange' hapo Buza?

kama kuna anayeelewa any +ve influence/teachings that will be built by this series anijuze.

Naona kama uovu unapigiwa chapuo sana humu.

Nawasilisha haya nikiwa na masikitiko sana.
 
Kuna wakati nikiwa kwenye kijiwe/dukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia wanachoangalia wateja wengine, kila nikiangalia sioni mafunzo ya kizazi kijacho kama kuna anayeelewa anya +ve influence that's built by this series anijuze.

Naona kama UOVU UNAPIGIWA CHAPUO SANA HUMU.

Nawasilisha
Funzo usikae uswaz buza yatakukuta mambo ushangae, kaa huko ushuani masaki na obey uokoe kizazi chako
 

Attachments

  • 20220901_191518.jpg
    20220901_191518.jpg
    34.5 KB · Views: 13
Ila kimbembe ana kipaji Sana asee ingawa uhusika wake si mzuri ktk jamii ya kiafrika(si mfano wa kuigwa)

Kuna episode moja alikuwa anamfokea kuku jogoo Kwa kuwika wakati yeye ana stress kibao..hayo maneno alivyokuwa anamchamba jogoo lazima ucheke,dogo ameibeba sn Ile tamthiliya

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu sisi wazazi tunawaza kizazi kijacho aisee😡😡
 
Mkuu sisi wazazi tunawaza kizazi kijacho aisee[emoji35][emoji35]
Yeah.. tamthiliya ime portray uhuni kana kwamba ni kitu cha kujivunia,uswahili,wizi, umalaya NK

Pia buza Kama buza imepewa sofa mbaya,wasioijua buza wanaweza kudhani ni sehemu isiyofaa kuishi lkn Stori ni tofauti ukifika

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Yeah.. tamthiliya ime portray uhuni kana kwamba ni kitu cha kujivunia,uswahili,wizi, umalaya NK

Pia buza Kama buza imepewa sofa mbaya,wasioijua buza wanaweza kudhani ni sehemu isiyofaa kuishi lkn Stori ni tofauti ukifika

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu kwa mawazo mujarabu, hii inapotosha sana hasa ukijua nguvu na utandawazi
 
Hichi kin'gamuzi ni udini sana .....kufundisha watoto kushika mapanga na mambo ya kishog@ sana.....angalia tamthilia zao nyingi haya mambo yamo......(ushoga,ugaidi na udini)
 
Hichi kin'gamuzi ni udini sana .....kufundisha watoto kushika mapanga na mambo ya kishog@ sana.....angalia tamthilia zao nyingi haya mambo yamo......(ushoga,ugaidi na udini)
Mkuu unahama mada, mimi nauliza mada ya Saluni ya Mama Kimbo, mambo mengine achana nayo, jikite kwenye mada
 
Mama kimbo kama upo humu ni pm, asiye mama kimbo asinitafute tafadhari,
 
Back
Top Bottom