Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mleta mada mzushi Serikali hufanya biashara na kampuni sio watu binafsi .kwa hiyo wamebadili majina kuanzia kwa msajili wa makampuni kubadili majina ya wamiliki na pia wamebadili majina TRA na pia wamebadili majina ya signatories bank na wamebadili majina vitambulisho vyao vya taifa na passport,na vyeti vyao vyote vya masomo na kuzaliwa wamebadili ? kubadili jina si kitu rahisi hivyo mchochezi bwege wewe lazima litangazwe hadi gazeti LA Serikali.Huu uzushi wa kipuuzi.Mleta mada chunga usifikiri kujificha nyuma ya keyboard ndio huwezi dakwa.Ni geografia tu kujua uko longitude na latitude namba ngapi kwenye point zinapo intersect unafikiwa hadi hapo ulipo na unadakwa kirahisi tu
Sio kwa jamii forum....wala wasup labda fb....
 
Mkuu hili jambo ni kweli kbc hata mm situmii jina la ukoo kbc. Kuna tenda fulani tulikuwa tunaifukuzia mahali ikatubidi tutumie majina mawili moja tukaweka la ukoo lingine la kawaida matokeo yake lile la ukoo likakatwa likapita hili la kawaida kwahiyo sishangai sana ndo utawala huu ulivyo wakuu
 
Zamani nilikuwa maongezini na rafiki wanatoka kanda fulani ambao walidhani na mimi natoka huko pia; maongezi yalikuwa hivi:
"Kwanza sisi lazima tushike nafasi zote muhimu kama za Chief of Finance nk. kwanye mashirika ya umma, halafu ukiwa hapo huwezi kufa masikini, utakuwa mjinga"
Enzi hizo kweli hawa jamaa walishika nafasi nyeti kwenye mashirika hayo na matokeo yake mengi yalifilisika. Hata ubinafsishaji wa mashirika ya umma usingekuwa lazima kama udhaifu huu usingevumiliwa.
 
Kama haya ni ya kweli ambayo wanafanyiwa kabila hili basi nchi yetu tayari imegeuka. Ingawa tunaweza kusema ni ya kweli au siyo ya kweli, vipo vihashiria vinavyosema ni ya kweli.

Wapo watu fulani wakubwa tu wenye makampuni yao ambao walikuwa wamekaa kama kamati fulani kujadili namna ya kukabiliana na kile walichokiita changamoto wanazokabiliana nazo katika biashara. Watu hawa ni wa kabila moja maarufu sana Tanzania linalotoka kanda ya kaskazini. Kiukweli ni maneno ambayo nimeyasikia wakiyaongea tena wanayapa mkazo kwelikweli na mbinu ili kujikwamua.

Jamaa mmoja akasema yeye ni mtu anayeomba tenda mbalimbali za kusambaza vifaa kwenye taasisi za serikali ila amekuwa akipata changamoto ya kunyimwa tenda lakini akakiri wazi kuwa kabla ya utawala wa awamu ya tano mambo hayakuwa hivi! Huyo akadiriki kusema kuwa aliamua kuanza mchakato wa kubadili jina lake la ukoo kwenye documents anazoombea tenda ili tu asikatwe kwa kigezo hicho. Anakiri wazi kuwa walau hilo limeanza kumpa uhai. Naomba ninukuu baadhi ya maneno aliyosema "Siwezi kutumia tena jina la TARIMO kwenye kuomba zabuni. Limekuwa likiwa kikwazo kwangu! Hata wanangu wote nimewaambia wabadili jina lao la ukoo kwenye mambo yao ya shule! Wasitumie kabisaa jina hilo" Mzee huyo kweli akawa anasisitiza hivyo.

Katika maongezi yao kumbe kuna mama mmoja mfanya biashara ambaye alishauriwa asiweke jina lake la asili kwenye makabrasha yake ya kuomba tenda ya mabilioni ya fedha kwenye moja ya mashirika ya serikali. Nadhani aliyemshauri ni mmoja kati ya wazee waliokuwa wakijadiliana katika mjadala huu. Mara lile jina lake likaanza kujadiliwa. Nadhani hili jina linaweza kuwa linatokea Maeneo ya Wilaya ya Moshi. Lakini katika mjadala wao wakagundua kuwa jina hili halifahamiki sana kama jina la kikabila. Mara nikaona mzee mmoja akinyanyua simu na kumpigia yule mama na katika maongezi yake akamuambia "Kwenye documents usiweke jina la ukoo la mume wako! Hilo linajulikana, tumia jina la upande wa baba yako ambalo linaonekana siyo maarufu kulitambua" Kwakweli nimeacha mjadala ukiwa hot sana na inaonekana hili kabila limeanza kukutana na adha kubwakubwa za hapa na pale katika miangaiko yao ya kutafuta riziki.

Pamoja na hayo nalisifu kwa kung'amua hilo na kuanza kutafuta mbinu za kukabiliana na hili jambo.

Hayo ndiyo niliyokutana nayo kijiweni moja ya maficho maalum ya wazee maalum ambapo nilibahatika kuingia hapo baada ya kuwa nimempeleka boss fulani kumkutanisha na mtu ila huu mjadala umechukua muda mrefu nawanajadili kwa umakini na wanaweka uthibitisho! Wengine wanasema kuwa wanapigiwa simu kutoka huko juu na watu wanaowapenda na wamekuwa wakiwapa huo ushauri wa kuondoa kabisa majina ya koo zao au kuyaandika kwa herufi moja tu pale wanapotaka kuomba zabuni mbalimbali.

Hapa ni kazi kwa kazi.Tafuta mbinu ya kupata kazi!
.hili jambo liko wazi wachaga wanachukiwa na utawala huu tena bila kificho,popote palipokuwa na mchaga aliondolewa kwa sababu hizo,mfano Tanesco,muhimbili(ingawa mpare), mmbando katibu mkuu afya,na kuwaweka ndani kina kitilya na wengine wengi sana, legacy atakayoacha akiondoka ndo hyo ya ukabila.alaaniwe akutwe na umauti
 
Zamani nilikuwa maongezini na rafiki wanatoka kanda fulani ambao walidhani na mimi natoka huko pia; maongezi yalikuwa hivi:
"Kwanza sisi lazima tushike nafasi zote muhimu kama za Chief of Finance nk. kwanye mashirika ya umma, halafu ukiwa hapo huwezi kufa masikini, utakuwa mjinga"
Enzi hizo kweli hawa jamaa walishika nafasi nyeti kwenye mashirika hayo na matokeo yake mengi yalifilisika. Hata ubinafsishaji wa mashirika ya umma usingekuwa lazima kama udhaifu huu usingevumiliwa.

Soma Dada acha ujinga
 
MTOA POST UNAMAANISHA KUWA TENDA WANAPEWA WATU WA KANDA YA ZIWA HASA WASUKUMA???!!!KAMA NI KWELI HII HALI SIO YA KUFUMBIA MACHO
Watu wambeya, mbona yule anajenga uwanja wa chato ni mgogo tena pure.
 
Yaani mtu mzima unakamata sim unaandika Upuuzi kama huu.Unadhani unaandikia watoto wenzio?Kwa hiyo unataka kusema wanasajili kampuni upya?na kubadilisha majina ya watoto wao kisa hayatakiwi hapa nchini au?na siku yakitakiwa majina hayo ya Tarimo watawabadilisha tena?....Hebu tuwe tunatumia hata akili kidogo tu.

Hilo ni ni kweli mkuu wachaga sasahii hawatumii tena la ukoo maana hata ukiomba kazi hupati
 
Mkuu hili jambo ni kweli kbc hata mm situmii jina la ukoo kbc. Kuna tenda fulani tulikuwa tunaifukuzia mahali ikatubidi tutumie majina mawili moja tukaweka la ukoo lingine la kawaida matokeo yake lile la ukoo likakatwa likapita hili la kawaida kwahiyo sishangai sana ndo utawala huu ulivyo wakuu
Mkuu nashukuru umenielewa. Nashangaa wanaopinga wakati mimi nimeleta humu mjadala niliosikia na watu wametoa ushahidi wa kile walichojadili ila siwezi kuweka humu jamvini kwa kulinda usalama wao na wa kazi zao.
 
Kaburu mweusi ni mbaguzi wa hali ya juu na hii siyo siri. Ni mtu hatari sana huyu na janga kubwa sana la Taifa.
 
mathabane HAKIKA MKUU, HLI KABILA LILIZOEA KUNYANYASA WENGNE, HALAFU TULIPOKUWA TUNALAUMU WALIJBU KWA KEJELI ETI WASOMI WENG WANATOKA KABILA LAO, WAKAT HATA KWENYE KAZ ILIKUWA MKIOMBA 10 HATA KAMA WA KABILA LAO ALIKUWA MMOJA WANAMPA HUYOHUYO.
 
Kama haya ni ya kweli ambayo wanafanyiwa kabila hili basi nchi yetu tayari imegeuka. Ingawa tunaweza kusema ni ya kweli au siyo ya kweli, vipo vihashiria vinavyosema ni ya kweli.

Wapo watu fulani wakubwa tu wenye makampuni yao ambao walikuwa wamekaa kama kamati fulani kujadili namna ya kukabiliana na kile walichokiita changamoto wanazokabiliana nazo katika biashara. Watu hawa ni wa kabila moja maarufu sana Tanzania linalotoka kanda ya kaskazini. Kiukweli ni maneno ambayo nimeyasikia wakiyaongea tena wanayapa mkazo kwelikweli na mbinu ili kujikwamua.

Jamaa mmoja akasema yeye ni mtu anayeomba tenda mbalimbali za kusambaza vifaa kwenye taasisi za serikali ila amekuwa akipata changamoto ya kunyimwa tenda lakini akakiri wazi kuwa kabla ya utawala wa awamu ya tano mambo hayakuwa hivi! Huyo akadiriki kusema kuwa aliamua kuanza mchakato wa kubadili jina lake la ukoo kwenye documents anazoombea tenda ili tu asikatwe kwa kigezo hicho. Anakiri wazi kuwa walau hilo limeanza kumpa uhai. Naomba ninukuu baadhi ya maneno aliyosema "Siwezi kutumia tena jina la TARIMO kwenye kuomba zabuni. Limekuwa likiwa kikwazo kwangu! Hata wanangu wote nimewaambia wabadili jina lao la ukoo kwenye mambo yao ya shule! Wasitumie kabisaa jina hilo" Mzee huyo kweli akawa anasisitiza hivyo.

Katika maongezi yao kumbe kuna mama mmoja mfanya biashara ambaye alishauriwa asiweke jina lake la asili kwenye makabrasha yake ya kuomba tenda ya mabilioni ya fedha kwenye moja ya mashirika ya serikali. Nadhani aliyemshauri ni mmoja kati ya wazee waliokuwa wakijadiliana katika mjadala huu. Mara lile jina lake likaanza kujadiliwa. Nadhani hili jina linaweza kuwa linatokea Maeneo ya Wilaya ya Moshi. Lakini katika mjadala wao wakagundua kuwa jina hili halifahamiki sana kama jina la kikabila. Mara nikaona mzee mmoja akinyanyua simu na kumpigia yule mama na katika maongezi yake akamuambia "Kwenye documents usiweke jina la ukoo la mume wako! Hilo linajulikana, tumia jina la upande wa baba yako ambalo linaonekana siyo maarufu kulitambua" Kwakweli nimeacha mjadala ukiwa hot sana na inaonekana hili kabila limeanza kukutana na adha kubwakubwa za hapa na pale katika miangaiko yao ya kutafuta riziki.

Pamoja na hayo nalisifu kwa kung'amua hilo na kuanza kutafuta mbinu za kukabiliana na hili jambo.

Hayo ndiyo niliyokutana nayo kijiweni moja ya maficho maalum ya wazee maalum ambapo nilibahatika kuingia hapo baada ya kuwa nimempeleka boss fulani kumkutanisha na mtu ila huu mjadala umechukua muda mrefu nawanajadili kwa umakini na wanaweka uthibitisho! Wengine wanasema kuwa wanapigiwa simu kutoka huko juu na watu wanaowapenda na wamekuwa wakiwapa huo ushauri wa kuondoa kabisa majina ya koo zao au kuyaandika kwa herufi moja tu pale wanapotaka kuomba zabuni mbalimbali.

Hapa ni kazi kwa kazi.Tafuta mbinu ya kupata kazi!
Mkuu nakuheshimu lakini kwa ishu ya wachaga wewe ni mpumbavu tena medula yako haipo sawa, You are idiot like other idiots

Nani asiyejua wachaga wamefanya kwa kubebana, Mimi nimeishi mikoa mingi wachaga wamefanya ukabila muda mrefu, Ni muda wa kuharibu empire

Hapa naunga mkono hoja hata Mkwawa alipunguzwa nguvu na Wajerumani alikuwa katili sana kwa makabila mengine kwenye kupora na kupambana

Kuendelea kutetea Wachaga wanaonewa wewe ni mpuuzi kwahiyo walizoea kupewa tenda kisa kuna watu wao juu, Mamlaka itafanyia kazi

Hii ishu ya kubadili majina yao nakupa one month utaleta hapa uzi bora umetoa the Secrety behind
 
Kama haya ni ya kweli ambayo wanafanyiwa kabila hili basi nchi yetu tayari imegeuka. Ingawa tunaweza kusema ni ya kweli au siyo ya kweli, vipo vihashiria vinavyosema ni ya kweli.

Wapo watu fulani wakubwa tu wenye makampuni yao ambao walikuwa wamekaa kama kamati fulani kujadili namna ya kukabiliana na kile walichokiita changamoto wanazokabiliana nazo katika biashara. Watu hawa ni wa kabila moja maarufu sana Tanzania linalotoka kanda ya kaskazini. Kiukweli ni maneno ambayo nimeyasikia wakiyaongea tena wanayapa mkazo kwelikweli na mbinu ili kujikwamua.

Jamaa mmoja akasema yeye ni mtu anayeomba tenda mbalimbali za kusambaza vifaa kwenye taasisi za serikali ila amekuwa akipata changamoto ya kunyimwa tenda lakini akakiri wazi kuwa kabla ya utawala wa awamu ya tano mambo hayakuwa hivi! Huyo akadiriki kusema kuwa aliamua kuanza mchakato wa kubadili jina lake la ukoo kwenye documents anazoombea tenda ili tu asikatwe kwa kigezo hicho. Anakiri wazi kuwa walau hilo limeanza kumpa uhai. Naomba ninukuu baadhi ya maneno aliyosema "Siwezi kutumia tena jina la TARIMO kwenye kuomba zabuni. Limekuwa likiwa kikwazo kwangu! Hata wanangu wote nimewaambia wabadili jina lao la ukoo kwenye mambo yao ya shule! Wasitumie kabisaa jina hilo" Mzee huyo kweli akawa anasisitiza hivyo.

Katika maongezi yao kumbe kuna mama mmoja mfanya biashara ambaye alishauriwa asiweke jina lake la asili kwenye makabrasha yake ya kuomba tenda ya mabilioni ya fedha kwenye moja ya mashirika ya serikali. Nadhani aliyemshauri ni mmoja kati ya wazee waliokuwa wakijadiliana katika mjadala huu. Mara lile jina lake likaanza kujadiliwa. Nadhani hili jina linaweza kuwa linatokea Maeneo ya Wilaya ya Moshi. Lakini katika mjadala wao wakagundua kuwa jina hili halifahamiki sana kama jina la kikabila. Mara nikaona mzee mmoja akinyanyua simu na kumpigia yule mama na katika maongezi yake akamuambia "Kwenye documents usiweke jina la ukoo la mume wako! Hilo linajulikana, tumia jina la upande wa baba yako ambalo linaonekana siyo maarufu kulitambua" Kwakweli nimeacha mjadala ukiwa hot sana na inaonekana hili kabila limeanza kukutana na adha kubwakubwa za hapa na pale katika miangaiko yao ya kutafuta riziki.

Pamoja na hayo nalisifu kwa kung'amua hilo na kuanza kutafuta mbinu za kukabiliana na hili jambo.

Hayo ndiyo niliyokutana nayo kijiweni moja ya maficho maalum ya wazee maalum ambapo nilibahatika kuingia hapo baada ya kuwa nimempeleka boss fulani kumkutanisha na mtu ila huu mjadala umechukua muda mrefu nawanajadili kwa umakini na wanaweka uthibitisho! Wengine wanasema kuwa wanapigiwa simu kutoka huko juu na watu wanaowapenda na wamekuwa wakiwapa huo ushauri wa kuondoa kabisa majina ya koo zao au kuyaandika kwa herufi moja tu pale wanapotaka kuomba zabuni mbalimbali.

Hapa ni kazi kwa kazi.Tafuta mbinu ya kupata kazi!

Chief ni maneno ya vijiweni kama unavyosema, mbona mm Temba nafanya kazi bila changamoto za kupika!
 
Mkuu hili jambo ni kweli kbc hata mm situmii jina la ukoo kbc. Kuna tenda fulani tulikuwa tunaifukuzia mahali ikatubidi tutumie majina mawili moja tukaweka la ukoo lingine la kawaida matokeo yake lile la ukoo likakatwa likapita hili la kawaida kwahiyo sishangai sana ndo utawala huu ulivyo wakuu
Huu utawala unajitahidi kusawazisha mabonde mliotengeneza huko nyuma,
 
Mkuu naapa kwa jina la Mungu kuwa huu mjadala nimekutana nao na niliyoyaandika ni baadhi tu ya niliyoyasikia.Nimesikia mengi sana!
Haya mambo yalikuwepo haswa kipindi cha Nyerere....
Sasa hivi chapa kazi tu, wanaogopa bure tu na kudanganyana!
Mbona wengine huku mambo ni mazuri haswa!
 
Yaani mtu mzima unakamata sim unaandika Upuuzi kama huu.Unadhani unaandikia watoto wenzio?Kwa hiyo unataka kusema wanasajili kampuni upya?na kubadilisha majina ya watoto wao kisa hayatakiwi hapa nchini au?na siku yakitakiwa majina hayo ya Tarimo watawabadilisha tena?....Hebu tuwe tunatumia hata akili kidogo tu.
Asante sana!
Mimi pia nilimshtukia kuwa ni uwongo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom