1.Rais kukosa busara mbele za wananchi badala yake kuhubiri chuki,ubaguzi na vitisho
2.Nchi kuongozwa kwa matamko yasiyo na ticha kwa maendeleo na ustawi wa taifa e.g bila cheti cha kuzaliwa hakuna kuoa,mtu mmoja kuwatisha wengine kuwafukuza mkoani kwake ilikhali naye yu ugenini
3.Serikali kustisha ajira kwa miaka mpya kwa miaka miwili bila ya kuwa na mbadala ingawa bado kuna upungufu wa wataalamu katika jamii m.f.n sekta ya afya,elimu..
4.Nchi kuendesha kwa vitisho na visasi vinavyopelekea kuiweka rehani amani na demokrasia yetu iliyokuwa imeanza kuzaa matunda kwa kuvutia wawekezaji
5.Tumbua tumbua za watumishi wa umma bila ya kufuata sheria hivyo serikali kujiongezea mziko wa watumishi wanaoendelea kulipwa mishahara pasipo kuwa na kazi hivyo kuongeza mzingo kwa taifa
6.Serikali kuendesha nchi biCORRECTEDkuwa na dira thabiti wamebaki kudakia kila lionekanalo mbele ya viongozi.tunashindwa kuelewa ni nchi ya viwanda au vi wonder na kiku za shelawadu
7.kuzuia bunge mubashara kwa kile kinachodhaniwa kuwakomoa wapinzani na kurusha mubashara sherehe binafsi katika tv ya taifa bila kujali kodi za walala hoi zinazoteketea bula faida
8.Kuendeshwa kwa chuki za wazi kwa wapinzani kwa kuwaweka rumande kwa kile wasemacho uchochezi.imekuwa nchi ya kidikteta asemalo MTUKUFU linakuwa sheria
9.Kudolola kwa huduma muhimu za jamii huku serikali ikitoa matamko yanayokatisha tamaa m.f.n ni ukosefu wa dawa kwenye hospitali za umma,upungufu wa chakula uliosababishwa na ukame,wanafunzi kusomea chini ya miti kwa kutekeleza sera ya mwendokasi
10.Kukosekana kwa pesa za mikopo kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kwenda kinyume na moja ya sera zake katika uchaguzi[emoji22][emoji22][emoji22]
HIVYO NI MUDA KWA KIJANA WA KITANZANIA KUTAFAKARI MUSTAKABALI WA WANAE SASA
USIRUDIE KOSA 2020
R.I.P ZAMA ZA MAWE JEMBE NA NYUNDO