Anayeijua vizuri Shooters ya Mtwara

Anayeijua vizuri Shooters ya Mtwara

Bwa mdogo huo sio URIJALI utakuwa Na matatizo makubwa Kwenye Cerebrum yako "The cerebrum is the centre for memory, intelligence, judgement, conscious thought, and other activities associated with thinking, reasoning, and feeling".
Pole sana nakushauri kaonane Na wataalamu wa saikologia mapema
Ulienda shule kukariri kumbe
 
Mkuu hizo siyo starehe ni Umalaya Na Upumbavu mtupu.
Kama mtu umalaya ndio anaona starehe ni vyema aformat ubongo wake.
Ajitahidi kusoma vitabu vya morals and ethics vitamsaidia kubadili code of conduct zake pamoja na mfumo wake wa maisha
Wewe ndo unahitaji ku format ubongo wako mkuu. Kama unayachukulia kwa u serious maneno ya kwenye comment ya mtu usie mjua basi something is missing in ur head
 
Sawa endeleeni kuhamasishana mambo ya kipumbavu .
Nimeshuhudia washkaji zangu wengi wakipoteza maisha Kwa sababu ya kuendekeza umalaya huo wa kununua machangudoa pale Kwa macheni magomeni.
Vijana kuweni makini kufa kupo ila sio kufa Kwa Ukimwi wa kuununua hivyo.
SAWA MNCHOKITFUTA MTAKIPATA

Nivyema ukazingatia zaidi kulea wajukuu na familia yako hii dunia ukijifanya baba ushauri utaumia na moyo bure ama kuishia kujiripua kama magaidi wa kidini,wacha watu waenjoy maisha yao unaweza usife kwa ngoma ukapaliwa mfupa wa samaki ukafa,usitishe sana vijana acha wale bata.
 
Wewe ndo unahitaji ku format ubongo wako mkuu. Kama unayachukulia kwa u serious maneno ya kwenye comment ya mtu usie mjua basi something is missing in ur head

Fala kweli wewe bwana mdogo.nakunukuu wewe mwenyewe na ufala wako "Kama unachukulia Kwa u userious maneno ya Kwenye comment ya mtu useyemjua basi something is missing in ur head.".
Namalizia wewe ni fala Na bwege mtozeni usiyejitambua bloodyfucking
 
Nivyema ukazingatia zaidi kulea wajukuu na familia yako hii dunia ukijifanya baba ushauri utaumia na moyo bure ama kuishia kujiripua kama magaidi wa kidini,wacha watu waenjoy maisha yao unaweza usife kwa ngoma ukapaliwa mfupa wa samaki ukafa,usitishe sana vijana acha wale bata.
Kama.Na wewe ni.mmoja wao hao.mnaenjoy maisha Kwa kununua. Malaya huko Kwenye mabar Pole sana hiyo siyo starehe
Sina cha kuumia roho Kwa kutoa ushauri ambao upo moral and ethical right katika jamii.
Halafu nakushauri heshimu na thamini zawadi ya uhai usiuchezee .
Kufa kupo na kila nafsi itaonja mauti. lakini
Nakwambia tena heshimu zawadi ya UHAI ambao unao .
Acha kuongea utumbo
Pumbavu zako
 
Kuna uzi nyingine ukiona maudhui yake hayakupendezi ni bora kupita kimya kimya ili usigombane na watu mnengene
Sawa mkuu ila ni vile.ambavyo inaonyesha morals and ethics katika jamii zimekuwa so corrupted Kwa mtu kama Mimi napata shida kupita kusema chochote ktk.kuwakumbusha wazingatie morals.and ethics za jamii..
Kwangu Mimi sioni shida kumshauri.mtu aachane na mwenendo.mbaya .
Inashangaza sana mtu unamshauri achana na hicho kitu sio kizuri Kwa faida yake , Anakujibu usinipangie maisha sijui Usitake tufanane and so forth.
Sasa mfano mtu mwizi unamwambia acha wizi sio mzuri. Then huyo mwizi Anakujibu usinipangie maisha ,Usitake ni fanane na wewe ,kila mtu na maisha yake..
Ndio kama Kwenye hii thread namshauri. mtu aache tabia ya umalaya anajibu Usitake tufanane.
Any way mwisho ya yote kila mtu na akili zake pamoja na utashi wake kuamua kufuata au kutofuata morals and ethics za Kwenye jamii lakini tutambue kutofuata kuna matokeo hasi
 
Sawa mkuu ila ni vile.ambavyo inaonyesha morals and ethics katika jamii zimekuwa so corrupted Kwa mtu kama Mimi napata shida kupita kusema chochote ktk.kuwakumbusha wazingatie morals.and ethics za jamii..
Kwangu Mimi sioni shida kumshauri.mtu aachane na mwenendo.mbaya .
Inashangaza sana mtu unamshauri achana na hicho kitu sio kizuri Kwa faida yake , Anakujibu usinipangie maisha sijui Usitake tufanane and so forth.
Sasa mfano mtu mwizi unamwambia acha wizi sio mzuri. Then huyo mwizi Anakujibu usinipangie maisha ,Usitake ni fanane na wewe ,kila mtu na maisha yake..
Ndio kama Kwenye hii thread namshauri. mtu aache tabia ya umalaya anajibu Usitake tufanane.
Any way mwisho ya yote kila mtu na akili zake pamoja na utashi wake kuamua kufuata au kutofuata morals and ethics za Kwenye jamii lakini tutambue kutofuata kuna matokeo hasi
Umeongea vizuri..machukizo ni mengi sana..na inafikirisha sana
 
Fala kweli wewe bwana mdogo.nakunukuu wewe mwenyewe na ufala wako "Kama unachukulia Kwa u userious maneno ya Kwenye comment ya mtu useyemjua basi something is missing in ur head.".
Namalizia wewe ni fala Na bwege mtozeni usiyejitambua bloodyfucking
Kama unadhani mtu anaweza kuwa hurt na maneno ya hovyo kutoka kwa stranger then something is missing in ur head.
 
Kama.Na wewe ni.mmoja wao hao.mnaenjoy maisha Kwa kununua. Malaya huko Kwenye mabar Pole sana hiyo siyo starehe
Sina cha kuumia roho Kwa kutoa ushauri ambao upo moral and ethical right katika jamii.
Halafu nakushauri heshimu na thamini zawadi ya uhai usiuchezee .
Kufa kupo na kila nafsi itaonja mauti. lakini
Nakwambia tena heshimu zawadi ya UHAI ambao unao .
Acha kuongea utumbo
Pumbavu zako

Pumbafu wewe unayejipa umuhimu kwenye maisha ya watu,kuna mtu kakuomba huo ushauri ama shobo zako,mzee wa hovyo wewe.

Mind your own business acha ulimbukeni.
 
Ni kiwanja cha zamani sana hiyo mitaa ya uwanja wa mpira Nangwanda

Ndani palikuwa padogo sana ila nje aliweka vimitumbwi vya kukalia na bango kubwa juu lenye picha ya samaki limeandikwa shooters

Mtwara ilikufa rasmi mwaka 2013 mwishoni baada ya serikali kuondoa gas na processing zifanyike Dar lakini mpaka leo story za Gas kimya

Mji huo kama ungebaki bila serikali ya kikwete kubadili maamuzi ya Gas leo Dar ingeonekana ni kijiji cha wavuvi

Huo mji hapo mjini viwanja vilikuwa vinauzwa milion 900 miaka ya 2012 to 2013

Mtwara ilikuwa ni mji ambao matajiri toka mikoa mbalimbali wanagawana ardhi kama njugu

Bila Mambo ya Gesi kuzimwa na JK leo mtwara ingekuwa ni moja ya miji mizuri na mikubwa Tanzania na ya mfano

Mtwara pako vizuri sana na mji sio slum kama Dar,Mji wao ulipimwa

Wajanja walipiga pesa wakasepa lakini leo sijui hata milioni 10 kama vinauzika

Wanasiasa wote walinunua viwanja huko,Eneo lote la beach matajiri walilinunua kwa bei mbaya sana

Walijaa wazungu huko miaka ya 2012/2013 unaweza ukahisi ulaya imehamia mtwara

Kulikuwa na matumizi ya pesa ambayo sijapata kuyaona ,Maisha yalikuwa juu sana lakini mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana

Taasisi zote za fedha unazozijua zilijaa mtwara,kulikuwa na utitiri wa mabenki huko lakini yote yameondoka wamebaki BOT na zile Giant Bank tu
Kipindi hiki ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Mtwara. Nilishangaa sana Mtwara iko tofauti na stori za watu kuwa kumechoka. Sehemu niliokuwa naipenda kwa utulivu wake ni Msemo,sijui bado ipo?
 
Pumbafu wewe unayejipa umuhimu kwenye maisha ya watu,kuna mtu kakuomba huo ushauri ama shobo zako,mzee wa hovyo wewe.

Mind your own business acha ulimbukeni.
Yaani nyie mnataka muachwe na.ma comment yenu ya hovyo hovyo .
Lazima tuyakemee kama vile ma pastor wanavyokemea mapepo madhabahuni.
Kama hamtaki kujibiwa maupumbavu yenu muwe mnayajadili hukohuko Kwenye vikao vyenu vya familia msiyalete huku public Kwa magreat thinkers
Pumbavu zako
 
Wewe ndio umekua hurted Kwa maneno yangu ya Hekima.
Kwa hiyo unatoa makoment ya kipumbavu huku mtandaoni Kwenye public yaachiwe uendelee ku pollute jamii,
Mkuu umeshaambiwa hapo juu kama jambo unaona halikuhusu unapaswa kuachana nalo. Hapa wewe ndio unaonekana kituko . Live ur life so that others too May live their lives usitake kupangia watu sheria zako za mwaka 87
 
Back
Top Bottom