Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kusema kweli mimi binafsi nakerwa na huyu kiongozi wa nchi maana amezidi ubaguzi,,,,vyuoni mikopo hakuna,,,anawakandamiza wapinzani,,,anatumia mabavu katika utawala huu N.K

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Usiogope kupimwa haja ndogo tamka wazi wazi mkuu
 
Aaahhhh. Kumbe mdau wa mamvi

Tupo pa1. Hata mimi cmkubalii huyo jamaa wa huko mwangaruka.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Zaidi ya miaka 2 sasa mambo ya msingi na ya haki kwa watu wanyonge yamesimama huku wengine wakiendelea kutumbua nchi kama kawaida

- Mshahara wa mwalimu 300,000 increment ananyimwa kibabe huku wengine wakilipana posho ya siku tu 400,000

- Ajira kwa vijana zimekuwa za tochi, tena zinatolewa kwa kuviziana na kukomeshana, vijana hawana tumaini

- Si vijana, kinamama, wala yoyote aliye salama sasa maana hata kidogo chako kinaweza kuchukuliwa

- Upinzani nako kila mtu anajitahidi kujenga uchumi wake binafsi, ndugu zake, familia yake na watu wake.

Mimi ni nani, sina ndugu wala baba mbunge wala kiongozi wa chama cha siasa, wala mtu wa kabila langu atakayenibeba hata kwenye interview ya kampuni ya ulinzi licha ya kuwa ninazo sifa zote

Dunia dunia dunia dunia

Anayesononeka,

MoseKing
 
Naskia kikwete ana mpango wa kugombea 2025...kinyume cha katiba lakni...sjui watanzania mtamkubalia? Mana huko upinzani ndo giza kabisaaa
Maisha lazima yaendelee, kuanza kumfikiria Kikwete ni matumizi mabaya ya ubongo
 
Naskia kikwete ana mpango wa kugombea 2025...kinyume cha katiba lakni...sjui watanzania mtamkubalia? Mana huko upinzani ndo giza kabisaaa
Kikatiba Haiwezekani Hata akianzisha chama chake ama kujiunga upinzani Labada Tufuate Katiba ya Inchi ya Urusi
 
Kila mwananchi abebe msalaba wake mwenyewe.

[HASHTAG]#Huu[/HASHTAG] si wakati wa kuoneana huruma ... Mlishafanya maamuzi 2015, subirini tena 2025#
 
Maisha lazima yaendelee, kuanza kumfikiria Kikwete ni matumizi mabaya ya ubongo
Sasa kama maisha lazima yaendelee unataka mwokozi wa kuiokoa tz wa nin sasa...swali lako halina maana
 
Baadhi ya watanzania ni hopeless kabisa jana nimeshangaa kuona wahindi wamekamatwa Mwanza kwa kujiunganishia maji kinyume cha utaratibu kwenye shamba lao eka tano la vitunguu ilemela lakini wapo mamburura ya kitanzania kucha kutwa kupiga domo mitandaoni hali mbaya,

ila muhindi anasafiri mamilioni ya kilometers anaona fursa na anaichangamkia wewe mzawa unatoa povu daily kwa vitu vya kipumbavu.
 
Umepima acceleration ya speed yake ya kushuka shimoni ukakuta ngapi.?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…