Anayejua historia ya Kill Paul tunaiomba, anavuma nje kuliko kawaida

Anayejua historia ya Kill Paul tunaiomba, anavuma nje kuliko kawaida

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Huyu kijana namuona sana mitandaoni, hata hivyo ana wafuasi wengi sana Instagram, ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndiyo mtu mwenye wafuasi wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda kutumbuiza India na wasanii wakubwa sana lakini utashi na ubunifu wake unazua gumzo kwani huvaa nguo za kimila jamii ya Masai.

Niongee ukweli, miaka mitano ijayo huyu mtu atakuwa pakubwa sana hata Diamond hatamgusa. Tuombe mungu uhai na uzima.

images%20-%202022-10-10T153400.987.jpg
 
Huyu kijana namuona sana mitandaoni hata hivyo ana followers wengi sana Instagram ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndo mtu mwenye follewers wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda ku-perfom India na wasanii wakubwa sana lakini utashi na ubunifu wake unazua gumzo kwani huvaa nguo za kimila jamii ya Masai.

Niongee ukweli miaka mitano ijayo huyu mtu atakuwa pakubwa sana hata Diamond hatamgusa. Tuombe mungu uhai na uzima

View attachment 2382657
Akifikia umaarufu wa kuwa na haters wengi, kufanyiwa figisu na kuweza kuyakabili yote hayo ndipo utumie reference ya Diamond lakini kabla ya hapo tuendelee tu kunuombea azidi kupata umaarufu na mafanikio ya kiuchumi pia.
Bravo Kili Paul.
 
Msanii Wa tasnia gani?
Comedy,
Music,
Sinema,
Weka weka nyama hbr yako
unapitia mitandao ipi kiasi cha kutomjua huyu kijana anafanya sanaa ipi? Huyu kijana ana trend sana mitandaoni na sasa amepata segment kwenye shindano linalofanana na la big brother huko india japo si mshiriki wa shindano hilo. Anaigiza nyimbo za kihindi
 
Back
Top Bottom