Anayejua kupika chipsi vuruga anielekeze

Anayejua kupika chipsi vuruga anielekeze

Sasa kama chakula nachopenda ni machalari, ndizi za maharage, Kiburu, ugali tembele, siku moja moja Michele napata wapi mda wa kula chips vuruga😀😃😄

Kama vipi nimuoe Demi labdq yeye atanipikia chips vuruga

Ila mleta mada mtu wa ajabu kweli hata kutupia kapicha
Mi nataka kuolewa na mwanaume anae jua kupika
 
Chips zinaliw na maharage? mayai? Parachichi? huo mtego sio mzuri unaweza ua watu kwenye daladala.
Maharage unaweka kidogo tu, mayai kama mawili yanatosha na salad pia unaweka kidogo.

Unachukua parachichi moja unachanganya na kabichi kidogo na pilipili, alafu ukwaju unatengeneza uwe mzito unatia ndimu kwa mbali na sukari. Usisahau kuweka soy sauce kwenye vuruga yako! Jaribu siku ukiwa free utanikumbuka in your whole life.

Faida zake ni kubwa mno ikiwemo kulainisha choo, kuifanya ngozi kuwa na mng'ao, kulainisha utumbo mkubwa, kukukinga na saratani ya matiti na kizazi na pia kuimarisha hisia upande wa kike na kiume yaani inaongeza akshi sana! Try it narudia jaribu utaleta mrejesho.

Numbisa sophy27 Gily
 
Maharage unaweka kidogo tu, mayai kama mawili yanatosha na salad pia unaweka kidogo.
Unachukua parachichi moja unachanganya na kabichi kidogo na pilipili, alafu ukwaju unatengeneza uwe mzito unatia ndimu kwa mbali na sukari. Usisahau kuweka soy sauce kwenye vuruga yako! Jaribu siku ukiwa free utanikumbuka in your whole life.
Faida zake ni kubwa mno ikiwemo kulainisha choo, kuifanya ngozi kuwa na mng'ao, kulainisha utumbo mkubwa, kukukinga na saratani ya matiti na kizazi na pia kuimarisha hisia upande wa kike na kiume yaani inaongeza akshi sana! Try it narudia jaribu utaleta mrejesho.
Kweli ukiishi mda mrefu utaona mengi😀 huu msosi niliwaza tu utakuw dawa ya tumbo

Nilimpeleka mtoto hospital hapati choo vizuri tukaambiwa tumpe parachichi kwa wingi. Sasa nawaza huu mchanganyo wake na maharage na mayai utakuwaje. Ngoja nimwambie wife ampikie mtoto nitaleta mrejesho😀
 
Imagine mnapika pamoja halafu na yale mambo yetu mengine yanaendelea 😋, huku mkinywa wine taratibu. mmebaki wawili tu ni weekend watoto wameenda kusalimia babu na bibi.
😀😃😄
 
Nimemuelez wife haiwezekan miaka yote hii hajawahi nipikia chips vuruga na mimi niwe mwanaume kamili wa Dar😀Kifupisha story mda si mrefu nitakula chips viruruga.


Kuna watu watasema am so lonenly najipikia mwenyewe 😬Maandalizi 👇
 

Attachments

  • 20230220_205901.jpg
    20230220_205901.jpg
    1.2 MB · Views: 32
  • 20230220_205601.jpg
    20230220_205601.jpg
    829 KB · Views: 32
  • 20230220_202935.jpg
    20230220_202935.jpg
    837.3 KB · Views: 31
  • 20230220_202904.jpg
    20230220_202904.jpg
    740.7 KB · Views: 35
  • 20230220_202858.jpg
    20230220_202858.jpg
    1,003.3 KB · Views: 36
Mrejesho nilijaribu kuchangany chips ,nyanya ,mayai ,vitunguu na kuchangany mix na mafuta aisee msosi amazing sana
 
Back
Top Bottom