nice replay ever..Kwani yeye alipotuzimia Tbc tusiangalie bunge Live anahisi sisi tunajisikiaje
HakikaWatanzania tuliombee taifa letu kwa nguvu zote.
Ni utoto unakusumbua ukikua utaacha kuposti kitu kama hikiUkimwi nyie ....
Katelero nyie.......
Njaa nyie.....
Kuwekwa ndani kwa kumkashifu mnayemuombea nyie......
Kuwekwa VAT mpaka kwenye vocha nyie .......
Vilaza nyie......
Wapiga dili nyie.......
Walionyimwa mikopo nyie......
Walionyimwa Ajira nyie. ........
Haiwezekani kila kitu muambiwe nyie tu tu inabidi sasa na nyie mjiombee watanzania .
Mwaka mmoja mnayemwombea yeye anawaambia mbebe msalaba wenu......
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Jiombeeni..
Kama mwenzio anasumbuliwa na utoto, weye hapo unasumbuliwa na mtindio wa ubongo kama hukumuelewa! BsNi utoto unakusumbua ukikua utaacha kuposti kitu kama hiki
Babako ndo hawez kulike.we wawap wew mbona unakuw mbumbu kias hicho.mijitu mingne inalufanya utukane af uonekane huna adabu sasa nakupa.pumbaaaaavuuuuuuu.una akili ka za mende au panzi kunguru wewWewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
Babako ndo hawez kulike.we wawap wew mbona unakuw mbumbu kias hicho.mijitu mingne inalufanya utukane af uonekane huna adabu sasa nakupa.pumbaaaaavuuuuuuu.una akili ka za mende au panzi kunguru wewWewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
nyammmbaffff...... unatetea umbwiga uzombi.... mburula wa LUMUMBANi utoto unakusumbua ukikua utaacha kuposti kitu kama hiki
Mkuu umenichekesha haswa, loo kweli hakuna namna acha iwe hivyo.Nikulipotezea tu nakuliacha litawale
Imekuuma eehImagine ingekuwa wewe unafanyiwa vile ungejisikiaje mkuu!
jamani sio mwafa ni MwafwaaMwafa [emoji1] [emoji1]
ww mwenyewe unatakiwa kubana matumizi ya mb zako...Wewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
Alaf mtu mzima kama ww unachangia pumba kama hiviWewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
Umenikumbusha ngoja nika like kabisaWewe ni mtu mzima wa miaka tu, vingine bureee kabisa maana huu uzi sio wa kuandikwa na wenye akili, alafu mtu mzima mwingine mwenye akili ana 'like' kabisa hii rubbisha, duh!
Free wi-fiww mwenyewe unatakiwa kubana matumizi ya mb zako...
Nimeshakwambia ni utoto tu unakusumbua hata ukiniita majina hayo cwezi kuwa hivyo na kwa taarifa yako mimi c mburula kama wewe. Bado naamini ukikua hutapost utumbo kama huu.nyammmbaffff...... unatetea umbwiga uzombi.... mburula wa LUMUMBA
Utaelewa 2020Kama mwenzio anasumbuliwa na utoto, weye hapo unasumbuliwa na mtindio wa ubongo kama hukumuelewa! Bs