Anayejua masharti yote ya Mkataba wa Feitoto na Yanga kufatwa ni Feitoto mwenyewe na Engineer tu. Tusiwasemee ukweli utajulikana

Anayejua masharti yote ya Mkataba wa Feitoto na Yanga kufatwa ni Feitoto mwenyewe na Engineer tu. Tusiwasemee ukweli utajulikana

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Naombeni washabiki wa Yanga tuwe na subira. Kupitia kesi ya Feitoto tutajua tu ukweli Kama Yanga inalipa keshi au inawakopa wachezaji. Kwanini saidoo akiondoka na Dikson ambundo kidogo afungiwe.

Wachezaji Wana Siri nzito Sana.
 
Naombeni washabiki wa Yanga tuwe na subira. Kupitia kesi ya Feitoto tutajua tu ukweli Kama Yanga inalipa keshi au inawakopa wachezaji. Kwanini saidoo akiondoka na Dikson ambundo kidogo afungiwe.

Wachezaji Wana Siri nzito Sana.
Kumekucha
 
Naombeni washabiki wa Yanga tuwe na subira. Kupitia kesi ya Feitoto tutajua tu ukweli Kama Yanga inalipa keshi au inawakopa wachezaji. Kwanini saidoo akiondoka na Dikson ambundo kidogo afungiwe.

Wachezaji Wana Siri nzito Sana.
kwamba ikitokea Injinia akifa ghafla basi hakuna mtu mwingine zaidi ya mchezaji atakayekuwa na ufahamu wa mikataba ya wachezaji? Kwamba hata aliyeuandaa hajui? Hata mwanasheria wa klabu hajui? Hata CEO wa klabu hajui? Hata tajiri mtoa fedha hajui? Hata ndugu wa karibu wa Fei (mfano Mama Fei) hajui?
 
Back
Top Bottom