Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Kwa hiyo wazee wetu waliostaafu hawana tena uwezo wa kujua jema na baya..?! Maana nyingine hawana thamani??

Wewe jamaa hovyo kabisa!
Kwani ulikua ujui mtu akishazeeka akiri inaludi utoto au uwezo wa kifkr kunapungua?????
 
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma..1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa......nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika
Mkuu sasa iyo TBC2 ndio uozo kabisaaaaa nyimbo mwaka wa 9 huu nyimbo zile zile halafu za kitambo sasa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
TBC1 wamechagua kupika misosi studio. Tena siku moja mpishi aliulizwa na mtangazaji eti ni mwanamke gani anayemvutia zaidi katika nyanja zote maishani
Mpishi akajibu; baba yangu. Kweli TBC? Mmemtoa wapi mpishi yule
 
TBC shirika la utangazaji,lenye nidhamu,maadili na pia linalowalisha watazamaji na wasikilizaji wa Kila rika

Siyo kwamba hawasikii malalamiko yenu ya miaka nenda rudi,ila wanaangalia maudhui

Na pia mbona Kuna TV kibao,ukitaka muziki,tamthilia,mipira na mambo kibao kwani uikalie kooni TBC

Kuna channels zinapiga muziki tu
Wasafi
Trace music

Na nyingine kibao zipo unataka wimbo wako pendwa wa bia tamu upigwe Kila saa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo nyimbo hata kwenye baadhi ya mabasi wanazo daily in year ni hizo hizo.

Kwa upande wa hiyo TV huwa ipo hivi; mtangazaji wa zamu ndiye mwenye tatizo maana anafahamu kuwa ikifika saa 0100hrs wengi mpaka meneja wameshalala, so kwenye playlist machine zipo hizo na kwa kuwa ni time mbaya anaweza pitiwa na usingizi.

Mwanzo anaweka nyimbo za kawaida kadiri muda unavyokwenda inafikia hatua zinafika kwenye playlist hiyo yeye akiwa nusu kaputi.

Hii iliwahi mtokea mtangazaji flani pale redio one, kaweka playlist akatoka kwenda kwenye tukio flani, tunaofaham hiyo tukamuona huyu hapa huku kule zinapiga nyimbo na ikifika saa flani kamili unamsikia anaongea (imetimia saa 0 kamili)
 
TBC1 wamechagua kupika misosi studio. Tena siku moja mpishi aliulizwa na mtangazaji eti ni mwanamke gani anayemvutia zaidi katika nyanja zote maishani
Mpishi akajibu; baba yangu. Kweli TBC? Mmemtoa wapi mpishi yule
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyimbo zote ulizotaja kwa tulioishi enzi hizo, ni tamu sana, wala hazichoshi.
Sema tu muda sio rafiki. Mimi ningependa.
Penye penzi hapakosi tezi,
Wakale walisema,
Hauwezi kula muwa bila kukuta fundo
Halafu: gitaa la mzee mzima Mabela!(RIP)
 
Back
Top Bottom