Anayejua historia ya Kill Paul tunaiomba, anavuma nje kuliko kawaida

Anayejua historia ya Kill Paul tunaiomba, anavuma nje kuliko kawaida

Unaongea nini wewe wakati huko Twitter jamaa ana zaidi ya 4millions followers anawazidi hata celebs wengi wa bongo na hata huko Twitter anatrend vibaya mno.
Sa si utuambie huyo ni nani na anafanya shughuli gani, sio kutulazimisha eti tunamjua, sisi sio WA kufuatilia amateurs mitandaoni, ebo!!
 
Sa si utuambie huyo ni nani na anafanya shughuli gani, sio kutulazimisha eti tunamjua, sisi sio WA kufuatilia amateurs mitandaoni, ebo!!
He is a content creator, Tanzania ndiyo mnaona ajabu lakini hata hapo jirani yenu Kenya content creators wanapiga bao kinoma.
Tz mpaka mtu awe Bongo Flavor, Bongo Movie, Chawa au mtu wa udaku ndiyo mnamuona ana value.
 
Huyu jamaa sio wa kudumu. Labda ajiongeze apige mishe zingine zaidi ya anachokifanya. Aingie hata kwenye movie za Bollywood. Huyu namweka kundi moja na kina Piere Liquid, 900 itapendeza, Karim Mandonga mtu kazi, na wengine wanaovumaga kwa muda mfupi na kupotea.
Mdogomdogo.
 
Rubbing shoulders na celebrities wa Kidosi.
 
He is a content creator, Tanzania ndiyo mnaona ajabu lakini hata hapo jirani yenu Kenya content creators wanapiga bao kinoma.
Tz mpaka mtu awe Bongo Flavor, Bongo Movie, Chawa au mtu wa udaku ndiyo mnamuona ana value.
So ndio unamtangaza hivyo, au sio?
 
So ndio unamtangaza hivyo, au sio?
Wanaomjua ndiyo wanamuelewa, mimi si mtu wa social media.
Nilianza kuona clip zake YouTube kwa kuwa sina IG acc wala FB acc huko jamuhuri ya Twitter nafuatilia ya Wazungu tu.
This dude is a hustler, inaonekana ana malengo(just thinking).
 
Huyu kijana namuona sana mitandaoni, hata hivyo ana wafuasi wengi sana Instagram, ambapo kwa mtandao wa Tiktok ndiyo mtu mwenye wafuasi wengi sana Afrika Mashariki. Juzi ameenda kutumbuiza India na wasanii wakubwa sana lakini utashi na ubunifu wake unazua gumzo kwani huvaa nguo za kimila jamii ya Masai.

Niongee ukweli, miaka mitano ijayo huyu mtu atakuwa pakubwa sana hata Diamond hatamgusa. Tuombe mungu uhai na uzima.

Mimi nlikua namuoma tu tiktok Anaish huko umasaini mara nyingi alikua na dada muda wote wanavaa hivo hivo kimasai.....Badae nkaona sijui wapi wapi wamemsaini sijui kama nn na sa hii nkamuona huko India
 
Back
Top Bottom