Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli
Nyingine stori tu mkuu. Hayo mazao yako utamuuzia nani ?Wengi kumbe tulikua tukipokea mishahahara hewa
Na tulipenda kukaa mijini tukivia migao ya vya bure
Bora tuliorudi vijijini kulima na kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa siamini kama hii post ni ya Mkaruka Og!Watanzania gani ?
Mfukoni au kwenye walletHiyo 4000 inatoka wapi ?
Tumeishi kwa kufuata sheria na katiba kwa tawala zilizopita.Watu wamevunjiwa nyumba kwa "amri kutoka juu" licha ya kuwa na amri za mahakama kuzuia uvunjaji huu!
Nyerere alisema kwamba, mkiruhusu kuongozwa na dikteta, mtaumia. Na yeye hata hatawahurumia, kwa sababu mtakuwa mmejitakia hilo.
Alisema ukigusa moto,utaungua, hii ni kanuni ya asili, si kanuni ya Nyerere.
Alisemahivyo, video zipo Youtube. Search "Nyerere katiba1" "Nyerere katiba2" na "Nyerere katiba3".
Alikuwa anaongelea viongozi wa nchi kuongoza kwa kuvunja katiba, alilaani sana hili Salmin Amour alipoiingiza Zanzibar OIC.
Yale maneno yake yana umuhimu sana kwa kipindi hiki cha Magufuli. Kwa sababu tunaona ujinga ule ule wa nchi kuendeshwa kwa kauli za mtu badala ya sheria na katiba.
Kwa hiyo na mimi narudia mule mule.
Shurutisheni viongozi waongoze kwa sheria na katiba, si kwa ubabe wao binafsi.
Mkishindwa hili, mkishangilia viongozi wanaovunja katiba, mkiishi kama mashetani ni stahili yenu.
Kwa sababu mmeshindwa kusimamia haki zenu za msingi za kikatiba.
Mmeamua kugusa moto, mkiungua msilalamike.
Wewe utapigwa mpaka ulambe udongo halafu utakung'utwa mpaka minyoo utakayopata kwa kula udongo itozwe kodi.Tumeishi kwa kufuata sheria na katiba kwa tawala zilizopita.
Bado watu walifanya madudu tu
Acha atunyooshe wengi mmepinda, mmekula msichokifanyia kazi muda mrf.
Sent using Jamii Forums mobile app