jaman wanaMMU naombeni msaada wenu kwa anayejua sifa za mabinti wa kinyaturu atiririke hapa kabla sijafanya maamuzi magumu
wazuri,wanamajivuno mengi,wanapenda kumkontroo mwanaume,wengi wanaanza kwa upole but after sometime ukicheche unaanza,so kabla hujaanza naye usimuonyeshe kuwa wewe mlaini sana na unajua kupenda sana usigeuzwe mume -----.positively,wengi ni watafutaji sana na pia wanajua kuzitumia
Fuga punda wanapenda sana nyama yake na usiwe na wivu wa mapenzi kugongewa must mkuu ni kama kuokota jiwe barabarani wepesi mno.Nitakuwa nimekupa mwanga kidogo.Usisahau wana viburi balaa