Umeandika usichokijua! Hao “watu” ni akina nani? Sera kandamizi ni zipi (fafanua ukiweka mifano halisi, sio kuandika tu).
Viwanda vinakuja, Raisi ndio kwanza anamaliza mwaka wa Pili madarakani. Hakuna miujiza ya kuamka na viwanda kwa siku moja. Hata vilivyokuwepo havikufa kwa siku moja.
Serikali inaendelea na mchakato wa kuajiri, na usikimbilie kulaumu serikali haiajiri, angalia opportunities nyingine kwanza. Hata mataifa makongwe yaliyopiga hatua kiuchumi kama Marekani na Ujerumani ajira katika sekta za umma ni mtihani mkubwa. Pia jaribu kutofautisha mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya sarafu. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na data kamili juu ya uo mfumuko wa bei. Vinginevyo unahutubia chuki tu.
Taifa lina sera zake ndio. Ni ngumu kusema kuna sera za chuki kama mfumo wa sera unaeleweka na unafanya kazi. Sera za nchi usizichanganye ma masuala binafsi au masuala ya kitaasisi, ambayo kwa namna nyingine yanazo sera zao.
kimsboy tuletee takwimu za hali halisi kabla na baada ya October 2015 katika Nyanja za kiuchumi Tanzania. Kusema tu nchi imefilisika hakutoshi, suala hili linaenda kwa takwimu. Kama wewe umefilisika ni wewe, sio nchi.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano (T) inakupa uhuru wa kuongea/kutoa maoni (freedom of speech). Hata hivyo uhuru huu sio absolute, lazima utii utaratibu uliopo na utimize wajibu wako kwanza. Pia Freedom of speech isiwe kigezo cha kuvunja sheria kwa kuongea yaliyokatazwa na sherial.
Huyu unaemzungumzia (raisi) hana chuki na upinzani. Kila siku amekuwa akisisitiza Tanzania yenye maendeleo pasipo na ubaguzi wa kisiasa (chama) au dini. Tokea kwenye kampeni zake za kusaka uraisi amekuwa akihubiri siasa zisizo na chuki wala ubaguzi wa vyama vya kisiasa.
Hili la kuongezeka kwa umaskini rejea nilivyosema hapo juu, njoo na takwimu. Hata hilo la kuporomoka kwa uchumi linahitaji takwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Watu mlizoea kupiga dili, sasa mirija imeziba mnalialia tu vijiweni.
Fafanua hilo la vijana kunyimwa mikopo. Ni vijana wapi? Ni mikopo ipi?
Upendeleo upi umeuoan katika awamu hii? Naomba mifano halisi tafadhali.
Pia weka hapa mifano halisi ya ukandamizaji wa haki za binadamu, na hiyo mizizi ya udikteta nchini uiainishe hapa.
Mleta mada kwa hili umekurupuka. Unaweza ukawa na hoja nzuri lakini kwa namba ulivyowasilisha unaonekana ni mkosoaji tu usiye na hoja. unaonekana ni mpenda chuki na ni mchochezi. Vinginevyo pambana tu na hali yako, tasnia ya uandishi waachie waandishi.
Hawana uwezo wa nguvu ya umma kama mleta mada anavyotaka?Mengi umeandika kulinda ugali wako . LA msingi ni hapo ulipouliza hao watu ni wakina nani.
Labda niseme watu wapo lakini hawana uwezo huo.
YesHawana uwezo wa nguvu ya umma kama mleta mada anavyotaka?
Inaelekea mkono wako uko kwenye hiyo kiuchochezi unayoiita nguvu ya umma.Nadhani hatutakosea tukikuita wewe mchochezi.Watu wamechoshwa na sera zako kandamizi
No viwanda
No employment opportunity
Mfumuko wa bei
Sera za chuki
Umefilisi nchi
No freedom of speech
Chuki dhidi ya upinzani
Mikopo na madeni kila siku
Umasikini umeongezeka
Vijana wananyimwa mikopo hela zinanunua mandege mabovu tu
Uchumi umeporomoka hali ni mbaya kila mahali
Mizizi ya udikteta nchini
Ukandamizaji wa haki za binadamu
Wanaopinga serikali wanapotea, wanajeruhiwa, wanapigwa nchi ipo gizani hakuna hatua iliyochukuliwa
Serikali haina uwazi ni mwendo wa kukopa kwa siri kama walivyokopa dola milioni 500 kwa riba ya dola milioni 900
Upendeleo na matabaka
Kwa haya nguvu ya umma inakuja soon
Lazima utawala huu utaondoka madarakani tu
Mjiandae kwa nguvu ya umma ambayo haijawah tokea
[HASHTAG]#Firechat[/HASHTAG]
Yes and amen"Humanity is a very important quality you must have as a leader. If you are humble, if you let people realise that you are not a threat to them, those people will listen to you, those people will embrace you." R.I.P Nelson Mandela.
Hongera zako ww uliyetiwa vdole mimi cjawah na haitokaa itokeeushawahi kutiwa vidole???
Jibu kwanza hapo
Actions Speak Louder than WordsGood point umeelezea vizuri.
Kwa fikra yangu ni kwamba watu hawawelewi kwa sababu mwanzoni mambo mengi yalifanywa wazi, yaani kutumbua Majipu etc.
Ila kwa sasa prezidaa yupo kimya sana. Sasa hilo pia linaweza kufanya wananchi wawe Na maswali.
Pia kwa siasa ya Tanzania ilipokuwa umefika mi sioni haja ya Raisi kuwa msiri kama alivyo huyu, kwa sababu unakuwa unaawacha njia panda.
Anaweza kuwa Na mkutano Na wazee kila Mwezi akawa anaelezea mambo muhimu yaliyotokea mwezi uliopita n.k au ateue mtu awe anasoma reports za mwezi.
Watanzania ni talkers Na Prezidaa ni Doer kwa hiyo hapo kunakuwa Na mgongano kidogo.
Mawazo yangu tu.
Ni kweli. JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.Ni mara mia angempa mwanadiplomasia mahiri na Jasusi mbobezi wa Mtama au mzee wa Monduli tusingesafa sana.
Hivyo nawakumbusha tu, kila unapopata matatizo katika awamu hii tambua Msoga master ana asilimia zake, ametuletea shida kubwa sana.