Bombardear
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 241
- 193
daaah bora hata nawe umenipa moyo maanake hawachelewi kukuita mchochezi na kukumwagia gun nyingiHakuna wa kukuteka hapo umeongea kiuungwana sana Mfumo wa uchumi wake ni wa kukomoana ameweka pia mifumo mizuri ya kukusanya kodi ila Hailpi Madeni ya ndani hiyo Mifumo Hailipi kodi Anaye lipa kodi ni mimi na wewe ''No welfare for his people'
Uuuuwiii kumbe lazima? Halafu waalimu walivyo wengi lazima hiki ni chanzo kikubwa sana cha mapato.Kwani kuna hiari katika kulipa. Linapita panga tu. Sitashangaa kama Serikali inakopa hela hizo
Napenda naposikia walimu muna hali mbaya , mana nyinyi huwa wepesi wa kusahau ,shida zote mnazopitia ikifika kipindi cha uchaguzi mnakuwa vipofu .
Na bado
Kama kilo ya dagaa imepanda kufikka sh 12,000/= nunua nyama sh 6,000/=. Acha kukariri misosi ya kula.Naomba ni declare interest Iam teacher by professional.Ninaposema simuelewi naaamanisha hivi.
Wakati wa Jk dagaaa za Mwanza nilinunua 1kg@kwa Tsh 3000 Sasa hv ni Tsh 12000 kwa kg.
Mafuta ya kula nilinunua Tsh 15000 kwa lita 5 sasa hv 22500.
Sukari 1kg Tsh 1800 sasa Tsh 3500.
Kodi ya nyumba kwa mwezi 15000 sasa Tsh 30000. Na mshahara ni ule ule wa Jk.Sasa nakuomba mhe Rais sikuwahi na sitawahi kuwa mpiga madili kwani shule ya msingi kuna madili mpaka niwe mpiga madili .Ninapolalamika ugumu wa maisha ugumu wa maisha upo, Ujue upo .Nasimimi tuuu jua watanzania wote wanalamika ugumu wa maisha hebu fanya reseach bila kuwatumia hao viongozi wako wanaokupa data utaona uchumi unavyoendrlea kudidimia.Naomba msiniteke na kuniua pia naomba nisiitwe mchochezi, Sina sehemu nyingine ya kulalamikia isipokuwa kwennye forum kama hz. Nawashawashwa
Atawaongoza wanyonge etikwahiyo anataka tufe sasa tukifa atawaongoza wakina nani
Una famili weye? kwahiyo niwe nanunua nyama kila siku? kwa mshahara upi kakaKama kilo ya dagaa imepanda kufikka sh 12,000/= nunua nyama sh 6,000/=. Acha kukariri misosi ya kula.
Utamwelewa tu. Mbona wengi wanamwelewa?.Naomba ni declare interest Iam teacher by professional.Ninaposema simuelewi naaamanisha hivi.
Wakati wa Jk dagaaa za Mwanza nilinunua 1kg@kwa Tsh 3000 Sasa hv ni Tsh 12000 kwa kg.
Mafuta ya kula nilinunua Tsh 15000 kwa lita 5 sasa hv 22500.
Sukari 1kg Tsh 1800 sasa Tsh 3500.
Kodi ya nyumba kwa mwezi 15000 sasa Tsh 30000. Na mshahara ni ule ule wa Jk.Sasa nakuomba mhe Rais sikuwahi na sitawahi kuwa mpiga madili kwani shule ya msingi kuna madili mpaka niwe mpiga madili .Ninapolalamika ugumu wa maisha ugumu wa maisha upo, Ujue upo .Nasimimi tuuu jua watanzania wote wanalamika ugumu wa maisha hebu fanya reseach bila kuwatumia hao viongozi wako wanaokupa data utaona uchumi unavyoendrlea kudidimia.Naomba msiniteke na kuniua pia naomba nisiitwe mchochezi, Sina sehemu nyingine ya kulalamikia isipokuwa kwennye forum kama hz. Nawashawashwa
Huyu siyo kiongozi ni mtawala, hajui anacho kifanya mpaka sasa miaka miwili inaisha.
Kwani kaachana na nkewe au kachepuka?
Nani alikuambia maendeleo ya nchi yanaletwa na mtu mmoja hata hapo kwako maendeleo yataletwa na wanafamilia wote!! Sasa itakuwa nchi?? Ila kukiwa na kiongozi makini anaweza kusaidia kuleta maendeleo!!Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii
Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]