Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Haya mambo sio mageni,yameshafanyika sana tu kuanzia enzi za mwalimu.Ambae hataki,halazimishwi kuamini.
 
Open your eyes
 
Haisaidii nchi ni ya wote pambana na hali yako kama IPO IPO tu watatubania kila kona but mungu atazidi kutupatia mbinu zaidi za utafutaji
 
Tatizo mlishajimilikisha mali na miradi ya nchi hii. Kila penye pesa ninyi tu ndiyo mpate, wakipewa wengine UKABILA! Kwenda zakon. Hata makanisani kelele ni hizohizo. Matapeli wakubwa na wachonganishi nyinyi.
 
We mtoa mada ni mchonganishi.
Naendelea kutafakari kwa nini umeamua kuchonganisha watu na serikali yao pendwa.

Huwezi ukabadilisha jina kirahisi. Mchakato wa kubadili jina huchukua miezi si chini ya mitatu na kuendelea maana lazima jina hilo litolewe kwenye government gazette kitu ambacho si kirahisi kama unavyofikiria.

Mods, ningewaomba mwondoe uzi huu maana hauna logic yoyote zaidi ya uchonganishi usio na maana.
 


Kazana kazana kuandika na wewe utakuwa tajiri
 
Awamu hii ni zamu ya akina Mayanga Construction, Shija Civil Engineering na Masanja (T) Ltd. Acha wale nchi kwa hisani ya Sizonje.
 
Lecturer wangu mmoja aliwahi kusisitiza sana kutotumia majina yetu ktk biashara kutokana na adhari kama hizi, ukianzisha biashara/ kampuni yako kwa kutumia jina la familia inahasara zaidi kuliko faida.
 
Yaani kwa uongo huu ni sawaa kupanda mlima kinyume yume.

fact! 1:Kampuni imesajiliwa tayari sasa unabadili vipi?
2:Kuna baadhi ya document mfano bank, Id na nk nazo unabadili?
3:Huu ubaguzi umeanza lini km umefuata sheria zote na kazi yako nzuri?
Process ya kubadilisha jina la kampuni iliyokwishasajiliwa ni fupi sana. Unahitaji tu barua na company board resolution. Kwa kawaida haichukui zaidi ya wiki.
 
Wewe sasa ni mwongo!
Kama kampuni yako ilikwishasajiliwa, jkitaka kubadilisha jina, unapeleka barua na board resoluyion BRELA. Utapewa certificate mpya yenye registration namba ile ile. Na mambo mengine kama TIN inabakia ile ile. Ni process fupi sana.
 
We mleta mada, unaona hayo mazee kukutana kikaoni kabila moja kujadili maslahi kikabila ni normal hiyo? Bora hata wangejadili maendeleo ya wanakotoka.
Sishangai sana maana hata jamaa wakikaa group kupiga bia utakuta wote kabila moja.
 
Lipo tatizo kwa wachache wenye dhana zao potovu, ni vyema kuepuka majina ya kikabila katika biashara.
 
Siku za karibuni nilikuwa Dar kwenye msiba wa ndugu yangu. Kwenye msiba walikuwepo baadhi ya wazee wastaafu waliokuwa nafasi za juu serikalini, na mmoja alikuwa afisa wa ngazi ya juu UNESCO. Wote, hakuna miongoni mwao aliyekuwa anatoka mikoa ya Kaskazini. Katika mazungumzo yao, namnukuu mmojawapo:

'Sijui, lakini kipindi hiki, japo haisemwi, ila inaonekana kuna jitihada kubwa sana zinafanywa, za kuhakikisha nafasi nyingi za juu, wanawekwa Kanda ya Ziwa, sijui kama wote wanaona hivyo'.

Oh yes, that is very obvious.

Waliendelea na mengi. Kwa hiyo kwa sasa fikra za upendeleo wa kikanda/kikabila, kwa wengi, wanaona zipo wazi kuliko utawala wowote uliopita. Huenda huko nyuma haya mambo yalikuwepo lakini hayakuwa wazi kiasi hiki.

Kama watawala wana nia ya kulijenga Taifa, wasipuuze haya yanayosemwa na watu maana watu wanatoa na uthibitisho wa kitakwimu. Fikra hizi zikiendelea kujengeka kwa watu, kuziondoa kutakuwa na gharama.

Ubaguzi ni tabia. Anayebagua watu kwa misingi yoyote ile, wakati wote ubaguzi wake hauishii kwenye jambo moja.

Anayewabagua watu kwa itikadi zao, hataishia hapo tu bali atawabagua watu kwa makabila yao, kwa dini zao, kwa madhehebu yao, kwa lugha zao, kwa maeneo watokayo, kwa rangi zao, n.k.

Tupige vita ubaguzi kwaajili ya ustawi wa nchi yetu. Mbaguzi ni adui wa Taifa.
 
mbona hili linajulikana cku nyingi. hao wanaolalamika ni wale waliochelewa. kwa mfano baada ya mkulu kuwaruhusu wamachinga wengi wa wachagga wenye maduka walitengeneza machinga wao wenyewe wakawapa mizigo na kusubir hela jion. ucpambane na mtu mwenye nia mbaya na wewe cheza na akili yake tu
 
Kinachofanyika ni kwa watoto kutochua jina la tatu la ukoo bali wanachukua jina la pili au la ubatizo la baba. Hii ipo ktk baadhi ya familia Mzee akisoma gemu anafanyahivyo hasa hao wachaga utakuta eg mtoto wa Tarimo anajulikana ni tarimo lakini ktk official document tarimo haionekani. Shida sus ya mchaga haijifichi hajalishi ni wa marangu, kibosho umbu au rombo.
Hii ni mipango ya familia zaidi
 





Hao watu ni waisrael bwana!! Wana kitu inaitwa "intellectual versatility". Achana na hii kitu kabisa!! Ukibana huku wanachomolea kungine na maisha yanaenda. Wameshindwa kuwazuia wasiende kwao mwisho wa mwaka, cha kushangaza huko Moshi kukaelemewa ujio wao! Eti mnawabana wasifanikiwe, kweli??!! Huwezi kusaidia maskini kwa kuwabana hao watu wa kaskazini, walianza zamani. Hawatakagi ujinga kabisa, ni wakati wa wengine kuiga huu utamaduni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…