Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Ni kweli umepotea wewe mpiga dili hujui unakokwenda kupiga dili hakuna kupiga dili bro fanya kazi.hapa kazi tuMwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Kila speech anayotoa Mtukufu wetu lazima utaona analalamika mambo ya nyuma tu.Unaona imekaa sawa? Hivi wewe kama ni Baba wa familia kila siku watoto wako wanakuona unalamika kuhusu Maisha ya Baba yako kwamba yalikua ya anasa,amechezea hela hadi akashindwa kuacha uridhi unaoeleweka.ndo maana leo hii wewe ni masikini..Unadhani watakuelewa kila siku.kurudia rudia story hyo tu kila siku.Punguza kulalamika utajua tunaelekea wapi.
Hawataelewa. Mtukufu hajui la kufanya na ubabe umeanza kugonga mwamba. Itambidi sasa aanze kusikiliza ushauri.Kila speech anayotoa Mtukufu wetu lazima utaona analalamika mambo ya nyuma tu.Unaona imekaa sawa? Hivi wewe kama ni Baba wa familia kila siku watoto wako wanakuona unalamika kuhusu Maisha ya Baba yako kwamba yalikua ya anasa,amechezea hela hadi akashindwa kuacha uridhi unaoeleweka.ndo maana leo hii wewe ni masikini..Unadhani watakuelewa kila siku.kurudia rudia story hyo tu kila siku.
Speech yake ya kwanza naya mwisho kuiangalia niya ufunguzi wa bunge,baada ya hapo sijawahi kujisumbua kabisa kumwangalia tenaKila speech anayotoa Mtukufu wetu lazima utaona analalamika mambo ya nyuma tu.Unaona imekaa sawa? Hivi wewe kama ni Baba wa familia kila siku watoto wako wanakuona unalamika kuhusu Maisha ya Baba yako kwamba yalikua ya anasa,amechezea hela hadi akashindwa kuacha uridhi unaoeleweka.ndo maana leo hii wewe ni masikini..Unadhani watakuelewa kila siku.kurudia rudia story hyo tu kila siku.
Mm nashauri akaze hvyo hvyo ikiwezekana apunguze mishahara kabisa ili wapate akili.Mkuu ana chuki na watumishi sana, anatamani awafukuze wote au hata kuwapunguza. Sijui walichomfanya, uhamisho kikatili, kazi hakuna motisha, mishahara midogo watu wamesusa ule moyo wa kujitolea kwa dhati umepungua. Watumishi wengi wanaamini jamaa anawabagua, anajali wanajeshi na polisi hata promotion zipo jeshini tu huku kwa walimu na wengine hakuna. Kipindi cha kampeni aliongea kwa unyenyekevu sana ila sasa kawageuka.