Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

Kwa hiyo wazee wetu waliostaafu hawana tena uwezo wa kujua jema na baya..?! Maana nyingine hawana thamani??

Wewe jamaa hovyo kabisa!
Unauliza au unapigia jibu mstari?
 
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma.

1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika
Asante mlinzi
 
Habari Wadau

Yawezekana kabisa kuna watu siju hizi hawaangalii TBC 1. Lakini kuna ambao kila siku kuanzia saa 10 usiku tunaiangalia TBC 1 kutokana na shughuli tunzokuwa tunazifanya.

Muda woe huo kipindi cha mwaka mzima huwa zinapigwa nyimbo hizo hizo mpaka tumezikariri. Wimbo zinapigwa kila siku ni zile za Msondo ngoma.

1. Kaza roho, Ajali na Penye penzi hapakosi Tezi. Baadae inafuata Nakei Nairobi ya Mbilia Bel. Kisha unafuata wimbo wa Sina makosa nyimbo hizi ni mwaka mzima sasa.

Hivi nchi yote hii kuna wasanii hao hao tu au flash ya hizo nyimbo iliharibikia humo humo kwenye kompyuta. Fuatilieni muone. Labda watabadilika
Tv za wazee tunawaachia wazee
 
Aisee wameshatuchomea kibanda hawa..Ngoja tuwabadilishie playlist
 
Nunua kifurushi uache makasiriko
Nilichogundua kumbe isipokuwa na kifurushi inabakia TBCCM basi ndio maana huyu jamaa ana makasiriko sana😃😃😃😃

Aombe hata 20,000 aweke kile Cha 19,900 aondokqae na hizi makasiriko zake maana anadanganya eti yeye anaangalia usiku tu kulingana na kazi zake, Yani unatoka umechoka unaanzaje kuwaza kuangalia TBC ukiacha kuangalia TV yenyewe hiyo saa 11?
 
Tv za wazee tunawaachia wazee
Mzee gani anaangalia TV saa kumi alfajiri??? Huyu ni kijana mwenzio mshauri anunue kifurushi atamaliza hizo makasiriko, aache uongo wake pia 😃😃
 
Ivi yule jamaa " Hili ndo jabali la Africa" [emoji23][emoji23][emoji23] aliekua anaripoti propaganda za Jpm kutoka Stigler's gorge bado yupo?

Mimi Tbc huiona nikiwa safari kwenye lodge za bei rahisi[emoji23]
 
Huo ndio ubunifu wa Ayub Ryoba Chacha tangu aache kuwa mhadhiri
 
Watangazaji was tbc wanakamtindo flan utakuta wanarekod kipindi wanakirudia zaid Mara kumi ko mtangazaji akifika anachukua aliorekod wiki iliopita anaweka inacheza afu anakaa tu sis uku tunajua kipindi kipya kumbe Ni kipindi Cha mwaka 2012.
 
Unaanzaje kuangalia hiyo tv? Tv utadhani ya wapiga ramli
 
Back
Top Bottom