the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
WAKRISTO sijui mkojeHuu uzi utaharibika,
Haya masuala hayakupaswa kuwepo ni vile mtoa mada hakutoa Angalizo la udini mapema
Mchangiaji amejaribu kuelezea kua asili ya mwanadamu ni mwanaume mmoja na mwanamke mmoja yaani iwe mwafrika,mzungu na race nyingine na rejea yake ameitoa kwenye Qur'an
Nani mdini hapo wewe my son legacy au mchangiaji wa awali??
Na kama kwenye Bible kuna rejea au kuna elimu kuhusiana na mada basi ungetupatia hapa au kuna watu watakuja watasema
Na kama kuna rejea au elimu nyingine tena tofauti na hapo tutaambiwa pia
Punguza ushamba