saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
kujiandaa kufanya kazi yao kwa ufanisi, mbona RPC alielezea vizuri au unataka kutuletea uzushi wako hapa km mlivyozoeaJana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Wanajambisha hao.
Mwabukusi na Mdude na wana Mbeya wanaojielewa go on..))
Sasa mbona wao wanaandamana bila kibali huku wakiwatisha wananchi!
Polisi wanadhalilishwa sana !Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Ni nchi nzima pamba nyeupe.Maofisini watakuta wafanyakazi walio wengi wamepigilia mashati/blaus meupeYule Mkuu wa Mkoa haijui Sumu ya Nyugwi?
Tarehe 9 Mbeya yote wanapiga Pamba nyeupe hata kama wasipoandamana.
Maandamano ya kisasa hayo😁Ni nchi nzima pamba nyeupe.Maofisini watakuta wafanyakazi walio wengi wamepigilia mashati/blaus meupe
Bahati mbaya siko Mbeya ila ningekuwepo kwa namna yeyote ile.na we usikosekane bila kumsahau mwenza wako nyumbani
Wamejiabisha sana..Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Ulitaka mazoezi ya polisi yafanyiwe porini? Kwa askari wa wanyamapori hao?Mazoezi ya kijeshi unafanyia kwenye mitaa ya Uhindini, Mabatini, Nzovwe na Mbalizi! Wangekwenda Kawetere wakafyatua makombora ningeelewa, lakini hawa walikuwa wanatembea na wengine kwenye magari.
Mna vitisho vya kijinga sana ! halafu vitisho vya kizamani mno !Ulitaka mazoezi ya polisi yafanyiwe porini? Kwa askari wa wanyamapori hao?
Ingia mtaani na maandamo yako uchwara, utaelewa ni vitisho au uhalisia.Mna vitisho vya kijinga sana ! halafu vitisho vya kizamani mno !
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
Dress rehearsal for 9/11.Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana. Jambo lililonivutia ni mama mmoja namkadiria umri wa miaka 80 na zaidi alipowauliza waandamanaji kunani? Mbona mtaani kwetu kuna amani nyie mmebeba silaha nzito! Walimjibu hakuna tatizo kuna amani tu, naye akaitikia japo kwa mashaka.
Anayejua huko Mbeya kunanini mpaka polisi waandamane huku wakibeba makombora, atujuze.
What's on 9/11? Is it another elQaeda terrorist attack?Dress rehearsal for 9/11.