Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Sisi kule kwetu huwa tuna amini kuwa mtu yoyote mwenye laana huwa a naanza hivyo
Hasa kama mtu damu ya mtu inapomlilia Mara Nyingi huwa anaongea vitu ambavyo mara Nyingi huwafanya watu kushangaa
Matusi, kupiga watu, kuwa na matumizi ya ajabu, kukosa utanashati, na mengine mengi hapo huwa anaangaliwa kwa jicho LA umakini kwani huwa ni njia ya kuendea ukichaa kamili
 
mi nilikua na kibiashara kangu masharti yamekua mengi mpaka nikaona isiwe tatizo nikahairisha we acha tu.
 
No tangu huyu bwana ameingia mjengoni nimeona sanaa, vitisho, majigambo, sifa za kijinga, watu wasiojulikana, mahakama ya mafisadi kukosa kesi na watumishi kufukuzwa fukuzwa...

Hebu tuambie wewe umeona nini na unajivunia nini Kwa utawala huu???
 
Tumeishi kwa kufuata sheria na katiba kwa tawala zilizopita.
Bado watu walifanya madudu tu
Acha atunyooshe wengi mmepinda, mmekula msichokifanyia kazi muda mrf.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeishi kwa kufuata sheria na katiba kwa tawala zilizopita.
Bado watu walifanya madudu tu
Acha atunyooshe wengi mmepinda, mmekula msichokifanyia kazi muda mrf.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utapigwa mpaka ulambe udongo halafu utakung'utwa mpaka minyoo utakayopata kwa kula udongo itozwe kodi.

Na bado utashabikia kupigwa huko.

Mimi simo huko, natafuta mansion langu la ku retire somewhere safe, jasho lakukimbizana na Magufuli ni la kifalsafa zaidi kwangu.

Schadenfreude is not a sane policy, if it is a policy at all.
 
Laiti ungejua hakuna mtu anayepitia maisha magumu kama mzee wa chato, usingemsema.

Tuipende nchi yetu Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…