William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Naombeni washabiki wa Yanga tuwe na subira. Kupitia kesi ya Feitoto tutajua tu ukweli Kama Yanga inalipa keshi au inawakopa wachezaji. Kwanini saidoo akiondoka na Dikson ambundo kidogo afungiwe.
Wachezaji Wana Siri nzito Sana.
Wachezaji Wana Siri nzito Sana.