jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Yaani nyie mnataka muachwe na.ma comment yenu ya hovyo hovyo .
Lazima tuyakemee kama vile ma pastor wanavyokemea mapepo madhabahuni.
Kama hamtaki kujibiwa maupumbavu yenu muwe mnayajadili hukohuko Kwenye vikao vyenu vya familia msiyalete huku public Kwa magreat thinkers
Pumbavu zako
🤣🤣🤣🤣Hayo mahubiri na makemeo yamepunguza maasi nadhambi kiasi gani?
Pia na wewe fungua uzi wa kukemea hayo maasi na dhambi unaingilia uzi usio kuhusu,nyanoko
Mkuu umeshaambiwa hapo juu kama jambo unaona halikuhusu unapaswa kuachana nalo. Hapa wewe ndio unaonekana kituko . Live ur life so that others too May live their lives usitake kupangia watu sheria zako za mwaka 87
Labda mtafitiToo much questions....unaandika kitabu ?
"Hurted" ?Wewe ndio umekua hurted Kwa maneno yangu ya Hekima.
Kwa hiyo unatoa makoment ya kipumbavu huku mtandaoni Kwenye public yaachiwe uendelee ku pollute jamii,
Una maanisha hilo Chaka liitwalo Paris ndio ni noma ama?Mtwara Shooters[emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna Leopard( zaman maisha club)
Kuna oxgen, triple v na escape one
Sofar hayo ndio machaka
Lindi sina uzoefu sana, japo kuna chaka linaitwa Paris [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni noma
Ask him"Hurted" ?
Umejiquote...!🤣🤣🤣🤣Nakazia
Wewe lazima uwe msukumaPoa poa kaka vipi vitoto vya elfu 2 vipo? And wachuchuz wanakuwaga wengi like 200 na kuendelea? Maana nataka kuwa sehemu ambayo kuna wachuchuz wengi sana ili nichague vizuri
Lindi ulofa mtupuWadau next weekend nitakuwa Mtwara then Lindi town. Naulizia anae ijua vizuri bar ya shooters ya Mtwara pamoja na viwanja vingine vinavyo happen hapo Mtwara mjini.
Kingine, hapo Lindi je kuna kiwanja ambacho kina happen kama shooters? Ni kiwanja gani au viwanja gani please?
With much thanks in advance.
ndege JOHN
Accumen Mo
Msemo ipoKipindi hiki ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufika Mtwara. Nilishangaa sana Mtwara iko tofauti na stori za watu kuwa kumechoka. Sehemu niliokuwa naipenda kwa utulivu wake ni Msemo,sijui bado ipo?
Kwani kumlipa mwanamke ili akupatie burudani ya kimapenzi ni jambo lisilo na maadili?Sawa mkuu ila ni vile.ambavyo inaonyesha morals and ethics katika jamii zimekuwa so corrupted Kwa mtu kama Mimi napata shida kupita kusema chochote ktk.kuwakumbusha wazingatie morals.and ethics za jamii..
Kwangu Mimi sioni shida kumshauri.mtu aachane na mwenendo.mbaya .
Inashangaza sana mtu unamshauri achana na hicho kitu sio kizuri Kwa faida yake , Anakujibu usinipangie maisha sijui Usitake tufanane and so forth.
Sasa mfano mtu mwizi unamwambia acha wizi sio mzuri. Then huyo mwizi Anakujibu usinipangie maisha ,Usitake ni fanane na wewe ,kila mtu na maisha yake..
Ndio kama Kwenye hii thread namshauri. mtu aache tabia ya umalaya anajibu Usitake tufanane.
Any way mwisho ya yote kila mtu na akili zake pamoja na utashi wake kuamua kufuata au kutofuata morals and ethics za Kwenye jamii lakini tutambue kutofuata kuna matokeo hasi
Tatizo mojawapo kubwa sana kwa Tanzanina ni inflation ya bei za viwanja. Mtu hujipangia bei kwa kuamini tu kuwa iko prime location bila kuangalia thamani halisi na infrastructure zilizopo.Ni kiwanja cha zamani sana hiyo mitaa ya uwanja wa mpira Nangwanda
Ndani palikuwa padogo sana ila nje aliweka vimitumbwi vya kukalia na bango kubwa juu lenye picha ya samaki limeandikwa shooters
Mtwara ilikufa rasmi mwaka 2013 mwishoni baada ya serikali kuondoa gas na processing zifanyike Dar lakini mpaka leo story za Gas kimya
Mji huo kama ungebaki bila serikali ya kikwete kubadili maamuzi ya Gas leo Dar ingeonekana ni kijiji cha wavuvi
Huo mji hapo mjini viwanja vilikuwa vinauzwa milion 900 miaka ya 2012 to 2013
Mtwara ilikuwa ni mji ambao matajiri toka mikoa mbalimbali wanagawana ardhi kama njugu
Bila Mambo ya Gesi kuzimwa na JK leo mtwara ingekuwa ni moja ya miji mizuri na mikubwa Tanzania na ya mfano
Mtwara pako vizuri sana na mji sio slum kama Dar,Mji wao ulipimwa
Wajanja walipiga pesa wakasepa lakini leo sijui hata milioni 10 kama vinauzika
Wanasiasa wote walinunua viwanja huko,Eneo lote la beach matajiri walilinunua kwa bei mbaya sana
Walijaa wazungu huko miaka ya 2012/2013 unaweza ukahisi ulaya imehamia mtwara
Kulikuwa na matumizi ya pesa ambayo sijapata kuyaona ,Maisha yalikuwa juu sana lakini mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana
Taasisi zote za fedha unazozijua zilijaa mtwara,kulikuwa na utitiri wa mabenki huko lakini yote yameondoka wamebaki BOT na zile Giant Bank tu
NdiooUna maanisha hilo Chaka liitwalo Paris ndio ni noma ama?
Ntaenda Paris mkuu nasubiri Ramadhani iisheLindi ulofa mtupu
Nasubiri Ramadhani lishe mkuuNdioo
Leta mrejesho