Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 417
- 636
Habarini.
Nilikua naomba kujuzwa mwenye kujua mikataba ya wasanii kutoka Konde gang katika utoaji wa nyimbo wanafata utaratibu gani? Binafsi namkubali Ibraah na Killy Wana muda mrefu hawajatoa ngoma Kama Ibraah toka mwaka Jana hajatoa ngoma yoyote! Au Kuna project zinakuja labda naomba kufahamishwa.
WCB4LIFE
Nilikua naomba kujuzwa mwenye kujua mikataba ya wasanii kutoka Konde gang katika utoaji wa nyimbo wanafata utaratibu gani? Binafsi namkubali Ibraah na Killy Wana muda mrefu hawajatoa ngoma Kama Ibraah toka mwaka Jana hajatoa ngoma yoyote! Au Kuna project zinakuja labda naomba kufahamishwa.
WCB4LIFE