Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Uhuru kawashangaza watawala wa Afrika leo sipati picha walivyomshangaa ila najua tuzo ya Mo Ibrahimu inamsubiri na tuzo nyingi za demokrasia dunia hongera uhuru Wakenya wana imani na wewe naamini utakula kiapo tena
 
Uhuru kawashangaza watawala wa Afrika leo sipati picha walivyomshangaa ila najua tuzo ya Mo Ibrahimu inamsubiri na tuzo nyingi za demokrasia dunia hongera uhuru Wakenya wana imani na wewe naamini utakula kiapo tena
Kwa nini sasa aliiba kura?
 
Joseverest is back......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Akitafakari yaliyotokea nchi jirani atakuwa anaji-feel guilty kila akikumbuka matendo na kauli zake

Kauli/matendo hayo ni kama:

1.Kusema bwana "Chacha" anastahili kupewa tuzo kwa ile kazi aliyoifanya

2.Katiba Mpya kwake si kipaumbele kwa sasa

3.Mahakama kwake si chochote

4.Mjengoni kapadhibiti.

5.Mhimili mmoja mpaka sasa kaucha hauna baba

6.Baadhi ya kauli zake sasa ndio sheria,n.k

Sasa najiuluza kwa yaliyotokea nchi jirani na reaction ya watu katika kufanya mlinganisho wa mambo leo hii mzee huyu ana amani kweli moyoni?Hajisikii taabu?Hajisikii vibaya?

Niseme tu,tukio hili la leo la nchi jirani limewashusha sana thamani yeye na chama chake.

Leo hii nchi jirani imewaonyesha kwa vitendo kuwa wanapaswa kuadilika.
Chadomo si mlikuwa kwa Uhuru baada ya kushindwa mahakamani mmemkimbia tena?
 
Akitafakari yaliyotokea nchi jirani atakuwa anaji-feel guilty kila akikumbuka matendo na kauli zake

Kauli/matendo hayo ni kama:

1.Kusema bwana "Chacha" anastahili kupewa tuzo kwa ile kazi aliyoifanya

2.Katiba Mpya kwake si kipaumbele kwa sasa

3.Mahakama kwake si chochote

4.Mjengoni kapadhibiti.

5.Mhimili mmoja mpaka sasa kaucha hauna baba

6.Baadhi ya kauli zake sasa ndio sheria,n.k

Sasa najiuluza kwa yaliyotokea nchi jirani na reaction ya watu katika kufanya mlinganisho wa mambo leo hii mzee huyu ana amani kweli moyoni?Hajisikii taabu?Hajisikii vibaya?

Niseme tu,tukio hili la leo la nchi jirani limewashusha sana thamani yeye na chama chake.

Leo hii nchi jirani imewaonyesha kwa vitendo kuwa wanapaswa kuadilika.
Yaani mawazo yako ndio unampandikizia rais. Viwanda vya majungu
 
Nahofia Uhuru atakuwa sio mwafrika ila amevishwa weusi tu, koz wakina Magufuli, mgabe, Paul kagame, kabila, n. K wanamshangaa Uhuru ni rais waafrika Au ameletwa!?!? [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali tu je angeshinda Uhuru. Moja. Je what about the end ,is the end that justifies the means. You are so stupid that even a mosquito will never squeeze any blood out of you. When has The Court not been fair according to you. Where is Lissu. Where is Mzee Wassira .before you fart think

Upuuzi unapoandika kwa kiingereza uchwara.
 
Kenya imeandika historia Mpya ya ukomavu wa kisiasa na kidemokrasia. Viva Kenya.
 
Hapo cha ajabu ni nini?Wananchi sio ndio wenye maamuzo?!Mmekosa hoja mnaleta vioja.
Mshauri asiende tena ktk kampeni za uhuru, anaweka gundu!
Ni kama Mumgu kasema huyu jamaa ktk siasa akigusa tu napiga bakora, haijalishi ndani au nje.
 
Swali tu je angeshinda Uhuru. Moja. Je what about the end ,is the end that justifies the means. You are so stupid that even a mosquito will never squeeze any blood out of you. When has The Court not been fair according to you. Where is Lissu. Where is Mzee Wassira .before you fart think

Walisema waungwana "never argue with a fool ...". Bakia hivyo hivyo.
 
Naam,

Tufanye as per the title.

Binafsi mimi sipendelei kabisa utendaji wa serikali hii ya awamu ya Tano. Kuna baadhi ya vipengele vimefanywa vizuri ila kwa kiasi kikubwa, serikali hii has got a lot of fundamental mistakes.

Suala la kuzuiwa kwa ajira mpya, kutopandishwa mishahara, bomoa bomoa, kubwakwa demokrasia nk. Ni mambo yanayonikereketa mnoooo

Good luck.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom