Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kazi kweli kweli!! Mie nikipita kila mkoa wanalalamika hali ngumu.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...ndio tunaisoma namba? Tukichoka je tunaweza badilika na kumkataa Mwalimu anaetufundisha jinsi ya kuisoma namba?

Kwa asili ya watanzania sidhani kama huwa tunaweza kumbana RAIS Au kiongozi alie madarakani...katiba yetu haina meno yakuwabana viongozi
Watu wanaimba wimbo wa HALI NGUMU ILI KUHEPA MAJUKUMU na WAJIBU.

Alivyokuwa akipigwa vijembe JK kwa kudidimiza taifa na sasa Magufuli anavyolalamikiwa na baadhi yenu, laiti ukweli ungelikuwa hivyo, saaiz nchi hata mishahara ya watumishi haingekuwa inalipwa.

Kuweka misingi ya kukuza uchumi na hatimaye uchumi wenyewe kukua ni swala linalohitaji upeo.
 
Most african leaders perceive humanity as a threat because most of them do not understand the value of democracy n good governance.....!
You are brainfooled to sing the song that you're not convesant with. How do you perceive democracy and where in the world is real practiced the way you perceive it??
 
Watu wanaimba wimbo wa HALI NGUMU ILI KUHEPA MAJUKUMU na WAJIBU.

Alivyokuwa akipigwa vijembe JK kwa kudidimiza taifa na sasa Magufuli anavyolalamikiwa na baadhi yenu, laiti ukweli ungelikuwa hivyo, saaiz nchi hata mishahara ya watumishi haingekuwa inalipwa.

Kuweka misingi ya kukuza uchumi na hatimaye uchumi wenyewe kukua ni swala linalohitani upeo.
Upeo wa kuunda magenge ya wauaji na watekaji,,, hakuna ajira,,, mishahara hakuna nyongeza mwaka wa tatu sasa,,, unaropokwa tu kama umekunywa uji wa magimbi
 
Mtoa mada unachokisema si kweli na hakito wezekana kwa tz, sio kama nakukatisha tamaa ila tambua hivyo.
Bado wa tz hatujafikia watu kufanya kama Misri
Mfano mdogo tu soma hizi replies za watu hivyo basi nakushauri na kuwashauri wengine kuwa PAMBANENI NA HALI ZENU.
 
Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).

Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.

Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.

Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.

kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.

Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.

Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.

Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?

Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.

Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.

Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Bora umesema wewe mkuu kidogo nimtukane huyu mtoa mada
 
Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).

Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.

Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.

Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.

kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.

Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.

Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.

Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?

Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.

Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.

Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Yani umejibu vizuri sana. Ni mara chache sana utasoma humu ndani hoja zisizokua na kichwa wala miguu. Mtu analalamika lakini hawezi hatakutoa ufafanuzi zaidi au nifanye au takwimu.
Kuna mtu alilalamika humu ndani kama huyu Jamaa. Nikamuambia je umefanya nini hadi sasa ili kupambana na hii hali ngumu licha ya kulalamika? Je umepanda hata ka mche wa nyanya na hoho hapo uani kwako ili kupunguza maisha makali.
Hapo nilirushiwa matusi, na wanakujibu kila mtu akiwa analima na mkulima atamuuzia nani mazoezi yake.
 
Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).

Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.

Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.

Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.

kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.

Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.

Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.

Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?

Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.

Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.

Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Ungefungua uzu wako ukatoa maelezo yako yote haya. Khaa marefu kweli kma vle unalipwa hta mimi binafsi cwezi somo. Labda nikutumie number yangu unipigie ili unieleze kwa kina.
 
Pole sana mkuu, baba yako ni mbishi alafu alisoma kemia ya korosho ndio maana hajui sheria. Hata maamuzi yake yatakuwa ya kuvunja sheria hivyo tegemea umaskini kwa misururu ya fidia kutokana na umbumbu wake wa kudhani anaweza kuharibu alafu akaburuza wafasiri sheria wa ndani. Unfottunately wanampeleka kwa wajuzi wa sheria wa nje.
 
Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).

Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.

Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.

Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.

kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.

Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.

Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.

Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?

Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.

Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.

Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Unaishi Tanzania au Tanganyika?
 
Most african leaders perceive humanity as a threat because most of them do not understand the value of democracy n good governance.....!
I'm just thinking, should presidential election forms have a page or two on democracy and good governance on it, every applicant must read and sign that they understand it?
 
Ni sawa na baba anayejamba mbele za watoto wake ila watoto wake wakijamba inakuwa ishu
 
Ningesema, ila kuna gari nyeupe imepaki nyuma yangu, lakini ningesema. Nasisitiza ningesema
 
I'm just thinking, should presidential election forms have a page or two on democracy and good governance on it, every applicant must read and sign that they understand it?
Nimekupm Mkuu
 
Watu wamechoshwa na sera zako kandamizi

No viwanda

No employment opportunity

Mfumuko wa bei

Sera za chuki


Umefilisi nchi


No freedom of speech


Chuki dhidi ya upinzani


Mikopo na madeni kila siku


Umasikini umeongezeka



Vijana wananyimwa mikopo hela zinanunua mandege mabovu tu



Uchumi umeporomoka hali ni mbaya kila mahali


Mizizi ya udikteta nchini


Ukandamizaji wa haki za binadamu


Upendeleo na matabaka


Kwa haya nguvu ya umma inakuja soon

Lazima utawala huu utaondoka madarakani tu


Mjiandae kwa nguvu ya umma ambayo haijawah tokea
[HASHTAG]#Firechat[/HASHTAG]
P.u.m.b.a.f!!!
 
Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).

Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.

Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.

Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.

kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.

Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.

Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.

Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?

Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.

Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.

Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Tulia ww wala sina time ya kukujibu ww punguani wa lumumba kusoma hujui hata picha huoni??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom