Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nyie ndio mnazidi kumpoteza!
 


Sema ameua ndoto za WAKORA kwa kasi kubwa, lakini ndoto za vijana wapenda kazi, wenye kujituma na kupenda taifa lao, ziko palepale
 
Sema ameua ndoto za WAKORA kwa kasi kubwa, lakini ndoto za vijana wapenda kazi, wenye kujituma na kupenda taifa lao, ziko palepale
Ni kweli ziko palepale kwenye KUBET, UMACHINGA, BODABODA, MANAMBA, JOBLESS
 
Sema ameua ndoto za WAKORA kwa kasi kubwa, lakini ndoto za vijana wapenda kazi, wenye kujituma na kupenda taifa lao, ziko palepale
Ni kweli ziko palepale kwenye KUBET, UMACHINGA, BODABODA, MANAMBA, JOBLESS, BAHATI NASIBU NK
 
Mkuu nimesema kulitia Taifa hasara kwa maamuz yake ya gafla unaweza uone ni kitu kidogo lakin kina athari kubwa sana kwenye uchumi wa nchi ni sawa na kuwa fisadi tu

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Mkuu kama maamuzi gani ambayo hayana maslahi kwa taifa?Hebu tunaomba mfano.
 
No free lunch
 
Kweli mwanzo niliona manyunyu ya udikteta sasa ni mvua ya udikteta kamili nchi hii
Nchi yetu ilikua ya mfano kidemokrasia leo hii imegeuka kama rwanda au zimbabwe
Wapinzani wamegeuka maadui nchi hii
Leo hii kumegeuka ubaguzi mkubwa kwa misingi ya uchama
Wengine wakifanya mikutano ni ruksa wengine ni haramu kufanya hivyo
Ila wajue kuwa mkuki ni kwa nguruwe tu ila kwa binadamu mchungu
Nchi imekua ya kidteta hii ******** na utawala wake wamegeuka watu wabaya na wanyanyasaji wa wananchi
Nchi imegeuka ya wachache tu ndo wanafaidi
Halafu anataka tumuombee who are u mpaka uombewe?
Leo hii kuvunja katiba kunaonekana wazi kabisa
Dalili zote za utawala wa mabavu nchi hii zimekwisha onekana
Ni kichaa pekee atakayejaribu kukanusha kuwa eti tanzania udikteta haujatamalaki ukweli ni kuwa udikteta upo na ndo tumeingia kwenye udikteta kamili
Natoa onyo tu kwa serikali ya ccm wasidhani watatawala milele wajue kuwa karibuni maji yatazidi unga
Hatuwezi kukubali nchi yetu iliyoongoza ukombozi africa nzima kugeuka kupokea miongozo kutoka rwanda ambayo ni nchi yenye ukabila na chuki tena na mizizi ya udikteta wa kagame
Lazima watanzania tuamke tusikubali kuona katiba na sheria zikivunja na tuamke kwa pamoja kuukemea na kuuondoa huu udikteta uchwara uloshika.mizizi hapa nchini
Walaaniwe madikteta wote na alaaniwe yule dikteta uchwara mvunja katiba
Mwisho wa unyama wa yote kila mtu ataonja mita 3 kaburini
Hatutakubali nchi kugeuzwa karata ya udikteta na ubaguzi wa kichama
 
Udikteta ni aina ya serikali ambayo nchi au kikundi cha nchi inatawaliwa na mtu mmoja (dictator) au kwa uhuru, na nguvu hutumiwa kwa njia mbalimbali ili kuhakikisha kwamba nguvu za taasisi zinabakia nguvu.

Udikteta ni aina ya uhuru, ambapo wanasiasa hutawala karibu kila nyanja ya tabia ya umma na binafsi ya raia. Udikteta na jamii za kikatili kwa ujumla hutumia propaganda za kisiasa ili kupunguza ushawishi wa wasaidizi wa mifumo ya udhibiti mbadala. Katika siku za nyuma, mbinu mbalimbali za kidini zilizotumiwa na waasi wa dikteta ili kudumisha utawala wao, kama vile mfumo wa monarchiki magharibi.

Katika karne ya 19 na 20, monarchies za jadi zilipungua na kupotea. Udikteta na demokrasia ya kikatiba iliibuka kama aina mbili za serikali kuu.
 
Kwa maana hiyo unataka watu wasifukuzwe kazi hata kama hawastahili kuwepo kazini? Ndicho hiki kutu mnacholilia?
Kumbe haukunielewa nimesema mfano aliotoa wa mzazi na mwana hauendani ,ujue mzazi ata akiwa na mtoto jambazi au mtukutu bado atampenda tu.
 
huyu dikteta asiye na akili ni nani aliyemroga?
 
utawala wa awamu ya tano umevunja katiba kwa kiwango kikubwa sana. tungekuwa na bunge makini jpm alipaswa kuwajibishwa na bunge
 
mwenziwe (JK) kamuasa kwa lugha ya kiuungwana kuwa kuna maisha baada ya urais. labda ana uhakika wa kuwa rais milele yote...
 
utawala wa awamu ya tano umevunja katiba kwa kiwango kikubwa sana. tungekuwa na bunge makini jpm alipaswa kuwajibishwa na bunge
Nikweli kabisa mkuu naichukia ccm daima namilele.nawalaniwe wote wanao iunga mkono ccm.
 
Hata nikikuuliza unachotetea moyoni kabisa unajua hukijui. Another hunchback at his own quality!
 
Hali si hali you rug-headed piece of a person! Vumilia lugha hii! Hivi ukifanya mapenzi na moto huku haujanyoa nywele za "mapajani" unategemea zisiungue kwa mwendokasi!? Falsafa hii ukiielewa utakuwa umekua!
 
Acha umbea haikusaidii. Talk the talking itself!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…