Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
kujiandaa kufanya kazi yao kwa ufanisi, mbona RPC alielezea vizuri au unataka kutuletea uzushi wako hapa km mlivyozoea
 
Jeshi la kikoloni hupita mitaani kuitisha watu wanaojidai haki Yao... Tofauti ni kwasasa polisi SI wazungu ni meusi menzetu
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Polisi wanadhalilishwa sana !
 
President jk aliingiza wanajeshi Mbeya siku ya uchaguzi mkuu, Mwenyekiti wa IPP alionyesha mauaji ya kimbari usiku wa uchaguzi mkuu, nchi hii ina vituko vingi sana,hii yote ni kulinda status ago za royal families
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Wamejiabisha sana..
Hovyoo kabisaa...
 
Mazoezi ya kijeshi unafanyia kwenye mitaa ya Uhindini, Mabatini, Nzovwe na Mbalizi! Wangekwenda Kawetere wakafyatua makombora ningeelewa, lakini hawa walikuwa wanatembea na wengine kwenye magari.
Ulitaka mazoezi ya polisi yafanyiwe porini? Kwa askari wa wanyamapori hao?
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.

Mbeya wapigwe tu.
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Dress rehearsal for 9/11.
 
Back
Top Bottom