Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Duh siku nitoe lunch πππNitamuu hujawahi kula ukishalipika Hilo Kuna njia mbili Moja unaweka kabagge pembeni lenye hoho au unachanganya kidogo na mchicha huko .
Uliochemsha sio mwingi itachukizs kidogo tu good day
Badala ya wewe unitoe outDuh siku nitoe lunch πππ
Kula ugali wewe acha vyakula vya kidosi.Mko poa familia,
Jamani nina hamu na chipsi vuruga leo hatari, ila sijui kuziandaa. Sitaki kwenda kununua naombeni kuelekezwa ili niandae mwenyewe.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Picha kutoka maktaba
Asavali.Me nipo humu. View attachment 2519223
πππ Siku moja moja mdada upasukeBadala ya wewe unitoe out
Utazoeaπππ Siku moja moja mdada upasuke
Na mchicha TenaπKuna aina nyingi za chips aisee nj tembea uone,kuna waengine wanaweka mchicha,wengine kabichi,wengi spinach na kabichi,wengine kitunguu,hoho,karoti aah kumbe nipo nje ya mada.
Mapishi mema mkuu
Ubwabwa ndondoMe nipo humu. View attachment 2519223
Huu msosi made nyumbani kabisa sio wa mgahawani au hotel...ππ€π·Me nipo humu. View attachment 2519223
Kamaa umeoa na haujawahi kupikiwa chips vuruga. Hiyo ndoa ya nini?Nilivyosoma huu uzi nilikuwa na wife nikamulixa anajua kupika hii kitu akansema ndio
Sasa akawa ananiambia jinsi ya kupika na mie nikatype jamaa apate msaada wa kupika. Huku watu hawajishughulishi na uzi za msingi wanachelew kujibu. Au wengi wako kwenye nyuzi za KATAA NDOA π
Nimemsaidia njia kwa maelekezo ya wore tu ila hata mimi sijawahi kula kweli.
Hujawahi kwenda sehemu wanauza chips na ukapikiwa hapo hapo?Anaejua kupika chips zege msaada
Na mchicha Tenaπ
Sasa kama chakula nachopenda ni machalari, ndizi za maharage, Kiburu, ugali tembele, siku moja moja Michele napata wapi mda wa kula chips vurugaπππKamaa umeoa na haujawahi kupikiwa chips vuruga. Hiyo ndoa ya nini?
#Kataa ndoa #ndoa ni utapeli
Haha hii mboga sijui ilinikosea nn hatupatani kabisakuongeza vitaminπππ
πππchef yupo kaziniChips vuruga alafu uchanganye na mayai, dagaa nyama, maharage ya njano na salad alafu kwa mbali unaweka ka ukwaju na pilipili ya parachichi huwa ni π₯ utakuja ujing'ate ulimi.
Chips zinaliw na maharage? mayai? Parachichi? huo mtego sio mzuri unaweza ua watu kwenye daladala.Chips vuruga alafu uchanganye na mayai, dagaa nyama, maharage ya njano na salad alafu kwa mbali unaweka ka ukwaju na pilipili ya parachichi huwa ni π₯ utakuja ujing'ate ulimi.
Haha hii mboga sijui ilinikosea nn hatupatani kabisa