Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atashuka pale mazimbuHyo ndege itashukia kwenye vituo vya Abood
Piga mixx by Yas watakuambia bei.Jamani kwa anae jua nauli ya ndege kutoka dar hadi morogoro
Jamani kwa anae jua nauli ya ndege kutoka dar hadi morogoro
Hata kibaha 😂 I mean pwani...........Leo ndio nimegundua sijawahi sikia Morogoro kuna uwanja wa ndege.
Kuna uwanja wa Ndege Ngerengere,ni uwanja wa ndege wa Masoja...........Leo ndio nimegundua sijawahi sikia Morogoro kuna uwanja wa ndege.
Vitoto vya 2000 wengi vichwani zero brained..!!
13000Jamani kwa anae jua nauli ya ndege kutoka dar hadi morogoro
Mikumi Kuna uwanja unaitwaje?Air Tanzania hazifiki huko hata Precision Air hazifiki huko
Auric air ndio zina fika na ni bei sana zipo za $47 ila flightslink ni laki 6 na elfu 50 hivi zinafika pale mikumi tu
Kikoboga AirstripMikumi Kuna uwanja unaitwaje?