Dhamira yake ni kukukomboa wewe mwananchi na Kula keki ya taifa.
Anatukomboa kwa mikakati ipi?
1. Kukamata wakosoaji
2. Kuzima bunge
3. Kufukuza kazi wenye vyeti feki kibaguzi Bashite..?
4. Kufunga kamba bunge nakuliongoza atakako yeye
5. Kuimeza mahakama nayeye ndo kuwa jaji
6. Kuzuia na kutisha wanahabari?
7. Kukamata yeyote mwenye mawazo kinzani
8. Ambaye anahubiri viwanda lakini.....havionekani
.?