Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kila mtu tutaona anafaa kuwa raisi. Bado miaka minne mbele.
 
I
Nini maana ya ujinga ni kuamini Kila kitu unacho ambiwa na mzungu Bila wewe kufanya utafiti katika nchi yako, lini tuta kuwa tuna jiamulia maamuzi sisi wenyewe kama taifa lililo jikomboa katika ukoloni mambo Leo. Mzungu akifanya research akisema Tanzania wote mashoga watu watachukulia poa Na kuamini ni kweli Ila waafrika akisema Tanzania ni inchi inayo endelea watu wata m crash siku Zote kisa mweusi

Is the problem color au many of African wana westernized mind

Leo hii Gaddafi ameuliwa ndani ya mikono ya wazungu na kisa tu alikuwa ana hifathi kubwa ya mafuta ,dhahabu na mandeleo, Hugo chaveZ yuko wapi, Patrick Lumumba yuko wapi??, Alafat ??

Usifikili wazungu wanapenda Tanzania iendelee na iwe taifa kubwa kichumi

Sikuzote usifikili mtu anae Fanya mandeleo katika nchi yake ana pendwa na watu wa maghalibi

Nilitegemea wana jamii forum mtakuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo Lakini sivyo umefika mda watu wanaomba ata ndege zilipuke au nchi ishuke kiuchumi

We need to help the country isonge mbele Ila mkika kusikiliza wazungu hakika Tanzania itakuwa kama central Africa in the coming days
Issue sio uzungu wala uarabu na uhindi,issue ni maslahi,kwani Gadaf na Alafat walipomuunga mkono Iddi Amini katika vita dhidi ya Tz je nae alikuwa mzungu?
 
Wanajamii,mbona kaka mama angebahatika kuwa rais wa jamuhuri,angeweza kuwa kiongozi makali zaidi kuliko mkuu?
Kwa huu muda wa mwaka mmoja nimefanya tafiti,nimegundua,mama alitufaa zaidi kwenye kuwa amrijeshi mkuu,mama ana sifa zinazofaa,mnyenyekevu,asiyeropoka,asiyechukia wapinzani wake wa kisia
Hayo ni maoni yangu,mm sijawai hata kufikiria kupigia kura ccm,lkn nimeangalia utendaji wa mama,nikagundua,ni makali zaidi kuliko mkuu ana sifa zote,za kiongozi,amemzidi sana mkuu,kama trip,na mama Hilary Clinton vile
Ni kweli mama anafaa, lakini nyie ukawa bila ukali mambo hayaendi,hapa ni magu.na gambo kiboko chenu.
 
Wanajamii,mbona kaka mama angebahatika kuwa rais wa jamuhuri,angeweza kuwa kiongozi makali zaidi kuliko mkuu?
Kwa huu muda wa mwaka mmoja nimefanya tafiti,nimegundua,mama alitufaa zaidi kwenye kuwa amrijeshi mkuu,mama ana sifa zinazofaa,mnyenyekevu,asiyeropoka,asiyechukia wapinzani wake wa kisia
Hayo ni maoni yangu,mm sijawai hata kufikiria kupigia kura ccm,lkn nimeangalia utendaji wa mama,nikagundua,ni makali zaidi kuliko mkuu ana sifa zote,za kiongozi,amemzidi sana mkuu,kama trip,na mama Hilary Clinton vile
Mkuu wengine bado sisi ni wazito ungeweka wazi mama yupi sasa!!au unasema yule mama gwira au!![emoji86] [emoji86]
 
Mwafrica ndo binadamu pekee ambaye hataki kuishi kwa kufata utaratibu na ni porini pekee ambapo nyani na sokwe wanaishi bila utaratibu na cku wakijua kumbe wanafugwa nadhani watalalamika watu mmezoea kuishi kiujanja ujanja kuto kulipa kodi kubembelezwa no ifike sehemu ajulikane nani mwanaume nani mwanamke
 
Mnataka kusema kwamba yule aliyekuwa anahutubia kwa dakika tano tu angeweza kufanya yote yanayofanyika hivi sasa?.

Ama kweli, mnaota, tena ndoto za mchana kweupe.

Yapi hayo ambayo yamefanywa na unahisi hayakuwahi kufanywa na wengine hasa waliomtangulia?
 
Nawaza kwa sauti kuhusu kauli hii.
"Ninafahamu, Mniombee, Sitawaangusha"

Hivi ni kweli anafahamu?
Sukari kelele, Dawa Kelele, Mikopo elimu ya juu kelele, Stahiki za watumishi kelele, Uhuru wa habari kelele, Uhuru wa kufanya siasa kelele.

Wanasema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Au wengi wanao muombea, hawamuombei mema ndio maana kila kukicha malalamiko hayaishi?

Sintowaangusha.
Watumishi vp hapo.
Wagonjwa hospitalini je.
Mwananchi wa kawaida hapo vp, bado unaweka vijiko vitatu vya sukari kwenye chai?
Mwanachuo uliekosa mkopo je?

Labda kweli hutatuangusha kwasababu huna mpango wa kutubeba, na huwezi angusha kitu ambacho hujabeba.
 
Wanajamii,mbona kaka mama angebahatika kuwa rais wa jamuhuri,angeweza kuwa kiongozi makali zaidi kuliko mkuu?
Kwa huu muda wa mwaka mmoja nimefanya tafiti,nimegundua,mama alitufaa zaidi kwenye kuwa amrijeshi mkuu,mama ana sifa zinazofaa,mnyenyekevu,asiyeropoka,asiyechukia wapinzani wake wa kisia
Hayo ni maoni yangu,mm sijawai hata kufikiria kupigia kura ccm,lkn nimeangalia utendaji wa mama,nikagundua,ni makali zaidi kuliko mkuu ana sifa zote,za kiongozi,amemzidi sana mkuu,kama trip,na mama Hilary Clinton vile
Mafisadi wangejigongea nchi kama hawana akil nzuri... maana hawa bila kupata mtu mkali kama uyu aise watu wangeuzwa wangali nchin mwao.
 
Uislam unafundia adabu,ustaarabu utu na huruma waliopita ni jibu la haya tunayoyaona,sijawahi ona rais anachukia wananchi wake aisee,tumemkosea nini huyu mzee
 
Hahahaha!! Ngoja nisemepo na mimi ukweli wangu........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom