kama nimekuboa jitie vidoleP.u.m.b.a.f!!!
Maswali unayouliza utayajibu mwenyewe nguvu ya umma itakapojidhihiri kutokea.Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).
Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.
Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.
Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.
kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.
Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.
Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.
Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?
Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.
Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.
Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Fantastic"Humanity is a very important quality you must have as a leader. If you are humble, if you let people realise that you are not a threat to them, those people will listen to you, those people will embrace you. "R.I.P Nelson Mandela.
Kichaa utaishia kulialia tu. Mnaambiwa fanyeni kazi hamtaki, kazi kupiga miayo tuTulia ww wala sina time ya kukujibu ww punguani wa lumumba kusoma hujui hata picha huoni??
ushawahi kutiwa vidole???Ww ni maku sisi tunamwelewa xana anko kama wewe au wazaz wako ni wale mlokuw mmeshageuza nchi shamba la bibi pambana na hal yako ss tushazoea na istoshe maisha yamekuw rahc kwa watu ambao walpata shda kpnd ww na wenzio mnaringa xaiv heshma debe jamba uone na hakna kitu kzur km watu wote kuheshimiana mambo mengne tmeshazoea
.Yani umejibu vizuri sana. Ni mara chache sana utasoma humu ndani hoja zisizokua na kichwa wala miguu. Mtu analalamika lakini hawezi hatakutoa ufafanuzi zaidi au nifanye au takwimu.
Kuna mtu alilalamika humu ndani kama huyu Jamaa. Nikamuambia je umefanya nini hadi sasa ili kupambana na hii hali ngumu licha ya kulalamika? Je umepanda hata ka mche wa nyanya na hoho hapo uani kwako ili kupunguza maisha makali.
Hapo nilirushiwa matusi, na wanakujibu kila mtu akiwa analima na mkulima atamuuzia nani mazoezi yake.
Dada kwa hiyo quote umemaliza mjadala kwa wenye akili,isipokua kwa wala rambirambi"Humanity is a very important quality you must have as a leader. If you are humble, if you let people realise that you are not a threat to them, those people will listen to you, those people will embrace you." R.I.P Nelson Mandela.
Dada kwa hiyo quote umemaliza mjadala kwa wenye akili,isipokua kwa wala rambirambi"Humanity is a very important quality you must have as a leader. If you are humble, if you let people realise that you are not a threat to them, those people will listen to you, those people will embrace you." R.I.P Nelson Mandela.
Wewe mbona hijatoa data umejaza upukunyenhe na uzandiki na ukizabizabina tyuuUmeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).
Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.
Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.
Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.
kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.
Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.
Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.
Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?
Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.
Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.
Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Nilete data kwani nina tatizo gani? anaeona kuna tatizo anawajibu wa kudadavua tatizo. sio kupayuka kama mwendawazimu.Ka
Wewe mbona hijatoa data umejaza upukunyenhe na uzandiki na ukizabizabina tyuu