Anayejua kuhusu hili la RITA anisaidie tafadhali

Anayejua kuhusu hili la RITA anisaidie tafadhali

Sio nchi zote zenye huu utaratibu including Tanzania...

Mtoto atakuwa na haki ya kupata cheti cha kuzaliwa cha nchi aliyozaliwa lakini sio uraia...

Kwa Tanzania ni hadi mzazi mmoja awe Mtanzania...

"Uraia wa Tanzania kwa Kuzaliwa.
Kwa mujibu wa Sheria ya Uraia ya Na. 6 ya Mwaka 1995, mtu yeyote anayefuzu kuwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa ni yule aliyezaliwa nchini Tanzania na ambaye wakati wa kuzaliwa kwake mmoja wa mzazi wake alikuwa raia wa Tanzania."
Waeleze manake jamaa wameshindwa kabisa kunielewa
 
Mwanangu amezaliwa Kenya na mama Mkenya ila mie ni Mtanzania alienda tu kwao kujifungua sasa amerudi home leo ni mwaka mmoja tayari,

Nimeenda RITA wamesema siku hizi unaomba cheti cha kuzaliwa online, sawa nimeingia account yao sasa wakati najaza maelezo ya mtoto nikakuta hakuna kuchagua inchi bali ni watoto waliozaliwa Tanzania tu, sasa hapa nifanyeje?

Anaejua tafadhali

Natanguliza asante nyingi
Nashauri upige namba zao za msaada uwaulize mkuu nahisi utapata majibu mazuri kwa wahusika
 
Back
Top Bottom