Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Sasa huu mjadala nimekutana nao na wanakiri wazi kuwa katika kila document wanayoandika sasa, hawaweki jina la ukoo kama walivyosema ni kwa yale wanayoamini kuwa yanajulikana. Hawa ni wakurugenzi wa makampuni ila mengi ni madogo madogo. Wanafanya hivyo kutokana na ushauri wanaopewa na wasaidizi.
Ondoa takataka zako hapa, Umeweka akili zako mfukoni kutetea wachaga, Naona weekend imekuwa ndefu ulishalewa kabla ya muda, Mkuu unakunywa bia ukiwa juani au? Hivi story zako na mkeo ndio unagenaralize kuwa wote wanaishi kama wewe

Think Thrice mkuu, Au baada ya kutoka moshi kufanya matambiko na kafara mizimu iliwaambia hamtalipa kodi na mtapewa tenda bure, Shame on you na wachaga wenzako mliotoka kwenye makafara December
 
Mkuu nakuheshimu lakini kwa ishu ya wachaga wewe ni mpumbavu tena medula yako haipo sawa, You are idiot like other idiots

Nani asiyejua wachaga wamefanya kwa kubebana, Mimi nimeishi mikoa mingi wachaga wamefanya ukabila muda mrefu, Ni muda wa kuharibu empire

Hapa naunga mkono hoja hata Mkwawa alipunguzwa nguvu na Wajerumani alikuwa katili sana kwa makabila mengine kwenye kupora na kupambana

Kuendelea kutetea Wachaga wanaonewa wewe ni mpuuzi kwahiyo walizoea kupewa tenda kisa kuna watu wao juu, Mamlaka itafanyia kazi

Hii ishu ya kubadili majina yao nakupa one month utaleta hapa uzi bora umetoa the Secrety behind
Kwahiyo unawachukia wachagga n kwa maana hiyo unaendeleza dhana ileile ya chuki za kikabila. Kama leo pakitokea vita ya kikabila utawachinja wachagga kwasababu tu ya chuki zako kwao.Vilevile kuna wanaomchukia Magifuli, wataangalia kabila lake kwakuwa tu wanamchukia yeye basi watawachinja watu wa kabila lake kutokana na chuki zao kwa mtu wa kwao aliyeshikilia mamlaka. Na pengine wanamchukia yeye kutokana na sababu walizoziona kwake ambazo pengine kwa hisia zao tu wanaweza kuhisi kuwa huyu ni "Msukuma" Anaonekana hii tabia yake aliyo nayo ya kuwachukia wachagga si tabia yake kama yeye bali ni hulka ya "wasukuma" kuwachukia wachagga. Nimesema vile kwasababu, wewe umejijengea kichwani kuwachukia wachagga na umefanya hivyo pengine kuna sehemu mtu alitumia mamlaka yake kikabila na kwa uhakika alikuwa mchagga.Sasa alikunyanyasa na kukunyima fursa kwakuwa hukuwa mchaga, ni kwa mujibu wa mawazo yako. Na pengine baadaye ulikuja kujiridhisha kuwa ile fursa ama nafasi uliyotakiwa upewe alipewa mchagga.Ukaunganisha mawazo yako hayo ya kipumbavu kuwa mwenye mamlaka ni mchagga na aliyepewa kazi ni mchagga wewe uliyenyimwa siyo mchagga sasa swala la vigezo siwezi kujua ila wewe umekimbilia kwenye ukabila! Ni chuki tu za kikabila ambazo mtu ukiwa nazo hazitoki hata uwe nani!
 
Mkuu naapa kwa jina la Mungu kuwa huu mjadala nimekutana nao na niliyoyaandika ni baadhi tu ya niliyoyasikia.Nimesikia mengi sana!
Si vema kufanyia kazi au kuamini maneno ya kusikia. Fanyia kazi facts tu. Ni kichekesho kupay attention kwenye umbea.
 
Unafiki mtupu, siku ya kufa kwako utabaki mdomo wazi, huko hatujafika hata kidogo na hatutafika, tender hutangzwa na hutolewa kwa yule aliekidhi vigezo na si vinginevyo.

Kama huko nyuma taratibu zilikiukwa na upendeleo ulitawala kwa wasio na vigezo kupewa tender, zama hizo zimepita, hanyimwi mtu tender kwa kabila lake, acha kupanda chuki, hailisaidii taifa, sanasana ni kuliangamiza
Vipi kuhusu vyeo?
 
Sidhani kama tumefika hapa. Huu ni uwongo kwani huwezi badilosha jina la kibiashara kirahisi tu ili usijulikane.

Ikumbukwe kiwa Serikali inafanya kazi na kampuni sio Mtu binafsi
....Wewe ni mfanya biashara?
 
Kauli ya kipuuzi ,ya mtu aliekata tamaa ya kuishi, acha mazoea
.....Upuuzi uliopitiliza ni kujifariji kwamba eti huyu amekata tamaa ya kuishi wakati humjui na umeona Avator na comments!!
 
Ondoa takataka zako hapa, Umeweka akili zako mfukoni kutetea wachaga, Naona weekend imekuwa ndefu ulishalewa kabla ya muda, Mkuu unakunywa bia ukiwa juani au? Hivi story zako na mkeo ndio unagenaralize kuwa wote wanaishi kama wewe

Think Thrice mkuu, Au baada ya kutoka moshi kufanya matambiko na kafara mizimu iliwaambia hamtalipa kodi na mtapewa tenda bure, Shame on you na wachaga wenzako mliotoka kwenye makafara December
Kwanini unatukana?
 
Watu hawa ni wa kabila moja maarufu sana Tanzania linalotoka kanda ya kaskazini. Kiukweli ni maneno ambayo nimeyasikia wakiyaongea tena wanayapa mkazo kwelikweli na mbinu ili kujikwamua.

Jamaa mmoja akasema yeye ni mtu anayeomba tenda mbalimbali za kusambaza vifaa kwenye taasisi za serikali ila amekuwa akipata changamoto ya kunyimwa tenda lakini akakiri wazi kuwa kabla ya utawala wa awamu ya tano mambo hayakuwa hivi! Huyo akadiriki kusema kuwa aliamua kuanza mchakato wa kubadili jina lake la ukoo kwenye documents anazoombea tenda ili tu asikatwe kwa kigezo hicho. Anakiri wazi kuwa walau hilo limeanza kumpa uhai. Naomba ninukuu baadhi ya maneno aliyosema "Siwezi kutumia tena jina la TARIMO kwenye kuomba zabuni. Limekuwa likiwa kikwazo kwangu! Hata wanangu wote nimewaambia wabadili jina lao la ukoo kwenye mambo yao ya shule! Wasitumie kabisaa jina hilo" Mzee huyo kweli akawa anasisitiza hivyo.

Katika maongezi yao kumbe kuna mama mmoja mfanya biashara ambaye alishauriwa asiweke jina lake la asili kwenye makabrasha yake ya kuomba tenda ya mabilioni ya fedha kwenye moja ya mashirika ya serikali. Nadhani aliyemshauri ni mmoja kati ya wazee waliokuwa wakijadiliana katika mjadala huu. Mara lile jina lake likaanza kujadiliwa. Nadhani hili jina linaweza kuwa linatokea Maeneo ya Wilaya ya Moshi.
Sasa Bwashee mbona umetibua siri tena/ Ulianza kwa KUHIFADHI hilo Kabila na sehemu yao, (kwa sauti ya Lyatoga....Sasa mbona umetaja majina na eneo letu la Moshi aisee!)...
 
Sidhani kama tumefika hapa. Huu ni uwongo kwani huwezi badilosha jina la kibiashara kirahisi tu ili usijulikane.
Ikumbukwe kiwa Serikali inafanya kazi na kampuni sio Mtu binafsi

Huyu mtu anacho sema Si uongo. Wanajiita John Stephen,Andrew Michael etc. wanafanikisha hata ktk ajira ndio wame acha kabisa majina ya Masawe, Shayo, Mushi.
Why ?
Wanadhani Watu wamesahau walivyokuwa wanaingizana kazini kikabila . Sehemu zote muhimu walijaa wao kiupendeleo una kuta ofisi ina Ndugu 10 wa familia moja. Mna fahamu hali ilivyokuwa TRA hivi kweli wao ndio wanajua tax collection kuliko wote? CRDB, Bandari, OR UTUMISHI, Hazina n.k walijaa Kilimanjaro sehemu nyeti zote.

Sasa huko ktk Biashara tender zote asilimia kubwa ilikuwa wao why hakuna wengine wanaojua Biashara mbona sasa the ground has been leveled wanakimbia Kariakoo lakini wakinga wapo. Ni hivi Watu hao wengi ni wapigaji watoa rushwa, wakwepa kodi, wanajua kuharibu Biashara za wengine kwa tabia zao za ukabila na ukosefu wa maadili. Sasa hivi tender zinakuwa processed kwa haki sio upendeleo.

Mlizoea dezo eti nyie ndio mnajua kutafuta pesa wengine hawa jui sababu ya ujanja ujanja . Hebu pitieni majina ya watumishi wasio na vyeti walioondolewa Serikalini nusu yao ni Watu wa huko Kilimanjaro. Mmestukiwa Ndugu zangu.

Angalieni nyuma mlipokosea mjisahihishe. Kuacha majina ya ukoo Si dawa ya mnalodhani ni tatizo. Hali mliyonayo ndio wenzenu walikuwa nayo. Sasa hakuna upendeleo. Kwa hili JPM amelikomesha kama kuna waliobaki ni wachache wenye upendeleo .
 
hahhahaha we kweli ni mjinga na unafikiri utawapata wajinga wenzio hapa na story za vinjiweni..
Kwa hiyo wana sajili kampuni upya?
Kwani nani hajui kuna taratibu za kutoa tenda serikalini?
hahahahahahaha
 
Watuminye tu lakini mkoa wake hauwezi kuwa na foleni kama za kilimanjaro mwezi december, najua roho inamuuma akionaga ile misururu.
 
Huyu mtu anacho sema Si uongo. Wanajiita John Stephen,Andrew Michael etc. wanafanikisha hata ktk ajira ndio wame acha kabisa majina ya Masawe, Shayo, Mushi.
Why ?
Wanadhani Watu wamesahau walivyokuwa wanaingizana kazini kikabila . Sehemu zote muhimu walijaa wao kiupendeleo una kuta ofisi ina Ndugu 10 wa familia moja. Mna fahamu hali ilivyokuwa TRA hivi kweli wao ndio wanajua tax collection kuliko wote? CRDB, Bandari, OR UTUMISHI, Hazina n.k walijaa Kilimanjaro sehemu nyeti zote.

Sasa huko ktk Biashara tender zote asilimia kubwa ilikuwa wao why hakuna wengine wanaojua Biashara mbona sasa the ground has been leveled wanakimbia Kariakoo lakini wakinga wapo. Ni hivi Watu hao wengi ni wapigaji watoa rushwa, wakwepa kodi, wanajua kuharibu Biashara za wengine kwa tabia zao za ukabila na ukosefu wa maadili. Sasa hivi tender zinakuwa processed kwa haki sio upendeleo.

Mlizoea dezo eti nyie ndio mnajua kutafuta pesa wengine hawa jui sababu ya ujanja ujanja . Hebu pitieni majina ya watumishi wasio na vyeti walioondolewa Serikalini nusu yao ni Watu wa huko Kilimanjaro. Mmestukiwa Ndugu zangu.

Angalieni nyuma mlipokosea mjisahihishe. Kuacha majina ya ukoo Si dawa ya mnalodhani ni tatizo. Hali mliyonayo ndio wenzenu walikuwa nayo. Sasa hakuna upendeleo. Kwa hili JPM amelikomesha kama kuna waliobaki ni wachache wenye upendeleo .
Haya jibizaneni maana mnatofautiana wenyewe. Mkimaliza nitajibu mimi kwa kina
hahhahaha we kweli ni mjinga na unafikiri utawapata wajinga wenzio hapa na story za vinjiweni..
Kwa hiyo wana sajili kampuni upya?
Kwani nani hajui kuna taratibu za kutoa tenda serikalini?
hahahahahahaha
 
Tatizo humu Jamiiforums imefikia kipindi tunadharauliana sana. Yaani tunaonana wote tumekuwa wapuuzi wa kiasi hiki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom