Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
ilikuaje sasa akaaminiwa chadema hadi kupata nafasi ya kugombea uspika??chadema hawana intelijensia?? au chadema walikurupuka?


Mbona alikuwa naibu Waziri ccm unataka kuniambia ccm walikuwa hawana intelligence?
 
Mfalme anazidi kupendeza na mavazi yake ya ajabu. Tumsifu.
 
Duh! Vipi kuhusu Lowasa? Ina maana ninyi CHADEMA mnawaacha tu watu wasio wana CHADEMA wanakuja kuchukua vyeo kwa mgongo wenu? Kweli ninyi ni mazoba

Mimi sio mwanacdm japo nawakubali kwenye mambo mengi. Hilo la kumpa Medeye na EL nafasi yakugombea msimamo wangu uko wazi hapa jukwaani. Sikuwa na imani nao wala sintokaa niwe na imani nao.
 
Serikali iliyofeli kabisa ndani ya miezi sita tu! Huyu dereva wetu ana mori ya kufanya mazuri tatizo hana dira.
Ni sawa na catapila liache kulima barabara livamie mashamba
 
Serikali iliyofeli kabisa ndani ya miezi sita tu! Huyu dereva wetu ana mori ya kufanya mazuri tatizo hana dira.
Ni sawa na catapila liache kulima barabara livamie mashamba
kwahiyo tinga tinga limejigeuza kuwa trekta mkuu?
 
Mi nawashangaa sana mnaolia lia...subirini mpaka mwakani ndo tutajua tunaelekea wapi..ndo kwanza anafanya service ya gari mnalia..akianza safari je ?

Wekeni siasa pembeni tuijenge nchi yetu.
 
Acha kabisa kumsingizia Mwl. Nyerere! Kama Mwalimu Nyerere angelikuwa hai angeunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuhangaikia maendeleo ya wananchi. Labda angeweza kumshauri ktk mambo kadha wa kadha kwa manufaa ya wanyonge na si vinginevyo.

Ambaye hajui Rais Magufuli anafanya nini ni we we tu kwa sababu huenda ulikuwa jipu ukatumbuliwa ama una hofu ya kutumbuliwa. Kama ni 'ushauri wa mkewe' basi unafaa sana maana sisi Watanzania wenzio tunafurahia kazi nzuri inayofanywa na iliyofanywa na Rais Magufuli na Serikali yake ndani ya miezi sita tu! Huku niliko haijawahi kutokea! Mwenyekiti wetu mtaa anafanya kazi kubwa na nzuri. Kila Jumapili anafanya mkutano na wana mtaa kuhamasisha maendeleo, kushariana na kusikiliza kero nk. Wananchi wa mtaani kwetu tumekubaliana kuweka vyama pembeni hadi kipindi cha uchaguzi!
 
Mi nawashangaa sana mnaolia lia...subirini mpaka mwakani ndo tutajua tunaelekea wapi..ndo kwanza anafanya service ya gari mnalia..akianza safari je ?<br /><br />Wekeni siasa pembeni tuijenge nchi yetu.
 
Mi nawashangaa sana mnaolia lia...subirini mpaka mwakani ndo tutajua tunaelekea wapi..ndo kwanza anafanya service ya gari mnalia..akianza safari je ?<br /><br />Wekeni siasa pembeni tuijenge nchi yetu.
utajenga nchi bila hela? watu ratiba ya kula imebadilika alf hio nchi itajengwa vp
 
This is explicit content [emoji106]
 
Acha UNAZI thread inajieleza fact za ukweli
Tatizo ULUMUMBA ndo unakuponza [emoji83]
 
Kweli kabisa mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…