Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Dhamira yake ni kukukomboa wewe mwananchi na Kula keki ya taifa.

Anatukomboa kwa mikakati ipi?

1. Kukamata wakosoaji

2. Kuzima bunge

3. Kufukuza kazi wenye vyeti feki kibaguzi Bashite..?

4. Kufunga kamba bunge nakuliongoza atakako yeye

5. Kuimeza mahakama nayeye ndo kuwa jaji

6. Kuzuia na kutisha wanahabari?

7. Kukamata yeyote mwenye mawazo kinzani

8. Ambaye anahubiri viwanda lakini.....havionekani

.?
 
G hawa MACCM kweli unategemea waweze kuuliza maswali kama hayo wakati wako pale kupiga makofi kwa kila uongo wa mpiga madili!?

 
Akitafakari yaliyotokea nchi jirani atakuwa anaji-feel guilty kila akikumbuka matendo na kauli zake

Kauli/matendo hayo ni kama:

1.Kusema bwana "Chacha" anastahili kupewa tuzo kwa ile kazi aliyoifanya

2.Katiba Mpya kwake si kipaumbele kwa sasa

3.Mahakama kwake si chochote

4.Mjengoni kapadhibiti.

5.Mhimili mmoja mpaka sasa kaucha hauna baba

6.Baadhi ya kauli zake sasa ndio sheria,n.k

Sasa najiuluza kwa yaliyotokea nchi jirani na reaction ya watu katika kufanya mlinganisho wa mambo leo hii mzee huyu ana amani kweli moyoni?Hajisikii taabu?Hajisikii vibaya?

Niseme tu,tukio hili la leo la nchi jirani limewashusha sana thamani yeye na chama chake.

Leo hii nchi jirani imewaonyesha kwa vitendo kuwa wanapaswa kuadilika.
 


Mkuu leo siyo siku nzuri kwa ikulu zote Afrika ambako waheshimiwa wao wamewekeza katika udikteta na udikteta uchwara ikulu ya magogoni ikiwemo.
 
Mkuu leo siyo siku nzuri kwa ikulu zote Afrika ambako waheshimiwa wao wamewekeza katika udikteta na udikteta uchwara ikulu ya magogoni ikiwemo.
Nasikia kuna mmoja ameshaenda kenya kumfutafuta uhuru akihisi ule weusi wake ni kiwi tu amepakwa..

Wameweka kikao kuhoji uafrika wakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Yaaaaaani,,,,,huyu njisi alivyo,,siamini kama anafikilia chochote....kesho hats kesho atoke Na matamuko mengine.
 
Mkuu leo siyo siku nzuri kwa ikulu zote Afrika ambako waheshimiwa wao wamewekeza katika udikteta na udikteta uchwara ikulu ya magogoni ikiwemo.

Swali tu je angeshinda Uhuru. Moja. Je what about the end ,is the end that justifies the means. You are so stupid that even a mosquito will never squeeze any blood out of you. When has The Court not been fair according to you. Where is Lissu. Where is Mzee Wassira .before you fart think
 

Gundu.
 
Halafu maandamano kila mahali . Hakuna bomu hata la amaji. Huku mkikaa wawili utasikia intelijensia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru Kenyatta naye amekuwa kama Lofa vile. Kwa jinsi Trump alivykibuka mshindi kwa mbeleko ya Urusi, ingekuwa mpaka sasa si Rais wa Marekani.
 
Kichaa tangu lini akajijua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…