Binafsi naamini going out or travelling away from where you always be ni jambo jema na unapata exposure ya vitu vingi vigeni so unajifunza kwa wengine..
Nimekaa namuwazia Mh Raisi wangu kwanini kila mkutano WA nje ya nchi anamsaksia either Mama Samia Suluhu ama majaliwa, sikatai ni kweli ni wasaidizi wake lakini miaka miwili yote tunaenda wa tatu na hata mitano itaisha huyu mtu hajapanda ndege kwenda Ulaya..
Lakini pia nataka mwenye kumbukumbu Za enzi zake akiwa waziri kama alishawahi safiri aniekee hapa..
Binafsi nahisi uelewa wa mambo ya kimataifa wa Mh ni mdogo sana kiasi kwamba yy mwenyewe anaelewa hilo.
Tanzania inadoda kila uchwapo, wenye macho wanaona hilo... Naona hata mikutano ya kimataifa ikifanyika hapa nchini huyu mzee anakimbia... What he is capable of ni kubomoa nyumba zetu wanyonge..
Nimejiuliza tu...