Anayejua anisaidie namna ya kudhibiti Sisimizi

Anayejua anisaidie namna ya kudhibiti Sisimizi

mbona mmekaa kimauaji tu?hebu wapeni haki yao ya kuishi! Unaonaje ukiwawekea hivyo vyakula wanavyovifuata ndani sehemu kama bustanini au kwenye yard yako?kitu kingine sisimizi ni wadudu wa msimu ukiwaona ndani basi ujue wanakimbia 'mafuriko'nje wahurumie!mi hata mbu huwa nawategeshea mguu wavyonze waende zao halafu nalalaa bila bugudha!na nina chumba changu special kwa ajili ya kunguni , mende na mapanya!

:-d:-d:-d?????????
 
Taafuta Sevin.Itakusaidia sana.
Habari wana JF!!Katika nyumba yangu kuna tatizo la sisimizi.Hivi sasa imekuwa ni kero mtindo mmoja.Kwa yeyote anayefahamu, naomba anijuze nitumie dawa gani ili wadudu hawa wapotee kabisa ndani ya nyumba yangu.
 
Ni kweli mafuta ya taa yanaua sisimizi,tena instantly.Tatizo ni kwamba control hii hai-last long.After two to three days tatizo litakuwa liko pale pale.Why?Kwa kuwa mafuta ya taa hayana residual effect. Yako valatile.On the other hand,Sevin ina residual effect of at least three months, kwa hiyo inaendelea kuua kwa muda wote wa miezi mitatu.Uzuri wa sevin ni kwamba sio ghali,although it is very effective.Kakopo ka 200gm ni Sh.2500 tu.
huitaji gharama. we chukua mafuta taa paka kwenye kitamba then pitisha wanakopita hutawaona tena
 
MKuu mwez ulopita mahala petu pa kaz palikuwa na tatizo hilo,tulipambanaa kwa kuwapulizia dawa wakateteketea,kesho panapo majaliwa ntakutajia dawa tulotumia
 
Habari wana JF!!Katika nyumba yangu kuna tatizo la sisimizi.Hivi sasa imekuwa ni kero mtindo mmoja.Kwa yeyote anayefahamu, naomba anijuze nitumie dawa gani ili wadudu hawa wapotee kabisa ndani ya nyumba yangu.

Poda ni kama huduma ya kwanza, inasaidia sana mi nimetumia, ila sumu inayowauwa tena inadumu Muda mrefu na kuuwa wadudu wengine ikiwamo mbu ni (nuvan+icon), Huo mchanyiko ni fumigation kiboko
 
Ahsante, nami nitaenda kuzitafuta hizo dawa, Akheri powder au sevin, bila shaka zinauzwa maduka yanayouza dawa za mifugo
 
Mimi mwenyewe sisimizi wananisumbua kweli kweli, ni Mwezi tu tangu nihamie hii nyumba, Ila sisimizi wamekuwa kero, wanang'ata vibaya, rangi yao kama ya siafu. Naamini nitapata suluhisho kupitia Uzi huu.
 
Mimi mwenyewe sisimizi wananisumbua kweli kweli, ni Mwezi tu tangu nihamie hii nyumba, Ila sisimizi wamekuwa kero, wanang'ata vibaya, rangi yao kama ya siafu. Naamini nitapata suluhisho kupitia Uzi huu.
feedback!
 
Dawa ya kuua sisisimizi ni ipi na inapatikana maduka ya aina ipi ?
 
Sevin inapatikana maduks ya aina gani ya mifugo au?
 
nunua aheri powder
Hii Utasahau Yote
20211210_144144.jpg
 
Poda ni kama huduma ya kwanza, inasaidia sana mi nimetumia, ila sumu inayowauwa tena inadumu Muda mrefu na kuuwa wadudu wengine ikiwamo mbu ni (nuvan+icon), Huo mchanyiko ni fumigation kiboko
Icon naijua vizuri ukipukizia dawa inaisha nguvu after 6 months
 
Back
Top Bottom