Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mkuu, umetisha sana nakaanga sasa hiviUnakaanga chips
Mahitaji: Nyanya, kitunguu swaumu, tomato paste, mafuta ya kupikia, Chumvi,
Unakaanga kitunguu maji kwenye mafuta, swaumu, (karoti, hoho au pilipili manga ni optional).
Unaweka nyanya mbili hivi. Ikichemka unaweka nyanya ya pakti hii hufanya iwe sticky, inachemka ikiwa nzito imeiva
Chumvi muhimu ukumbuke kuweka
Unachukua chips ulizozikaanga unachanganya kwenye mchanganyiko wake. Hakikisha chombo kinatosha kuchanganya yani kiwe kikubwa
Unaweza kuweka ketchup kwa ajili ya kuongeza ladha iwe nzuri. .
Kwa hisani ya mke wa Gily
Haha utupie picha tuone sijawah kula hii kitu kabisaAsante Mkuu, umetisha sana nakaanga sasa hivi
Ujuzi umeupataje mkuu na kula hujawahiHaha utupie picha tuone sijawah kula hii kitu kabisa
Nilivyosoma huu uzi nilikuwa na wife nikamulixa anajua kupika hii kitu akansema ndioUjuzi umeupataje mkuu na kula hujawahi
Hizo chips + majani 🙄 maybe for goats & 🐄Kuna aina nyingi za chips aisee nj tembea uone,kuna waengine wanaweka mchicha,wengine kabichi,wengi spinach na kabichi,wengine kitunguu,hoho,karoti aah kumbe nipo nje ya mada.
Mapishi mema mkuu
Hizo chips + majani 🙄 maybe for goats & 🐄
Mbona bingwa katika maandalizi ya mlo wenyewe iweje tena hujawahi kuonja.Haha utupie picha tuone sijawah kula hii kitu kabisa
Nitamuu hujawahi kula ukishalipika Hilo Kuna njia mbili Moja unaweka kabagge pembeni lenye hoho au unachanganya kidogo na mchicha huko .Hizo chips + majani 🙄 maybe for goats & 🐄
🤣🤣🤣 kweli mke wangu wa kulaumiwMbona bingwa katika maandalizi ya mlo wenyewe iweje tena hujawahi kuonja.
Usisahau kuweka pilipili, hasa ya unga😁Asante Mkuu, umetisha sana nakaanga sasa hivi
Unakariri sio? Wamasai ndo tuliwaamini kwamba wao ndo bendera chuma mlingoti chuma ila sikuhizi wengine wanachuma mbogaMwanaume wa Dar katika ubora wake.
Wanaume wa mkoani tuendelee kuchunga ng'ombe tu.