habari zenu wanajamii forum
Nilikuwa naomba mwenye link ya site amabazo ziko salama kwa online shopping maana naona kama pay pal siiamini vile naombeni msaada ili niweze ku sign up kwa ajili ya kuanzisha account.Naamini humu kuna watu wenye busara watanisaidia
ahsante
Faida take Ni unalipia kwa email bila details zako za fedha kujulikana na fee inalipwa ya PayPal inalipwa na muuza bidhaa.Wana jamvi naomba kufahamu kufanya manunuzi mtandaoni kwa kutumia pay pal kuna faida gani na hasara kiasi gani tofauti na kulipa moja kwa moja bila kuwa na akaunti hiyo?
Nitashukuru kwa mawazo yenu.
Sisi wa Nmb hii huduma tunaipataje?nenda crdb waambie unataka ku-link card yako na paypal. Wataiwezesha bureee. Kisha kasajili paypal. Kumbuka kutumia password tofauti na nyingine kwa usalama.
Nishawahi kutumia VISA ya crdb.