Anayeijua vizuri Shooters ya Mtwara

Anayeijua vizuri Shooters ya Mtwara

yes bado ipo
Ni kiwanja cha zamani sana hiyo mitaa ya uwanja wa mpira Nangwanda

Ndani palikuwa padogo sana ila nje aliweka vimitumbwi vya kukalia na bango kubwa juu lenye picha ya samaki limeandikwa shooters

Mtwara ilikufa rasmi mwaka 2013 mwishoni baada ya serikali kuondoa gas na processing zifanyike Dar lakini mpaka leo story za Gas kimya

Mji huo kama ungebaki bila serikali ya kikwete kubadili maamuzi ya Gas leo Dar ingeonekana ni kijiji cha wavuvi

Huo mji hapo mjini viwanja vilikuwa vinauzwa milion 900 miaka ya 2012 to 2013

Mtwara ilikuwa ni mji ambao matajiri toka mikoa mbalimbali wanagawana ardhi kama njugu

Bila Mambo ya Gesi kuzimwa na JK leo mtwara ingekuwa ni moja ya miji mizuri na mikubwa Tanzania na ya mfano

Mtwara pako vizuri sana na mji sio slum kama Dar,Mji wao ulipimwa

Wajanja walipiga pesa wakasepa lakini leo sijui hata milioni 10 kama vinauzika

Wanasiasa wote walinunua viwanja huko,Eneo lote la beach matajiri walilinunua kwa bei mbaya sana

Walijaa wazungu huko miaka ya 2012/2013 unaweza ukahisi ulaya imehamia mtwara

Kulikuwa na matumizi ya pesa ambayo sijapata kuyaona ,Maisha yalikuwa juu sana lakini mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana

Taasisi zote za fedha unazozijua zilijaa mtwara,kulikuwa na utitiri wa mabenki huko lakini yote yameondoka wamebaki BOT na zile Giant Bank tu
 
Kiwanja kikubwa ni LEOPARD PUB & LOUNGE iko shangani hapo

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Mmliki wake aliitwa Ray kasuga alikuwa na duka la wine pale mjini karibu na NMB zamani au mitaa ya BIMA

Ni kiwanja cha zamani pia lakini kilianzishwa baada ya shooters

Kilijulikana kama kiwanja cha matajiri enzi hizo wanaojiweza kidogo

Baada ya mtwara kupoa ,Mimi niliondoka huko

Sijajua kama kuna jipya tena mtwara maana hata Maisha club nasikia ilifungwa
 
It's not that I want you to be me. That's is impossible ,I am unique you are unique.
I just want you to check again your moral and ethical understanding of life in general.
So young guy try to improve your moral and ethical principles.
Kwa hiyo bwana mdogo hivyo vitu unavyoviulizia Kwa msisitizo hivyo wakati sio vizuri MF ( eti sehemu ambapo kuna mabinti wadogowadogo wanafunzi wakwenda kufanyanao sex Kwa kununua Na sio kutongoza hutaki usumbufu wa kutongoza).
Check on you moral and ethic principles , you are lost.
MPUMBAVU MKUBWA WEWE.
unaelimishwa unajifanya kupinga stupid asshole

Mkuu waweza kuna na tatizo la erectile Dysfunction. Mwanaume ambae hana tatizo la ED hawezi kuandika ulicho andika wewe.
 
Ni kiwanja cha zamani sana hiyo mitaa ya uwanja wa mpira Nangwanda

Ndani palikuwa padogo sana ila nje aliweka vimitumbwi vya kukalia na bango kubwa juu lenye picha ya samaki limeandikwa shooters

Mtwara ilikufa rasmi mwaka 2013 mwishoni baada ya serikali kuondoa gas na processing zifanyike Dar lakini mpaka leo story za Gas kimya

Mji huo kama ungebaki bila serikali ya kikwete kubadili maamuzi ya Gas leo Dar ingeonekana ni kijiji cha wavuvi

Huo mji hapo mjini viwanja vilikuwa vinauzwa milion 900 miaka ya 2012 to 2013

Mtwara ilikuwa ni mji ambao matajiri toka mikoa mbalimbali wanagawana ardhi kama njugu

Bila Mambo ya Gesi kuzimwa na JK leo mtwara ingekuwa ni moja ya miji mizuri na mikubwa Tanzania na ya mfano

Mtwara pako vizuri sana na mji sio slum kama Dar,Mji wao ulipimwa

Wajanja walipiga pesa wakasepa lakini leo sijui hata milioni 10 kama vinauzika

Wanasiasa wote walinunua viwanja huko,Eneo lote la beach matajiri walilinunua kwa bei mbaya sana

Walijaa wazungu huko miaka ya 2012/2013 unaweza ukahisi ulaya imehamia mtwara

Kulikuwa na matumizi ya pesa ambayo sijapata kuyaona ,Maisha yalikuwa juu sana lakini mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana

Taasisi zote za fedha unazozijua zilijaa mtwara,kulikuwa na utitiri wa mabenki huko lakini yote yameondoka wamebaki BOT na zile Giant Bank tu
Umeeleza vizuri..ila hapo uliposema kwamba hakuna slums natofautiana na wewe.
Iko hivi; Kipindi ulichokitaja cha kupanda kwa maisha kilisababisha maisha ya watu wa kawaida/ wapangaji kuwa magumu baada ya kodi za nyumba kuwa juu. Hivyo,wapangaji wengi walihama mjini Kati na kwenda kununua viwanja na kujenga bila mpangilio vijumba (slums)vyao eneo la Mbae.
 
Ni kiwanja cha zamani sana hiyo mitaa ya uwanja wa mpira Nangwanda

Ndani palikuwa padogo sana ila nje aliweka vimitumbwi vya kukalia na bango kubwa juu lenye picha ya samaki limeandikwa shooters

Mtwara ilikufa rasmi mwaka 2013 mwishoni baada ya serikali kuondoa gas na processing zifanyike Dar lakini mpaka leo story za Gas kimya

Mji huo kama ungebaki bila serikali ya kikwete kubadili maamuzi ya Gas leo Dar ingeonekana ni kijiji cha wavuvi

Huo mji hapo mjini viwanja vilikuwa vinauzwa milion 900 miaka ya 2012 to 2013

Mtwara ilikuwa ni mji ambao matajiri toka mikoa mbalimbali wanagawana ardhi kama njugu

Bila Mambo ya Gesi kuzimwa na JK leo mtwara ingekuwa ni moja ya miji mizuri na mikubwa Tanzania na ya mfano

Mtwara pako vizuri sana na mji sio slum kama Dar,Mji wao ulipimwa

Wajanja walipiga pesa wakasepa lakini leo sijui hata milioni 10 kama vinauzika

Wanasiasa wote walinunua viwanja huko,Eneo lote la beach matajiri walilinunua kwa bei mbaya sana

Walijaa wazungu huko miaka ya 2012/2013 unaweza ukahisi ulaya imehamia mtwara

Kulikuwa na matumizi ya pesa ambayo sijapata kuyaona ,Maisha yalikuwa juu sana lakini mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana

Taasisi zote za fedha unazozijua zilijaa mtwara,kulikuwa na utitiri wa mabenki huko lakini yote yameondoka wamebaki BOT na zile Giant Bank tu
Usimlaumu JK.Unakumbuka Mtwara mlianza kuleta fujo mkidai mbaki nayo gesi iwafaidishe wenyewe?Maneno maneno sio...basi shari iepukwe.Ndio hivi mtwara sasa..
 
We mzee acha upumbafu,dunia ya sasa sio kama ya 1940,kaa kutulia muda wako uko tamati leo wajukuu zako,
Sawa endeleeni kuhamasishana mambo ya kipumbavu .
Nimeshuhudia washkaji zangu wengi wakipoteza maisha Kwa sababu ya kuendekeza umalaya huo wa kununua machangudoa pale Kwa macheni magomeni.
Vijana kuweni makini kufa kupo ila sio kufa Kwa Ukimwi wa kuununua hivyo.
SAWA MNCHOKITFUTA MTAKIPATA
 
Upo sahihi kabisa mkuu kama kijana wa kiume kuwa rijali ni tatizo basi nipo tatizo tena kubwa sana. Wewe endelea kutokuwa na matatizo
Kwa hiyo bwa mdogo kwako wewe urijali ni kutombatomba hovyo malaya wa kununua sehemu za starehe?
Na ndiyo tafsiri yako ya urijali, I am very sorry for you .
URIJALI ni uwezo wa mwanaume kumpa mwanamke ujauzito, kulea mimba na kumlea mtoto/watoto watakaozaliwa katika misingi iliyokubalika Kwenye jamii.
 
Upo sahihi kabisa mkuu kama kijana wa kiume kuwa rijali ni tatizo basi nipo tatizo tena kubwa sana. Wewe endelea kutokuwa na matatizo
Bwa mdogo huo sio URIJALI utakuwa Na matatizo makubwa Kwenye Cerebrum yako "The cerebrum is the centre for memory, intelligence, judgement, conscious thought, and other activities associated with thinking, reasoning, and feeling".
Pole sana nakushauri kaonane Na wataalamu wa saikologia mapema
 
Back
Top Bottom