bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
MousufMkuu panda kidogo mpaka as thirty.
Magnetic
Gentle elsayt
Dar al shabaab
Zara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MousufMkuu panda kidogo mpaka as thirty.
Nimetumia Blue for MenMousuf
Magnetic
Gentle elsayt
Dar al shabaab
Zara
Hapo naondoka na Mousuf broNimetumia Blue for Men
Kisha nikachukua Dark Fever, naona inaelekea kuisha.
Sasa najiuliza, sijui nikienda Kariakoo Jtano nikachukue ipi kati ya hizo ulizo orodhesha hapo. Nishauri.
Mfano ukaletewa zote tano, uchukue moja, utaondoka na ipi.
Leo nimeenda Kariakoo nimerudi na Kigunia na karanga za kuchemsha.Hapo naondoka na Mousuf bro
[emoji23][emoji23] vipi unaionaje hiyoLeo nimeenda Kariakoo nimerudi na Kigunia na karanga za kuchemsha.
View attachment 2132157
Kuna Perfume ya hii marquis?View attachment 1768879
HaahaahaahahahaahahahahhhhhhhHuu ni umasikini
Hiyo Dark fever niyabei rahisi lakini ninzuri jarufu yake haikeri imepoaaaaaDark fever 12000
Fighting temptation 18000
Royal lamba 7000
Zote fresh
Sio mbaya ukiitafuta na hiiLeo nimeenda Kariakoo nimerudi na Kigunia na karanga za kuchemsha.
View attachment 2132157
Iko poa sanaHiyo Dark fever niyabei rahisi lakini ninzuri jarufu yake haikeri imepoaaaaa
Ni nzuri eeeeh?Sio mbaya ukiitafuta na hiiView attachment 2132176
Bas mkuu tuendelee kuishi humo humo mana hiyo 150kNi nzuri eeeeh?
Price range...??
Maana mimi uwezo wangu ni kuanzia 15,000 hadi 30,000
Yani ukiona mtu ana recommend belagio huyo ni masikini
Unako dukani kwako? if yes bei gani?Utakua mdau mwenzangu
Kaperfum katam mno
Unako dukani kwako? if yes bei gani?
Maduka mengi Ila kwa urahisi msimbazi kariakoo, yanapopaki magari ya mabibo na wanasukana sana watu huo mtaa, Kuna duka kubwa la vipodozi, perfumes bidhaa za usafi n.k jina limenitoka Ila linaonekana tuu..Hiyo airfresh imeisha.. Nitaipata wapi Kwa hapa Dar? View attachment 2143680