Mkuu, ebu fafanua hapo, unasema 'Death is the state, and not the process'.Kisha unasema,' yaani 'kifo ni mwanzo tu, wa kuendelea mbele, na si mchakato, kifo,ni hali ya mwili'kifo kina maelezo mengi. kwanza lazima tukubaliane kuwa death is the state and not the process, yaani kifo ni mwanzo tu wa kuendelea mbele na si mchakato. kifo ni hali ya mwili kutengana na conscious mind au ni kitendo cha mapigo ya moyo kuacha kufanya kazi kinachotokea ni kwamba roho zinabeba chuki, visasi na kinyongo na kama hujasamehe ile roho kwakuwa bado inaishi hubaki ikiwayawaya(wondering soul) ikitafuta kulipiza kisasi au kutimiza kile ilichokisema au kukinuiya huko nyuma
Hapo sipaelewi vizuri.