Anayehitaji msaada wa mambo ya kodi

MALYENGE! MUNGU akubaliki sana japo kwenye saccos umeweka kona nyingi ila umepambanua vizuri sana kwenye AMCOS.Kuwa na usiku mwema.
 

Siku zote nilikuwa najua ile kamisheni ikishatolewa kwa wakala inakuwa kodi ishakatwa so wewe kama wakala unaendelea na biashara tu bila kuhangaika na TRA.
Nashkuru kwa darasa mkuu.
Umenifumbua macho, ntawajulisha na wengine.
 
Siku zote nilikuwa najua ile kamisheni ikishatolewa kwa wakala inakuwa kodi ishakatwa so wewe kama wakala unaendelea na biashara tu bila kuhangaika na TRA.
Nashkuru kwa darasa mkuu.
Umenifumbua macho, ntawajulisha na wengine.

Nashukuru mkuu. Mkuu unajua nchi hii wataalam wa kodi ni wachache sana! Wanasoma kodi kama somo na si kama kozi. Na hata wale wanaosoma kodi hawaisomi kama ni taaluma ya sheria. Wanaisoma kama maelezo tu na si tafsiri ya kisheria wakiamini kodi si sheria. They are wrong! Kwa kuwa umeelewa nashukuru. Tuendelee kuelimishana in future.
 
Asante sana. Nimekupa like hapo. Kazi nzuri sana.
Hii ndo inamaanisha great thinkers kinaga ubaga.

Endelea kuwaelimisha wengi wengi zaidi ili wafaham zaidi
 

Umenisaidia sana mkuu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kuna mtaalamu mmoja wa Kodi alisema "Tax is not always proportionate rather is progressive" Naomba ufafanuzi mtaalamu huyo alikuwa ana maanisha nini?
 
Kuna mtaalamu mmoja wa Kodi alisema "Tax is not always proportionate rather is progressive" Naomba ufafanuzi mtaalamu huyo alikuwa ana maanisha nini?
Mkuu nyelesa umeona kichwa cha mada hapo juu? Tunajadili sheria za kodi na si principles za kodi. Maana principles za kodi si sheria. Stick to the topic please!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Malyenge naomba kuuliza swali la awali kabisa,Kwanza kuna aina ngapi za kodi zinazopaswa mwananchi kulipa Tanzania? Nnavyojua kuna VAT,PAYE na zipi?

Naomba mchanganuo tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Malyenge naomba kuuliza swali la awali kabisa,Kwanza kuna aina ngapi za kodi zinazopaswa mwananchi kulipa Tanzania? Nnavyojua kuna VAT,PAYE na zipi?

Naomba mchanganuo tafadhali.

Mkuu nemulo hebu liweke vizuri swali lako. Huyo mwananchi uliyemkusudia ni yupi? Maana kwa ninavyojua ukisema "mwananchi" ulikusudia mtu ama kampuni raia wa Tanzania. Kitu ambacho kwa sheria za kodi sivyo......Kila mtu anapaswa kulipa kodi bila kujali ni Mwananchi wa tanzania ama la.
Pia swali lako lina ambiguity kwa maana hujafafanua huyo "mwananchi" anashughuli gani mpaka apate kulipa hiyo kodi. Huwezi kusema mwananchi aliyeajiriwa alipe kodi ya corporate tax wakati hana kampuni. Hebu liweke vizuri swali.
Kwa kukusaidia kuna vyanzo vitatu vya kutoza kodi navyo ni pato litokanalo na ajira, pato litokanalo na biashara na pato litokanalo na uwekezaji. Ukichagua aina ya pato hapo ninaweza kukutajia idadi ya kodi inayopaswa kulipwa kutokana na aina ya chanzo.
 
Utalipa kodi ya dola 2,577 mkuu.
 
[TABLE="class: cms_table, align: left"]
[TR]
[TD]Mkuu sirdelta nilishaweka formula huko nyuma. Tazama #3 huko juu kisha pachika mshahara wako na utapata jibu.
Niliweka formula hii (si ya kutunga bali iko kwenye jedwali la kwanza la sheria ya kodi ya mapato 2004)


SHAHARA KWA MWEZI[/TD]
[TD]



KIWANGO CHA KODI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shilingi 0 –Mpaka shilingi 170,000[/TD]
[TD]HAKUNA yaani mshahara huo umesamehewa kodi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shilingi 170,000 –Mpaka shilingi 360,000[/TD]
[TD]Kodi ni 12% ya ziada ya shs 170,0000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shilingi 360,000 –Mpaka shilingi 540,000[/TD]
[TD]Kodi ni sh 22,800 kujumlisha 20% ya ziada ya 360,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shilingi 540,000 –Mpaka shilingi 720,000[/TD]
[TD]Kodi ni sh 58,800 kujumlisha25% ya ziada ya 540,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shilingi 720,000 –Na zaidi[/TD]
[TD]Kodi ni sh 103,800 kujumlisha 30% ya ziada ya 720,000

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Last edited by a moderator:
habari
vp kwa mtu anaeanza biashara,anahitajika afanye biashara kwa muda kdg (miezi 6)ndio aanze kulipa mapato au ni lazima akadiriwe kodi kwanza ndio aanze biashara,na je anakadiriwa nn wakati hajaifanya hy biashara? sheria ya kodi ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…