jmi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 532
- 468
Fala wewe mwiziwe f...la kweli wewe, unafurahia watukuishi kijima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala wewe mwiziwe f...la kweli wewe, unafurahia watukuishi kijima!
Wafunge yote.....hayo ni yale yaliyofunguliwa kifisadi.Maduka elfu 2 yamefungwa - Dr Mpango .
Lipa kodi, wewe ni mpiga dili, ulizoe kuibia watu maskiniTangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu aingie ajira zimefutika,
Tangu aingie idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaopata mikopo imeshuka mno! maelfu ya wanafunzi waliochaguliwa vyuoni wamashindwa kuripoti kwa kukosa ufadhili
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia hata shughuli za kisiasa nazo zimepigwa marufuku,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,wengi wanakula mlo mmoja kwa siku
Tangu ameingia bunge live limezimwa, ile furaha ya wananchi kufuatlia kinachoendelea bungeni imetoweka
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha watu ni hofu mtindo mmoja
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie ni matetemeko na ukame tu katika nchi
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima
KWA UFUPI ILE NEEMA NA BARAKA KATIKA NCHI ILIYOKUWEPO IMETOWEKA
Mahali popote penye dhuluma hapakosi laana .ni kama nchi imepigwa laana fulani hivi
WAPIGA DILI MTALIA SANA !Tangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu aingie ajira zimefutika,
Tangu aingie idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaopata mikopo imeshuka mno! maelfu ya wanafunzi waliochaguliwa vyuoni wamashindwa kuripoti kwa kukosa ufadhili
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia hata shughuli za kisiasa nazo zimepigwa marufuku,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,wengi wanakula mlo mmoja kwa siku
Tangu ameingia bunge live limezimwa, ile furaha ya wananchi kufuatlia kinachoendelea bungeni imetoweka
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha watu ni hofu mtindo mmoja
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie ni matetemeko na ukame tu katika nchi
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima
KWA UFUPI ILE NEEMA NA BARAKA KATIKA NCHI ILIYOKUWEPO IMETOWEKA
jidanganye tu, wengi wanaoumia ni wananchi wanyongeWAPIGA DILI MTALIA SANA !
Kabla ya uchaguzi tuliingia kwenye maombi, sijui nini kinaendelea?. Baada ya hotuba ya Kagera na mengineyo wapedwa wengi wanajiuliza kuwa MUNGU WETU MKUU ana siri gani?. Tunaamini kuwa MUNGU anampango mzuri kwetu.jidanganye tu, wengi wanaoumia ni wananchi wanyonge
vumilia tu yana mwisho
Huyu mtu ni zaidi ya hatari Mkuu..Huyu mtu anifanya yeye ni mwema sana lakini kama kweli haya yanafanyika kwa ridhaa yake basi hatuna budi kuanza kujiuliza ni mangipi inawezekana yanafanyika nyuma ya pazia bila sisi kuyajua na ambayo yanaweza kuwa ni kwa manufaa yake binafsi?
Mtu huyu ninaanza kuwa na mashaka nae sana na huenda akawa ni hatari kuliko wote tuliowahi kuwajua/kuwasikia.