Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

M
Unachanganya maandamano na mazoezi ya kijeshi kwa kutokujuwa Kiswahili au kwa makusudi kabisa?

Wewe ni Mtwnzania au mlowezi?maana tunafahamu Mbeya kuna walowezi wengi.
Azoezi ya kijeshi wanafanya mitaani?
 
WAPE KICHWA TU WENZIO WAENDE WAKAVUNJWE MIGUU WE UKO NYUMBANI HAHAHAA
Watu si wanavunjwa miguu hata kwenye ajali za vyombo vya moto, je umesikia watu wanaacha kusafiri?
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Rpc alishatoa ufafanuzi,tafuta video yake YouTube
 
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.

Mwabukusi: Maandamano yapo 9/11 kama ilivyopangwa
 
Usikute ni mkwara kama ule wa wanajeshi siku ya maandamano wao wakatangaza watakuwa mtaani wanafanya usafi. [emoji23]

Nchii hii polisi na ndugu zao wanatumika vibaya sana, mishahara yao yenyewe sasa ni ya kimbwiga kwelk, ila wameshupaza vichwa wanapata visenti vya rushwa kwa kubambikia watu kesi ama kudhulumu haki ya mtu.

Ukuta. Ila ni upumbafu kwa jeshi la wananchi kutumika katika harakati za kisiasa. Polisi tu walitosha kupiga mikwara. [emoji23]
 
Ukuta. Ila ni upumbafu kwa jeshi la wananchi kutumika katika harakati za kisiasa. Polisi tu walitosha kupiga mikwara. [emoji23]
Nchi hiikua upuuzi mwingi saana, kuna mijitu inatumika vibaya, haijui kesho haitakuwepo kwenye mamlaka vizazi vyao vitaishije, wakati wanaowatumikia wameshakwiba wameweka akiba kubwa kwa vizazi vyao.
 
Unachanganya maandamano na mazoezi ya kijeshi kwa kutokujuwa Kiswahili au kwa makusudi kabisa?

Wewe ni Mtwnzania au mlowezi?maana tunafahamu Mbeya kuna walowezi wengi.
Huyo ni kibaka, akiona polisi hata wakiwa kwenye shughuli zao yeye anawaza makosa yake na kuanza kuweweseka.
 
Mna vitisho vya kijinga sana ! halafu vitisho vya kizamani mno !
Miaka kama sita imepita polisi walipambana na raia Mbeya mpaka polisi wakakimbia. Wallishiwa maji, risasi za plastiki na mabomu ya machozi.
 
Usikute ni mkwara kama ule wa wanajeshi siku ya maandamano wao wakatangaza watakuwa mtaani wanafanya usafi. [emoji23]

Nchii hii polisi na ndugu zao wanatumika vibaya sana, mishahara yao yenyewe sasa ni ya kimbwiga kwelk, ila wameshupaza vichwa wanapata visenti vya rushwa kwa kubambikia watu kesi ama kudhulumu haki ya mtu.
Na elimu inachangia katika kufanya reasoning
 
Back
Top Bottom