Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

Kuna wakati nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine.

Ila kila nikiangalia sioni mafunzo +ve ya kizazi kijacho, hivi haka katoto kanachoigiza umbea na mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?

Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange'?

kama kuna anayeelewa any +ve influence that will be built by this series anijuze.

Naona kama UOVU UNAPIGIWA CHAPUO SANA HUMU.

Nawasilisha nikiwa na masikitiko sana
Maudhui yake ni ujingaujinga.Hawana uwezo wa kupangilia visa endelevu.Kwa nini?Huwa napenda wanachokiangalia watoto wangu kukifuatilia.Niliangalia nikagundua ni mipumbafu fulani ambayo haiongei kwa utuo na inapiga mikelele kwa kuvaa hovyohovyo.Wabadilishe muongozaji.
 
Maudhui yake ni ujingaujinga.Hawana uwezo wa kupangilia visa endelevu.Kwa nini?Huwa napenda wanachokiangalia watoto wangu kukifuatilia.Niliangalia nikagundua ni mipumbafu fulani ambayo haiongei kwa utuo na inapiga mikelele kwa kuvaa hovyohovyo.Wabadilishe muongozaji.
Yaani ni maujinga na ku_brainwash watoto/vijana na mabinti ni maujinga tu yanazungumzwa
 
Yaani ni maujinga na ku_brainwash watoto/vijana na mabinti ni maujinga tu yanazungumzwa
Na watoto kwa akili zao wanacheka tu.Sasa,nikajiuliza.Kwa hiyo muda ambao sipo nyumbani watu ambao nilidhani wanabaki na watoto kuwalea kupitia runinga ndiyo hawa?Nilichoka kabisa.Nimetumia akili kubadilisha akili za watoto wasitazame huo ujinga bila kugombana nami.Kazi ipo aisee!
 
Kuna wakati nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine.

Ila kila nikiangalia sioni mafunzo +ve ya kizazi kijacho, hivi haka katoto kanachoigiza umbea na mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?

Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange'?

kama kuna anayeelewa any +ve influence that will be built by this series anijuze.

Naona kama UOVU UNAPIGIWA CHAPUO SANA HUMU.

Nawasilisha nikiwa na masikitiko sana
SOAP OPERA ni burudani tu ambayo inakupa hali ya maisha ya mtaani.
 
Na watoto kwa akili zao wanacheka tu.Sasa,nikajiuliza.Kwa hiyo muda ambao sipo nyumbani watu ambao nilidhani wanabaki na watoto kuwalea kupitia runinga ndiyo hawa?Nilichoka kabisa.Nimetumia akili kubadilisha akili za watoto wasitazame huo ujinga bila kugombana nami.Kazi ipo aisee!
Hongera kama umefanikiwa maana watoto ni white papers kila unachoandika kinakaa
 
Wakati unaburudika unajua kuna vitu vinapandwa kwenye ubongo wa mtazamaji?
Watengenezaji na warushaji wa hicho kipindi ni wafanyabiashara wanaotafuta wateja wa bidhaa yao kama ilivyo kwa wauza pombe, unga, maharage, nguo, sigara, bangi n.k.

Suala la kudhibiti madhara yatokanayo na bidhaa ni la serikali. Mfanyabiashara anaamgalia faida.
 
Watengenezaji na warushaji wa hicho kipindi ni wafanyabiashara wanaotafuta wateja wa bidhaa yao kama ilivyo kwa wauza pombe, unga, maharage, nguo, sigara, bangi n.k.

Suala la kudhibiti madhara yatokanayo na bidhaa ni la serikali. Mfanyabiashara anaamgalia faida.
Sijamtaja mfanyabiashara nazungumzia "mlaji" consumer wa haya maudhui na matokeo yake ya hapo baadae. Sisi kama walaji tunajifunza kitu gani kupitia hii tamthilia, hasa watoto na vijana wadogo?
 
Wakati unaburudika unajua kuna vitu vinapandwa kwenye ubongo wa mtazamaji?
Si kila sinema lazima iwe inafundisha na baadhi ya sinema wewe mtazamaji unadaka baadhi ya mambo na kuyajengea hoja mwenyewe, mbona sinema za kihindi zilijijengea umaarufu japa nchini licha ya lugha kuwa ya kihindi, watu walikuwa wakizielezea vizuri sana.
Ungejua SOAP OPERA ni nini wala usingehangaika.
 
Sijamtaja mfanyabiashara nazungumzia "mlaji" consumer wa haya maudhui na matokeo yake ya hapo baadae. Sisi kama walaji tunajifunza kitu gani kupitia hii tamthilia, hasa watoto na vijana wadogo?
Hapa inabidi NAPE awajibike kwa kuruhusu wananchi kulishwa sumu.
 
Si kila sinema lazima iwe inafundisha na baadhi ya sinema wewe mtazamaji unadaka baadhi ya mambo na kuyajengea hoja mwenyewe, mbona sinema za kihindi zilijijengea umaarufu japa nchini licha ya lugha kuwa ya kihindi, watu walikuwa wakizielezea vizuri sana.
Ungejua SOAP OPERA ni nini wala usingehangaika.
Sikuzungumzii wewe uliyepevuka kiakili nazungumzia watoto na vijana na mabinti wadogo/wasichana
 
Hapa inabidi NAPE awajibike kwa kuruhusu wananchi kulishwa sumu.
Burudani inapaswa kuambatana na mafunzo ndio maana baadhi ya nyimbo japo zinaburudisha lakini BASATA wanazifungia kutokana na maudhui yao kutofautiana na utamaduni wa mtanzania. Na hili pia ningetamani liangaliwe
 
Kuna wakati nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine.

Ila kila nikiangalia sioni mafunzo +ve ya kizazi kijacho, hivi haka katoto kanachoigiza umbea na mashangingi mnauhakika baadae katabadilika?

Na huyu mwanamme m'mbeya anayeshinda na wanawake muda wote sio ndio atapelekwa mtaa wa 'Mpalange' hapo Buza?

kama kuna anayeelewa any +ve influence that will be built by this series anijuze.

Naona kama UOVU UNAPIGIWA CHAPUO SANA HUMU.

Nawasilisha nikiwa na masikitiko sana
Hayo ni maujinga yanayorushwa na vyombo vya habari kama yale mangoma ya kienyeji ya pwani wanayoyaita singeli yaliyojaa maneno ya hovyo yasiyafaa mbele ya jamii
 
Hayo ni maujinga yanayorushwa na vyombo vya habari kama yale mangoma ya kienyeji ya pwani wanayoyaita singeli yaliyojaa maneno ya hovyo yasiyafaa mbele ya jamii
Aisee yaan kuna mambo yanasikitisha sana ukiyatazama kwa kina
 
Kwani kila kipindi lazima mwanao aangalie? Vipindi vingi vya kwenye runinga sio mahsusi kwa watoto piga marufuku wasiangalie , waangalie vile vinavyoendana na umri wao.
Mkuu sizungumzii individuals, nazungumzia jamii as a whole, nikimzuia wangu wako akaangalia hawatakutana mtaani? Panua wigo wa kufikiri
 
Hiyo series inaelezea maisha ya kila siku huko uswahilini ni kama documentary flani tu hivi, yaani kwa mtu asiyejua maisha ya uswahilini yalivyo akiangalia hiyo series ndiyo ajue, siyo kila kitu cha kujifunza
 
Ah kiufupi pale watu wengi Ni kuburudisha TU. Pia wanajaribu kutuonesha uhalisia wa maisha ya Buza na mfanowe huko, Tandale, mbagala, Temeke .umbeya, umaskini, ngoma na michambo ni tabia za kawaida. Na tabia hizi juu wait wanazipenda na kuzidumisha.
Ashura bila umbeya halali Wala hapiki na hashibi..
Hao watu hata kwetu wapo. Kwa huyu kijana dogo Kimbembe Ni mwigizaji ambae anajaribu kuonesha anafit kuigiza popote.. kwa muonekano wake Kuna siku ataigiza Kama tajiri, sharobaro tukamwelewa..
Nb Mama kimbo inafundisha vitu vingine vya ovyo kwa watoto eg ngoma ziso staha, ukufi wa nidhamu na umbea.
 
Back
Top Bottom