USIFIKIRI NITAKUKUBALI WATU WASIKIE HAPANA, ILA NATAMBUA UWEZO WAKO.
Kwamiaka mingi nimekuwa nikikosea serikali ya Tanzania toka nimepata kibali chakuitwa mpinzani, japo nikiri nilipata kibali na leseni hiyo bila ya semina na uzoefu kutoka kwa walionitangulia kupata kibali kujua maana ya UPINZANI na UTAIFA hilo nakiri.
Ila nimejitahidi kuwanapinga mambo yote yanayofanywa na serikali ili kudhihirisha mimi nimpinzani kweli.
Kipindi cha rais wa awamu tatu (3). Benjameni Mkapa nilipinga alipoamua kuhakikisha taifa linakuwa kiuchumi nilimuita majina yote mabaya unayoyajua wewe lakini yule Mh.aliweza kusimama imara nakukuza uchumi wa Tanzania na aliweza kufuta ile Kodi ambayo ilikuwa inaitwa kodi ya kichwa.
Kodi hii kama wewe nikijana wa sasa uwezi kuijua lakini mimi nakumbuka kuna siku baba alikimbia wakati tunakula kisa kodi sikumuona baba nyumbani kwa siku mbili masikini hata kufuta hili nilimpinga yule rais na kumuita Kapa.
Rais yule aliondoka lakini wakati anaondoka.
Akaja mwingine ambaye alifanyakazi kubwa sana ya kunipa uhuru huyu bwana alikuwa na huruma sana ilifika sehemu nilimpinga sana na kumtukana ananiita mahali anapoishi ambapo hata mimi natamani niishi kama yeye nakunywa nae chai pamoja na korosho juisi kahawa naondoka kwakweli pamoja na kudekezwa kote huku niliendelea kutukana na kumuita mjinga kwa upole wake, masikini kumbe nilishindwa tofautisha huruma na ujinga Mungu nisamehe kwa hilo, huyu bwana alijenga barabara za kutosha alijitahidi kuhakikisha kila mtanzania anapata maisha bora hapo kwangu ndio kukawa kosa kubwa hata pale alipoona nadaiwa sijalipa kodi alijaribu kunitetea japo nilimtukana sana na kuendelea kumuita dhaifu mpole lakini nilifika mbali nikasema nataka mtu ambaye anaelementi za Udikteta, Mtu anaweza kufanya maamuzi bila kuunda tume, sitasahau siku niliyomwambia aliyekuwa naibu waziri tamisemi wakati ule Mwangrii kuwa unanidanganya hapa kikaoni nenda halmashaurii uwone fedha zinaliwa kama mchwa, nikaenda mbali kuliko nikasema huyu mtu anasafiri sana kunanini anamaliza fedha.
Leo nimekupata wewe uliyekuwa kwenyendoto zangu hata kama sitasema hapa watu wasikie lakini kwa matamshi ya hapo nyuma waelewa wanajua nilikuwa na kutaja wewe.
Umekuja kufanyakazi na kweli Ukatwambia Hapa Kazi Tu, tuache majungu sasa nimeanza kukupinga tena kwanguvu mbele za watu kinachonishinda nikukosa hoja ya msingi kuwa napinga nini, nimeandaa vijana kwenye ofisi zangu katika njia za mitandao wapinge kila unalolifanya wamekuwa wanaandika mpaka wanakosea wanakosea mpaka yale ambayo hayafai kukosolewa nimebakia na aibu ila nashindwa kusema.
Wewe umeshikilia kodi mpaka baadhi ya ndugu zangu wanapata aibu nimejaribu kukutafuta sana ili nikwambie punguza makali simu unapokea ila unaniambia unataka mabadiliko ya kweli sio kama yale yangu ya kisanii.
Umeweza kushuhulikia nidhamu kazini, watumishi hewa waliyokuwa wanachota fedha bure, naona ndege tunazo pamoja na mambo mengine mengi ambayo sitaweza kuhataja hapa, nimebakia nasema kwaajinsi navyokwenda kuumbuka sasa natamani hata yule aliyokuwa ananipa kahawa pale kwako, nikifikiri miaka mitano itaisha bila kunywa kahawa yapale nachanganyikiwa kabisa.
Lakini naomba ufahamu nakukubali sana tena sana ila mbele zawatu sintasema hata siku moja ila moyoni nakukubali hata nikiwa na vijana wangu nawaambia wewe ni jembe nao wanakukubali kweli tu.
Huku kukupinga jua hii nikazi napokea mshahara mimi na jopo langu kwa kukupinga kwahiyo usitegemee nitakusifu hadharani.
Maana nitafukuzwa kazi mimi asante kwa kunielewa ni mimi mpinzani naepinga kili kitu.
Kwamiaka mingi nimekuwa nikikosea serikali ya Tanzania toka nimepata kibali chakuitwa mpinzani, japo nikiri nilipata kibali na leseni hiyo bila ya semina na uzoefu kutoka kwa walionitangulia kupata kibali kujua maana ya UPINZANI na UTAIFA hilo nakiri.
Ila nimejitahidi kuwanapinga mambo yote yanayofanywa na serikali ili kudhihirisha mimi nimpinzani kweli.
Kipindi cha rais wa awamu tatu (3). Benjameni Mkapa nilipinga alipoamua kuhakikisha taifa linakuwa kiuchumi nilimuita majina yote mabaya unayoyajua wewe lakini yule Mh.aliweza kusimama imara nakukuza uchumi wa Tanzania na aliweza kufuta ile Kodi ambayo ilikuwa inaitwa kodi ya kichwa.
Kodi hii kama wewe nikijana wa sasa uwezi kuijua lakini mimi nakumbuka kuna siku baba alikimbia wakati tunakula kisa kodi sikumuona baba nyumbani kwa siku mbili masikini hata kufuta hili nilimpinga yule rais na kumuita Kapa.
Rais yule aliondoka lakini wakati anaondoka.
Akaja mwingine ambaye alifanyakazi kubwa sana ya kunipa uhuru huyu bwana alikuwa na huruma sana ilifika sehemu nilimpinga sana na kumtukana ananiita mahali anapoishi ambapo hata mimi natamani niishi kama yeye nakunywa nae chai pamoja na korosho juisi kahawa naondoka kwakweli pamoja na kudekezwa kote huku niliendelea kutukana na kumuita mjinga kwa upole wake, masikini kumbe nilishindwa tofautisha huruma na ujinga Mungu nisamehe kwa hilo, huyu bwana alijenga barabara za kutosha alijitahidi kuhakikisha kila mtanzania anapata maisha bora hapo kwangu ndio kukawa kosa kubwa hata pale alipoona nadaiwa sijalipa kodi alijaribu kunitetea japo nilimtukana sana na kuendelea kumuita dhaifu mpole lakini nilifika mbali nikasema nataka mtu ambaye anaelementi za Udikteta, Mtu anaweza kufanya maamuzi bila kuunda tume, sitasahau siku niliyomwambia aliyekuwa naibu waziri tamisemi wakati ule Mwangrii kuwa unanidanganya hapa kikaoni nenda halmashaurii uwone fedha zinaliwa kama mchwa, nikaenda mbali kuliko nikasema huyu mtu anasafiri sana kunanini anamaliza fedha.
Leo nimekupata wewe uliyekuwa kwenyendoto zangu hata kama sitasema hapa watu wasikie lakini kwa matamshi ya hapo nyuma waelewa wanajua nilikuwa na kutaja wewe.
Umekuja kufanyakazi na kweli Ukatwambia Hapa Kazi Tu, tuache majungu sasa nimeanza kukupinga tena kwanguvu mbele za watu kinachonishinda nikukosa hoja ya msingi kuwa napinga nini, nimeandaa vijana kwenye ofisi zangu katika njia za mitandao wapinge kila unalolifanya wamekuwa wanaandika mpaka wanakosea wanakosea mpaka yale ambayo hayafai kukosolewa nimebakia na aibu ila nashindwa kusema.
Wewe umeshikilia kodi mpaka baadhi ya ndugu zangu wanapata aibu nimejaribu kukutafuta sana ili nikwambie punguza makali simu unapokea ila unaniambia unataka mabadiliko ya kweli sio kama yale yangu ya kisanii.
Umeweza kushuhulikia nidhamu kazini, watumishi hewa waliyokuwa wanachota fedha bure, naona ndege tunazo pamoja na mambo mengine mengi ambayo sitaweza kuhataja hapa, nimebakia nasema kwaajinsi navyokwenda kuumbuka sasa natamani hata yule aliyokuwa ananipa kahawa pale kwako, nikifikiri miaka mitano itaisha bila kunywa kahawa yapale nachanganyikiwa kabisa.
Lakini naomba ufahamu nakukubali sana tena sana ila mbele zawatu sintasema hata siku moja ila moyoni nakukubali hata nikiwa na vijana wangu nawaambia wewe ni jembe nao wanakukubali kweli tu.
Huku kukupinga jua hii nikazi napokea mshahara mimi na jopo langu kwa kukupinga kwahiyo usitegemee nitakusifu hadharani.
Maana nitafukuzwa kazi mimi asante kwa kunielewa ni mimi mpinzani naepinga kili kitu.